Mke wangu ananitesa na kuninyanyasa sina raha na ndoa sijui nifanyaje

Neema, umeniacha hoi. eti akabebe vyuma gym, hahahaa!!! kazi kweli kweli... sijawahai kusikia mwanamme anakung'utwa na mkewe, its my first time. maybe wapo, lakini sidhani kama wana nguvu ya kuhadithia kwamba wanapata kipigo. kazi kweli kweli... huyu ni wa kumwacha tu. mapenzi yameisha kwako ndio maana kakugeuza house boy wake.
Kwa kifupi tu kaka, kwa mwanamke mapenzi yakiisha yameisha. hakuna kurudi nyuma. tofauti na mwanamme anaweza kumchukia mkewe akadhanimini nyumbani ndogo, lakini akarudi after sometimes anajirudi na kumwomba mwenzie msamaha na maisha yakaendelea kama kawaida. huyu alokugeuza house boy usitegemee kua eti kuna siku penzi litarudi. fikiria hatma ya watoto wako then fanya maamuzi ya busara.

 
Kama nakuona vile wakati unapigwa na mkeo 😛hoto:

Pole sana mkuu kaa chini na mkeo muongee maana hayo si maisha kabisa ikishindikana kabisa jaribu kuongea na pande zote mbili za familia yenu au kanisani. Ikishindikana na hapo mpe talaka ukae wewe na watoto wako tu!
 

Kaka nashukuru kwa ushauri wako lakini swala la kumuacha siwezi
 

Taufanyia kazi huu ushauri nashukuru ndugu yangu
 
basi atumie kinga halafu ampe n'genyo la kufa mtu uone kama hata mwambia "....eeeh baba watoto ulikua wapi siku zoteee eeeeeh jamaani mmmh.....!!!?" na heshima itaanza siku hiyo hiyo...!

Badala ya kunipa ushauri unanijoke?
 

Hivi wewe unadhani mapenzi lazima yafanyiwe kitandani? Kama unaona uwongo bora ungekaa pembeni watanisaidia watu wengine
 
Jamani wife karudi akiniona naandika humu atakasirika kesho ndugu zangu
 
hapo kwenye red kaka uache kukurupuka,hata kama ni mkeo witaji kufikiria na kupambanua sana,wanawake wetu awa siwo unaweza kumfanya kila kitu na ukajuta maisha yako yote,du ila pole sana
 
Looo ya bushoke kumbe ya kweli mweeeee, kaza ma..... kijana mbona unakuwa hivo sasa
mwanaume lazima ugangamale bwana
 
jamani kila siku naimba humu jf wanaume tunakung'utwa na wake zetu mnabisha,mnaona sasa?pole mchuzi,lakini sasa na wewe unatandikwa weeeeeee na we upo tu,kwa nini usijimuvuzishe ukaanza maisha kwingine? Au unasubiri kilema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…