Mke wangu ananiweka njia panda

Mke wangu ananiweka njia panda

Wasabato ni hardcore....wanajifanya wana misimamo mikali..pole
 
Aisee kama ndoa zenyewe ndizo hizi aisee sio poa kabisa nitajiengua kabisa muda si mrefu maana nahisi maluwe luwe kila siku na mbaya zaidi nimetoa mahari si haba lakini naona uzalendo unanishinda kabisa aisee

Hivi inakuaje mke wako anamtumia picha zake mwanaume mwingine? Hata akiwa kaka yake ni.sahihi kumtumia picha zake? Na pia wakati anaongea na huyo mwanaume au huyo anayemsema kaka yake anamwambia kwamba maisha ni mafupi kama mwanaume akinichoka aache niende zangu aisseee nimechoka kabisa wakuu

Na binti alikuwa msabato na mimi
New billionaire in town dini nyingine lakini yeye kutwa kupiga nyimbo za kisabato tu na wakati wa kulala lazima asome sala za kisabato wtf inanikera sana

Nahisi huyu moyo wake willing bado anaiwaza usabato wake tu hakuwa willing kubadilisha dini ila sasa kabla sijaenda kumuona alikubali kubadilisha dini;
Ushapigiwa
 
Aisee kama ndoa zenyewe ndizo hizi aisee sio poa kabisa nitajiengua kabisa muda si mrefu maana nahisi maluwe luwe kila siku na mbaya zaidi nimetoa mahari si haba lakini naona uzalendo unanishinda kabisa aisee

Hivi inakuaje mke wako anamtumia picha zake mwanaume mwingine? Hata akiwa kaka yake ni.sahihi kumtumia picha zake? Na pia wakati anaongea na huyo mwanaume au huyo anayemsema kaka yake anamwambia kwamba maisha ni mafupi kama mwanaume akinichoka aache niende zangu aisseee nimechoka kabisa wakuu

Na binti alikuwa msabato na mimi
New billionaire in town dini nyingine lakini yeye kutwa kupiga nyimbo za kisabato tu na wakati wa kulala lazima asome sala za kisabato wtf inanikera sana

Nahisi huyu moyo wake willing bado anaiwaza usabato wake tu hakuwa willing kubadilisha dini ila sasa kabla sijaenda kumuona alikubali kubadilisha dini;
Unatombewa mzee sasa unataka ushahidi gani?

Piga chini hio malaya.
 
Kizazi cha leo huko kwenye ndoa mnaenda kutafuta nini?? kila siku ndoa ndoa ndoa, hamuoni yanayotokea huko??? au ndio ile ya kwamba mna macho ila hamuoni, mna masikio lakini hamsikii?? mtapigwa na vitu vizito hadi mkome.
 
Pole sana mkuu, mvumilie tu huenda siku moja atabadilika, ndoa zina vijimakwazo vidogovidogo ivyo yakupasa kuwa na uvumilivu, ukisema umwache shemeji yetu utakutana na mwingine mwenye mapungufu zaidi ya ayo
 
Leo umekuwa Dume?

 
Je wewe ni Muslim au kuwa dini nyingine umemaanisha nini?

Kama ni mkristo ila dhehebu jingine mpe muda atabadirika. Na kama ni Muslim mwambie wazi msimamo wako kile ambacho hupendi ingawa itachukua muda kubadirika na kwenye hili mnaweza kuwa mnakosana mara kwa mara.

Kuhusu kuwasiliana na anayemuita bro usiyemfahamu kwenye piga marufuku. Kwanza anamtumia picha ili iweje. Bro anakutana na picha Status au Insta huko. Mume na mke au wapenzi ndio wanatumiana picha . Bro anatumiwa picha anataka agundue nini? Huyo sio brother ake.

Hata hivyo ukitaka mahusiano yadumu achana na simu ya mpenzi au mke wako.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Nunua redio nyingine kubwa kuliko hio,akiweka za kisabato wewe weka za dini yako kwa sauti kubwa
 
Pole mkuu, litafutie sababu uliache tu. Tofauti na hapo jiandae kuota kipara, mvi, kupata madonda ya tumbo, hatimaye kufa mapema.
 
Back
Top Bottom