Kitu ambacho haujui wewe ndio upo kwenye hali mbaya na umemmiss yeye anajilitilisha huruma sababu anakujua wewe ni mtu wa huruma sana ndio maana ulipompa nauli hakuondoka sababu alijua ni suala la muda tu yataisha. Huyo mwanamke ana akili kukuzidi usimchukulie poa na kuchepuka hatoacha ila atakuwa makini zaidi.Sikutegemea kama ingemfanya awe na hali mbaya namna hii, yupo katika hali mbaya sana ya majuto
Mkuu tuache ndoa za watu...walee watoto.Kitu ambacho haujui wewe ndio upo kwenye hali mbaya na umemmiss yeye anajilitilisha huruma sababu anakujua wewe ni mtu wa huruma sana ndio maana ulipompa nauli hakuondoka sababu alijua ni suala la muda tu yataisha. Huyo mwanamke ana akili kukuzidi usimchukulie poa na kuchepuka hatoacha ila atakuwa makini zaidi.
Ha ha haHuo ndio ujinga sasa Aache kufanya kazi zake afatilie watu wanaopendwa??
Mkuu kumbuka Mke wake anatembea na watu anaowapenda sio kqa bahati mbya
Yalikukuta mkuu?Dah! Me nilichokuja kugundua kwa hawa wanawake bn akishaanza safari yake ya kuchepuka labda ikastopishwe na ugonjwa au kifo yaani ili mradi kwanza limkute jambo ndo atatulia au kujutia ila hivihivi huwaga tu wanatafutaga huruma ya mwanaume, na kwenye kuigiza sasa ππππ nilinyoosha mikono juu, Ukiruhusu tu basi next time sio kucheat tuu bali anasepa kabisa.
hii ni noma πTatizo kubwa lilianza pale nilipogundua anachepuka na ex wake. Baada ya kuligundua hilo sikutaka kuchukua hatua za shari sana papo kwa papo, bali nilichukua hatua ambazo mpaka leo anashindwa kuelewa afanyeje, sasa imefikia hatua muda wote ni analia tu, saikolojia hayupo sawa na kama anataka kuchanganyikiwa hivi.
Baada ya kugundua kwamba anachepuka nilichukua maamuzi yafuatayo
1. Siku hiyo hiyo niliyogundua sikutaka kumuuliza kama ni kweli au siyo kweli kwa sababu nilishajihakikishia kwa asilimia 100.
2. Sikula Chakula chake, nilifika naingia jikoni na kuandaa Chakula mwenyewe (hii imeendelea hadi leo)
3. Najitahidi sana niwahi kurudi nyumbani tofauti na siku za nyuma.
4. Tukilala kitandani mimi nageukia mzungu wa nne.
5. Tangia siku hiyo sijawahi kumuomba unyumba(japo anaweka mazingira ya jambo hili kila siku)
6. Akiniuliza namjibu kidogo halafu naendelea na utaratibu wangu.
7. Kila kitu najifanyia hadi nguo chafu zote za kwangu nakusanya na kufua mwenyewe nikipata nafasi(Ninapokuta amezifua narudia kufua)
8. Simtukani wala kumuongelesha vibaya bali nafanya mambo yangu ndani ya nyumba kivyangu.
9. Baada ya kuona hivyo, akasema anataka akaonane na Mama yake(ilikuwa Ijumaa usiku, nikampatia nauli muda huo huo na kumwambia asubuhi na mapema aende, ghafla akasema ameahirisha hadi sasa yupo)
10. Nimeacha kuchangia naye kitu chochote ndani ya nyumba isipokuwa sehemu ya kulala tu(kitandani na penyewe mzungu wa nne au nalala sebuleni wakati mwingine).
Sasa leo ni siku ya 6 tangia nimeanza kuishi hivyo na mke, mke wangu amenyongonyea ghafla, amekonda, amekuwa mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote.
Katika kipindi hiki chote alijua sababu ya mimi kuishi hivyo ni yeye kuchepuka, hii ni baada ya jana jioni kuniita Chumbani na kusema anajutia sana kufanya vile na hatarudia, jambo baya zaidi akasema ameshafikiria mara mbili kunywa Sumu, anaona hana thamani tena kwangu, Dah [emoji24][emoji24] nilimwonea huruma sana na nikaamua kumsamehe tuendelee na maisha lakini naona hali haijabadilika kwake yaani ni mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote, kiufupi anapitia wakati mgumu sana.
