Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Jamani hawa wamarekani naona wameamua ila kwetu wanaleta ujumbe wa kondom mbona kenya wenzetu wamewapa jumbe nzuri ""mke wangu anantosha""yaani walivyoliaanda hata ulikuwa mzinzi kwenye ndoa unaacha upuuzi wake.....
Hongera wakenya natumain mtafanikiwa
Hongera wakenya natumain mtafanikiwa