SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,613
- 7,889
Pole sana. Changamoto tu za maisha, usijali. Midhali, ex wake habandui papuchi, vumilia tu mlee watoto wenu. Miaka kumi ni mingi sana, hawezi kuacha tena..,..na inaelekea kuna kitu huyo ex anamfanyia mkeo ambacho wewe hufanyi....fanyia utafiti. Soma vitabu, uongeze maarifa. Wanaume wengi (sitanii!) hawawajui wanawake vizuri na hawana uwezo wa kufikisha kileleni. Jifunze ufundi, na ubadilike. Usitombx kwa mazoea tu!