Mimi mwenyewe bado nawasiliana na ex wangu
Habari zenu Ndugu zangu,jamaa na marafiki zangu.
Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.
Ki ukweli tunaishi vizuri mno.ni mnyenyekevu,msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.
Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita Licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.
Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa
Realist comment in this thread.Bro unatombewa kuwa makini
Habari zenu Ndugu zangu,jamaa na marafiki zangu.
Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.
Ki ukweli tunaishi vizuri mno.ni mnyenyekevu,msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.
Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita Licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.
Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa
Kumsahau kweli hawezii ilaa sio ndo aendelee kuto....naee kisaa alimtoa bikraa..!! huoo ni ujingaa... wangapi wametolewa bikra na hawawasiliani na ma ex waoo.. Ni kulifukuzaa tuu liendee likapigwee pipe vizuri hiloo mwanamke.. sio unalilisha buree afuu likipata nguvu linaend kumpanulia mapaja mwanaume mwingne...Huyo ndiye aliyemtoa bikira, hawezi kumtoa moyoni wala ubongoni, kamwe ndivyo walivyo wanawake
Mkuu mtwishe ngumi nzito kama arobaini uone kama ataendelea, akiendelea Ukuje nikupe mbinu nyingine.Namkataza sana ila sijawahi kumtwisha ngumi.labda nijaribu
Mkuu tatizo umeonesha uvumilivu toka mwanzo, ungekataa huo ujinga toka mwanzo naamini angeacha.Kama angekuwa hafanyi chochote ya nini kung'ang'ania mawasiliano ambayo yameleta sintofahamu mara kadhaa kwenye ndoa
MAWAZO YA KIAFRICA YALIYOFILISIKA. BIBLIA YENYEWE IMERUHUSU KUMUACHA MTU KWA SABABU ZA UZINZI. WEWE HIYO NDOA UMEFUNGA KWA IMANI GANI? NDIO MAANA WAAFRICA TUNAISHIA KUWA MASIKINITumefunga ndoa sasa yeye na mimi ni mwili mmoja,chake changu,changu chake nitaachaje kuchunguza?
mkuu usije ukajaribu kumpiga mwanamke! tafakari hilo kabla hujafanya maamuzi!! hapo muhimu vimba kiume aondoke mpe maneno ambayo yatamchoma aondoke!! usiwaze kuhusu watoto sana maana hao utajua jinsi ya kuwalea. Unaweza mpiga ngumi ukampiga sehemu mbaya kesho ukaenda kuozea jela kisa mtu ambaye hujazaliwa nae atakufanya usitamani kuish katika dunia hii!! vimba kiume aondoke bila shaka jamaa huenda anakula mke wakoNamkataza sana ila sijawahi kumtwisha ngumi.labda nijaribu
Siwezi kucopy mahali kwan kwenye mahusiano kuna vitu vingi sana,ukianzisha mahusiano,au kuolew na mwanaume mwingine kisa uliyempend mliacha au hamkudumu matatizo hayo yapo tena unajikuta unakuwa na majonzi na kumlilia mtu ambaye mlishatengan muda sana.Kwa kuwa mpenz mpya uliyenaye au mume anakuwa hana urafiki ndan yake,hajui au hataki kukusikiliza,anaona kero kukutoa out akupi zawad inakuwa kero mara miaKama hujaicopy mahali,,, you are truly a genius ma'am! !
Duh!! Hakuna haja ya kuoa/kuolewa kwa nyakati hizi!Mwenye tatizo ni wewe. Nani kakwambia uchunguze chunguze simu ya mkeo? Usingekuwa na kihere here cha kuigusa gusa wala usingefika hapa. Mwache arudi mme mwenzako akafaidi wewe urudi kupiga puli!