Wito kwa wanaume na wanawake hasa wanaoishi pamoja kama mke na mume kwa namna yoyote ile, kupigana siyo adhabu tosha ya kusuruhisha migogoro, mimi huyu mwanamke nimempa adhabu hiyo lakini naona imemnyoosha kweli kweli japo naona kabisa imemuharibu kisaikolojia kabisa.
baada ya kugundua ananicheat nilimuita na kumjuza how ninajihisi baada ya kugundua anafanya hivyo, nakumbuka alilia toka saa 5 usiku hadi 10 ahsubuhi akiomba nimsamehe kwani nilimuahidi kwamba ifikapo kesho yake atakapoenda kazini kwake basi akirudi hatonikuta kwani nitabeba kilicho changu nitaondoka na kumuachia nyumba aishi peke yake, Mwanamke yule aliloanisha bukta yangu kwa machozi yake maana alikuwa amepiga magoti na kuniegemea miguuni muda huo mimi nimekaa kwenye sofa, Alilia hadi nikaona huyu sasa nisipomsamehe anaweza kufanya maamuzi ya hovyo ikabidi nisamehe bn, Na pale ndo lilikuwa kosa.Yalikukuta mkuu?
Aliendelea tena?baada ya kugundua ananicheat nilimuita na kumjuza how ninajihisi baada ya kugundua anafanya hivyo, nakumbuka alilia toka saa 5 usiku hadi 10 ahsubuhi akiomba nimsamehe kwani nilimuahidi kwamba ifikapo kesho yake atakapoenda kazini kwake basi akirudi hatonikuta kwani nitabeba kilicho changu nitaondoka na kumuachia nyumba aishi peke yake, Mwanamke yule aliloanisha bukta yangu kwa machozi yake maana alikuwa amepiga magoti na kuniegemea miguuni muda huo mimi nimekaa kwenye sofa, Alilia hadi nikaona huyu sasa nisipomsamehe anaweza kufanya maamuzi ya hovyo ikabidi nisamehe bn, Na pale ndo lilikuwa kosa.
after 2 weeks ndo nilikuja kugundua mchongo wao bado unaendelea sema alifanya tu marekebisho kwenye kujaribu kuficha zaidi na mimi nilimuamini tena kwa kuwa niliona kwa msamaha aliouomba basi hatowahi kurudia lile kosa tena ila after pale nikagundua tabia haiach asili so mara ya pili sikujiuliza mara mbili na nikaja kuapa kuwa sitosamehe mwanamke msaliti till now nipo single na ni mwaka sasaAliendelea tena?
ila mkuu itoshe tu kusema kwa issues kama hizo inategemea na stages me sikuwa na mtoto bado hivyo kama wewe tayari una mtoto au watoto nae basi sishauri sana umuache maana madhara yataenda kwa watoto.Aliendelea tena?
Nilikuwa nampa taadhari tu maana naona anasema anafanya mambo yake kwa umakini mkubwa sana hajui ni mapenzi kwa mkewe ndio yanayomtesa ila hakuna jipya analofanya. Huyo mke yeye aendelee nae ila kuchapiwa hatoacha amepumzika tu hii naongea kwa experience.Mkuu tuache ndoa za watu...walee watoto.
Kwani akiishi na mchepukaji wake sisi hatuumii popote.
Amsamehe mkulungwa wake maisha yasonge
Bora ushirikina naweza kusamehe Ila sio kuchepukaSahihi lakini hilo kosa adhabu yake ni straight RED CARD. Hakuna adhabu nyingine hapo. Makosa mawili kwenye ndoa hayahitaji vikao vya suluhu. Mke kuchapuka au kufanya mambo ya ushirikina. Malizana naye huyo mwanamke bro.
Mbona unanishauri tena mkuu kama vile nimeanzisha uzi?πππila mkuu itoshe tu kusema kwa issues kama hizo inategemea na stages me sikuwa na mtoto bado hivyo kama wewe tayari una mtoto au watoto nae basi sishauri sana umuache maana madhara yataenda kwa watoto.
Unamshauri ndugu Mke..nyaKwa namna fulani hata wewe unajitesa.
Yalikukuta mkuu?Nilikuwa nampa taadhari tu maana naona anasema anafanya mambo yake kwa umakini mkubwa sana hajui ni mapenzi kwa mkewe ndio yanayomtesa ila hakuna jipya analofanya. Huyo mke yeye aendelee nae ila kuchapiwa hatoacha amepumzika tu hii naongea kwa experience.
Na usimfanyie hivyo mwanamke wa kichaga!Tatizo kubwa lilianza pale nilipogundua anachepuka na ex wake. Baada ya kuligundua hilo sikutaka kuchukua hatua za shari sana papo kwa papo, bali nilichukua hatua ambazo mpaka leo anashindwa kuelewa afanyeje...