Mke wangu ananinyima unyumba, haniheshimu na anatoa siri zetu za ndani kwa nduguze

Mke wangu ananinyima unyumba, haniheshimu na anatoa siri zetu za ndani kwa nduguze

Nimeshamrudisha kwao. Ila akiwa pale nyumbani siku Moja kabla ya kuondoka alikuwa anaongea Sana Mama ake. Aisee Mama ake amechangia Sana binti yake kuvunja muunganiko huu. Mama mtu ndo ameshikilia remote anam control binti atakavyo. Nimesemwa Sana nimesemwa Mimi... Eti Mimi mzee (But am 29) Nimesemwa nazalisha watoto wa watu nawaacha ( kisa nilizaa na Beki tatu wa home kitambo Sana) hajawahi kunipenda ananiigizia tu. Yeye hana hasara kwasababu shughuli kubwa ilifanyika kwetu na gharama ilikuwa kubwa. Hayo ni Maongezi ya aliekuwa mke wangu na Mama ake Mzazi. #Nimechoka kabisa.

Asanteni Sana kwa Ushauri wenu.
NB: Never allow the same 🐍 snake bites you twice.
***************************
Pole boss.
 
Hatukakaa kwenye Uchumba. Nilifahamiana nae kwa muda wa wiki Moja nikaoa. Maana nilienda kuoa Kikabila huko kijijini kwetu. Hata kukutana nae tulikutanishwa na Wakubwa wetu.

Anhaaaa okeyy wakubwa zenu ee
Sawa
 
mkuu karne hii unatafutiwa mke wakuoaa alihali mzigo ndio unakaa nao ndani ama kweli umebeshwa gunia la misumari alihali una upara.
Pole sana wajulishe hao waliokutafutia huyo mke wajue hali unayopitia ....ila mwanamke kama unamsugua vyema mbususu hawezi kukunyima kamwe labda pengine hana hisia na wewe"
Je ulimkuta bikra?
Duh hii ndio JF atakoma mwenyewe!
 
Siku akikupa K piga gegedo la kufa mtu utakuja kuleta mrejesho
 
ushauri wangu tafuta pesa achana na kusikiliza majungu na matatizo ya watu.
Maisha ni mafupi sana brother usiruhusu mtu akuondolee amani yako, jiamini
 
Wasalamu wakuu.

Ni hivi, huyu binti kanichosha.

Tukiwa kitandani usiku ana vitimbi sio poa. Nikimgusa au kumtomasa ananitolea kauli za ajabu. Mara utasikia “wewe hebu niache”, mara “mambo gani hayo mi sitaki”.

Wakati mwingine nikimshika anaukamata Mkono wangu na kuurusha kutoka kwenye mwili. Nambembeleza sana lakini wapi naambulia Mzungu wa Nne!!

Imefika muda namwambia you are not romantic hata kidogo eti kunipa utamu mpaka ajisikie mwenyewe ndo utasikia haya leo tufanye sasa.

Juzi nilimtumia meseji nzuri ya Mahaba jinsi ninavyoikubali K yake huku nikimuelekeza jinsi ya kufinyia kwa ndani binti akanijibu "Hivi wewe ni mjinga umechanganyikiwa" aisee nilichoka kabisa.

Hapa nilipo Sina hamu tena.

Huyu binti ni mke wangu niliyemtolea mahari. Kwa lugha nyepesi ananinyima unyumba au kunipangia siku za kunipa.

Nafikiria kumrudisha kwao maana hata kuzaa aliniambia atazaa baada ya Miaka miwili eti hawezi kuingia kwenye Ndoa na kukimbilia kuzaa.

Pia heshima yake kwangu ni ndogo Sana. Anapenda kunibishia ndani ya nyumba hatusikilizani. Muda mwingi yupo busy anachat na Mama ake na Ndugu zake wengine. Anapenda kutoa Siri za ndani kwetu yaani nikikwama kidogo tayari kashamwambia mama ake au dada ake "Hela yenyewe hamna leo kaniachia 2000" [emoji24][emoji24][/B]

Kabla sijachukua maamuzi magumu tafadhali naomba mnishauri; vipi kuna mke kweli hapa au napoteza muda?
Umepigwa na kitu kizito!!! ushauri: spea Tyr kwenye magari zina maana kubwa sana. Jiongeze basi....
 
Mkuu Mimi mke wangu tunajuana vizuri huu mwaka wa 17 na tumebahatika kuwa na watoto watatu hatujawahi kukalishwa na mtu yeyote kwa ajili ya kutusuluhisha. Siyo kwamba hatukwaluzani,tunakwaluzana mara kibao
Hahahahahahah kukwaruzana lazima sababu kuna point lazma mpishane kama binadamu sema tu uungwana ndio unawafanya msameheane
 
Mimi sio motiveshenospika, kwa swala la ndoa sex ni chakula kingine cha mwanaume toka kwa mke wake. Kwanza mimi nimnyime kwa sababu ipi mfano?
Si unaona show kali yani😅 unaamua umkomoe mjuba tu bila kujua ukimnyima atamtafta mwenzio atakaempa muda wowote akitaka
 
Wasalamu wakuu.

Ni hivi, huyu binti kanichosha.

Tukiwa kitandani usiku ana vitimbi sio poa. Nikimgusa au kumtomasa ananitolea kauli za ajabu. Mara utasikia “wewe hebu niache”, mara “mambo gani hayo mi sitaki”.

Wakati mwingine nikimshika anaukamata Mkono wangu na kuurusha kutoka kwenye mwili. Nambembeleza sana lakini wapi naambulia Mzungu wa Nne!!

