Mke wangu anapenda kuwasiliana na Ex wake

Tumefunga ndoa sasa yeye na mimi ni mwili mmoja,chake changu,changu chake nitaachaje kuchunguza?
Acha kumchunguza Mkeo. Tena sahau simu yake. Kabla ya kumuacha jiulize je kwa Miaka hiyo 10 hujawah chepuka?

Kama hujawah muache.

Pili, hawezi kuwasiliana na Ex wake kama kweli umemtendea haki, unampenda na kumjali.

Huyo ni mali yako na usidanganywe humu ndani ukamuacha. Mke si wa kitandani tu. Mke ni hao watoto, na uzeeni.

Usitegemee atatokea Mke mwingine mzuri kama huyo. Mwite mkeo mweleze akutunzie heshima. Atakuelewa
 

Mbona wanawake wengi kwa nn umng'ang'anie anaemtaka exwake
 

Labda alimuoa bikra
 
Huyo EX boy friend wake jina lake linaanza na 'K'?isije kua ni mimi aloh!
 
Kuna vitu vingi sna baadh ya wanaume mkioa mnaviacha,Mpka mtu anawasilian na ex wake ndani hakuko salama,kunavitu umemss alafu kwako unachukulia poa,Kwa mwenzio haviko poa labda humkuni akakunika,labda humkojoz anavyotaka,unampa zawadi,unatoka nae mitoko y maana,Huna gubu?wengine kitu kidog ataongea miez 6 anaon bora awasilian na ex wake acheke,Kuacha mke sio tiba jiulize sehem gan umepwaya
 
Pole sana mkuu

Nilkuwa nagombana sana na ex wangu kwa tabia kama hiyo ya mke wako.

Cha msingi mpe muda ajitafakari ikiwezekana muache aende akarudiane nae labda bado wanapendana.
 
Unataka ushauri?kweli?mpe likizo isyokuwa na mwisho akajaribu maisha kwingine,take a break miaka kumi ni mingi sana kukaa na pasua kichwa.
 
Hakika wwe ni mchonganishi..................... Inabidi ukamatwe [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hakuna muda wa kubembelezana na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa. A spade is a spade...not a very big spoon. Alimuonya mkewe 8 years ago ila mama bado kamaintain contact za nguvu. Kuna jambo zito.
 
Miaka 10 au 1? Hahaha hapo lazima unasaidiwa, mwambie awe anatoa na matumizi sasa.
Ushauri
Mwache aende kwao akawasiliane nae vzr, au mtege jamaa (x) as if wewe ni wife ujue atasemaje, mdanganye muonane alafu unialike tukamfumue marinda[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…