Mke wangu ananipiga makofi kila ninapochelewa kurudi nyumbani, nifanyaje jamani nimechoka!

Mke wangu ananipiga makofi kila ninapochelewa kurudi nyumbani, nifanyaje jamani nimechoka!

Kuna Kuoa na kuolewa wewe umechagua kuolewa so pambana na machaguz yako
 
Umeozeshwa Mke kwakuwa umetambuliwa kuwa ni Mwanaume, hivyo ishi kama Mwanaume kwenye Ndoa yako ili usiwadhalilishe waliokuozesha!
 
Enendelea kupigwa tu mpaka ck ukipata faham manake yaonekana hujitambui,unapigwa afu unakuja mbele za wanaume et unapigwa?aisee muraaa ntaua mutu, uwiiiiiiii.
 
Ulishashindwa tangu mwanzo kuonyesha uanaume wako na ukasahau kale ka usemi kanakosema samaki mkunje angali mbichi na huyo mkeo hapo alipo ameshakakamaa ni ngumu kumnyoosha tena.

Ila wanawake na siee. Mmh. Yaani mwanaume katoka kutafuta akirudi varangati la nini sasa. Kwani linabadilisha nini jamaani.

Mkuu au humwambii sababu zinazokuchelewesha ndio sababu anapandwa na hasira. Hahahaaa.
 
Wadau huyu ni Beira baby boy anatuzuga na id mpya, kama sio yeye ni Sexless, nishajua thread/nyuzi zao hazinaga mashiko.Hawa watu wa hovyo sana kila siku nyuzi za kutunga za hovyo na kufanya JF kupoteza mvuto. Unashindwa kuelewa nani yupo serious na anahitaji msaada na kumaanisha alichoandika.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakubaliana na wewe kabisa.
 
Ah, kuna jamaa yangu yeye akiona mke wake anachelewa akaamua kuanza kulala huko huko anakuja kesho yake asubuhi. Akiulizwa anadai aliogopa kuja kwa kuchelewa, ndiyo maana akaanza kuja asubuhi.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mke bondia
 
Sa hapo huyo mke wako au mume [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mchukue mpeleke beach comber aone watoto wanavyojiachia... Alaf muulize wooote hao umewaacha sababu yako(huku unachojoa uzame kwa swmming pool) hatua atakayo chukka nawe utakavyoreact utapata Solution la tatizo lako[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Ashindwa kujijumlisha kitu kidogo
Ila mwambie tu mzee baba maana wengine wanataka hivyo
Duh ndoa tizi aise!!
 
"I Look To You"

As I lay me down,
Heaven hear me now.
I'm lost without a cause
After giving it my all.

Winter storms have come
And darkened my sun.
After all that I've been through
Who on earth can I turn to?

I look to you.
I look to you.
After all my strength is gone,
In you I can be strong
I look to you.
I look to you.
And when melodies are gone,
In you I hear a song.
I look to you.

About to lose my breath,
There's no more fighting left,
Sinking to rise no more,
Searching for that open door.

And every road that I've taken
Led to my regret.
And I don't know if I'm going to make it.
Nothing to do but lift my head

I look to you.
I look to you.
And when all my strength is gone,
In you I can be strong
I look to you.
I look to you.
And when melodies are gone,
In you I hear a song.
I look to you.

My levees are broken
My walls have come
Tumbling down on me

The rain is falling.
Defeat is calling.
I need you to set me free.

Take me far away from the battle.
I need you.
Shine on me.

I look to you.
I look to you.
After all my strength is gone,
In you I can be strong
I look to you.
I look to you.
And when melodies are gone,
In you I hear a song.
I look to you.

CC MBITIYAZA
 
Mimi ni mwanaume niliejaaliwa kuwa na watoto wawili wakike na wa kiume na mke wangu nimemuoa miaka kumi iliyopita huko mkoani iringa, shughuli zangu ni fundi seremala katika hizi kampuni za ujenzi za kichina zilizotapakaa hapa jijini dar ambazo tunajenga nyumba mbalimbali za miradi ya jamii.

Sasa mara nyingi pesa huwa tunalipwa kwa kila wiki, sasa hapa kati huwa napigika sana yaani nakuwa sina pesa hivyo ni lazima nijiongeze kwa kufanya kazi za ziada pindi ninapotoka kazini ile saa kumi, sasa najikuta nakuwa huko mitaani mpaka saa mbili au saa tatu usiku ndipo namaliza kazi zangu za ziada na kupata pesa then naelekea home.

Lakini ninapofika nyumbani nakumgongea mke wangu anifungulie mlango nikiingia ndani tu maneno yanaanza, nikimjibu kuwa nilipitia sehemu kufanya kazi maana nimerudi kazini nikiwa sina pesa naambulia vibao usoni napigwa mpaka nalia ndugu zangu huku nikiambiwa na mke wangu...usinijibu mimi nakwambia...roho inaniuma sana ndugu zangu naomba mnishauri nifanye nini ili kuepukana na vipigo hivi mimi jamani?.
Wanaume wa Dar mnatia huruma sana
 
Back
Top Bottom