Imefika muda namwambia you are not romantic hata kidogo eti kunipa utamu mpaka ajisikie mwenyewe ndo utasikia haya leo tufanye sasa.

Juzi nilimtumia meseji nzuri ya Mahaba jinsi ninavyoikubali K yake huku nikimuelekeza jinsi ya kufinyia kwa ndani binti akanijibu "Hivi wewe ni mjinga umechanganyikiwa" aisee nilichoka kabisa.

Hapa nilipo Sina hamu tena.

Huyu binti ni mke wangu niliyemtolea mahari. Kwa lugha nyepesi ananinyima unyumba au kunipangia siku za kunipa.

Nafikiria kumrudisha kwao maana hata kuzaa aliniambia atazaa baada ya Miaka miwili eti hawezi kuingia kwenye Ndoa na kukimbilia kuzaa.

Pia heshima yake kwangu ni ndogo Sana. Anapenda kunibishia ndani ya nyumba hatusikilizani. Muda mwingi yupo busy anachat na Mama ake na Ndugu zake wengine. Anapenda kutoa Siri za ndani kwetu yaani nikikwama kidogo tayari kashamwambia mama ake au dada ake "Hela yenyewe hamna leo kaniachia 2000" [emoji24][emoji24][/B]

Kabla sijachukua maamuzi magumu tafadhali naomba mnishauri; vipi kuna mke kweli hapa au napoteza muda?
Umeoa mke wa mtu,kuna mlezi wa mkeo yuko anapewa mzigo kma wote
 
Zingatia ushauri huu: Mwache kabla hujapigwa na kitu kizito kichwani.

Mwache haraka, usipozingatia huu ushauri utakuja kuokota makopo ofisini kwetu nikutoe nduki
 
Eeeh jamani....mungu anijaalie mke wangu asije leta ujinga huo nitapiga niuwe...ng'ombe weeweeeeeeee
 
Hatukakaa kwenye Uchumba. Nilifahamiana nae kwa muda wa wiki Moja nikaoa. Maana nilienda kuoa Kikabila huko kijijini kwetu. Hata kukutana nae tulikutanishwa na Wakubwa wetu.
Hapa ndo kwenye kiini cha matatizo yote
 
Mkuu pole kwa unayopitia! Jambo la kwanza washirikishe washenga wako na wazee wa pande zote mbili , katika kikao hicho eleza kinagaubaga bila kuficha kitu jinsi anavyokufanyia! Pia weka wazi kuwa ujmechoshwa ni hivyo vimbi vyake na weka wazi kuwa hautakuwa tayari kuendelea kuishi nae katika tabia hizo!

Akiendelea na tabia hizo chukua uamuzi mgumu, ni bora kuacha njia na kurudi kuanza upya kuliko kuendelea mbele katika njia ambayo unajua kabisa umeshapotea lakin unataka kuendelea nayo sababu tu umeshasafiri umbali mrefu!

Hizo mahali ambazo umeshamlipia zisikufanye wewe ujing'ang'anize kuendelea kuteseka kama hakupi unyumba na bado hakuheshimu basi hiyo ndoa yenu kuna shida kubwa sababu hata mahakamani kumnyima mwenzako unyumba ni kosa linaloweza kupelekea uhalali wa kuvunjwa kwa ndoa husika!
 
Kuna mjeba wa nje anampandisha mpaka mwisho wa mlima Kilimanjaro. Wewe labda ni kama boya kwake. Hebu jitahidi kupeleka moto kwa Kasi tuone itakuwaje.
 
Wasalamu wakuu.

Ni hivi, huyu binti kanichosha.

Tukiwa kitandani usiku ana vitimbi sio poa. Nikimgusa au kumtomasa ananitolea kauli za ajabu. Mara utasikia “wewe hebu niache”, mara “mambo gani hayo mi sitaki”.

Wakati mwingine nikimshika anaukamata Mkono wangu na kuurusha kutoka kwenye mwili. Nambembeleza sana lakini wapi naambulia Mzungu wa Nne!!

Imefika muda namwambia you are not romantic hata kidogo eti kunipa utamu mpaka ajisikie mwenyewe ndo utasikia haya leo tufanye sasa.

Juzi nilimtumia meseji nzuri ya Mahaba jinsi ninavyoikubali K yake huku nikimuelekeza jinsi ya kufinyia kwa ndani binti akanijibu "Hivi wewe ni mjinga umechanganyikiwa" aisee nilichoka kabisa.

Hapa nilipo Sina hamu tena.

Huyu binti ni mke wangu niliyemtolea mahari. Kwa lugha nyepesi ananinyima unyumba au kunipangia siku za kunipa.

Nafikiria kumrudisha kwao maana hata kuzaa aliniambia atazaa baada ya Miaka miwili eti hawezi kuingia kwenye Ndoa na kukimbilia kuzaa.

Pia heshima yake kwangu ni ndogo Sana. Anapenda kunibishia ndani ya nyumba hatusikilizani. Muda mwingi yupo busy anachat na Mama ake na Ndugu zake wengine. Anapenda kutoa Siri za ndani kwetu yaani nikikwama kidogo tayari kashamwambia mama ake au dada ake "Hela yenyewe hamna leo kaniachia 2000" 😭😭[/B]

Kabla sijachukua maamuzi magumu tafadhali naomba mnishauri; vipi kuna mke kweli hapa au napoteza muda?
Hivyo ndivyo ndoa nyingi zilivyo..huko ndoani watu wanapitia mengi
 
Back
Top Bottom