Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana ya ndoa n nn mkuu.Wapi ameandika walikula kiapo kanisani au mimi ndio sioni[emoji3064][emoji848]
UshapigiwaAisee kama ndoa zenyewe ndizo hizi aisee sio poa kabisa nitajiengua kabisa muda si mrefu maana nahisi maluwe luwe kila siku na mbaya zaidi nimetoa mahari si haba lakini naona uzalendo unanishinda kabisa aisee
Hivi inakuaje mke wako anamtumia picha zake mwanaume mwingine? Hata akiwa kaka yake ni.sahihi kumtumia picha zake? Na pia wakati anaongea na huyo mwanaume au huyo anayemsema kaka yake anamwambia kwamba maisha ni mafupi kama mwanaume akinichoka aache niende zangu aisseee nimechoka kabisa wakuu
Na binti alikuwa msabato na mimi
New billionaire in town dini nyingine lakini yeye kutwa kupiga nyimbo za kisabato tu na wakati wa kulala lazima asome sala za kisabato wtf inanikera sana
Nahisi huyu moyo wake willing bado anaiwaza usabato wake tu hakuwa willing kubadilisha dini ila sasa kabla sijaenda kumuona alikubali kubadilisha dini;
Unatombewa mzee sasa unataka ushahidi gani?Aisee kama ndoa zenyewe ndizo hizi aisee sio poa kabisa nitajiengua kabisa muda si mrefu maana nahisi maluwe luwe kila siku na mbaya zaidi nimetoa mahari si haba lakini naona uzalendo unanishinda kabisa aisee
Hivi inakuaje mke wako anamtumia picha zake mwanaume mwingine? Hata akiwa kaka yake ni.sahihi kumtumia picha zake? Na pia wakati anaongea na huyo mwanaume au huyo anayemsema kaka yake anamwambia kwamba maisha ni mafupi kama mwanaume akinichoka aache niende zangu aisseee nimechoka kabisa wakuu
Na binti alikuwa msabato na mimi
New billionaire in town dini nyingine lakini yeye kutwa kupiga nyimbo za kisabato tu na wakati wa kulala lazima asome sala za kisabato wtf inanikera sana
Nahisi huyu moyo wake willing bado anaiwaza usabato wake tu hakuwa willing kubadilisha dini ila sasa kabla sijaenda kumuona alikubali kubadilisha dini;