Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Kumsamehe ni sawa lakini aseme kwa uwazi kwa nini alirudi kwa X.

Nakupa mbinu ya kuongezea na nakushauri urudie ukauzu. Tafuta panga, tafuta X anakopita kwa Sana, anza kunoa panga akuone huku ukimkata jicho Kali. Kwa mke wako pia. Ile anarudi jioni akute unanoa panga na hakuna kuongea wiki nzima.
Wanaume huwa hatuchepuki
 
Inakuwaje sawa kwa mwanaume kuchepuka na mchepuko wenye bwana wake ila akichepuka mke ni kosa la jina??i
Vitu vingine haviruhusiwi kuhojiwa viache kama vilivyo havina majibu sahihi

Ila mwanamke anaechepuka ni hatari kwa familia haruhusiwi kusamehewa
 
Hapo kuziludia nguo kufua wewe mwenyewe,imenibidi ncheke kwanza...[emoji1787][emoji1787]
 
Ataachana na X ili abaki na ww Y wake ila Z yupo na anakula bila kunawa mikono(hatumii miboli)
 
Kununa hajujawahi kua suluhisho la kudumu kwenye migogoro Kama hiyo.

Ulichokifanya Ni kana kwamba uyo mwanamke ni unaiba tu (Mchepuko au hawala yako).
Hujaonesha Yale makucha na mAmlaka ya kiume kuonesha umekasirishwa na alichokifanya.

Na kwasababu umemsamehe kirahisi Sana, nna imani atachepuka Tena maana keshakusoma una moyo mwepesi Sana wa kusamehe haraka.

Ulitakiwa uoneshe advertise Moja matata Sana kama unamwacha Moja kwa moja.
(Hata Kama huna.mpango wa kumuacha)

Pia uyo ex wake nae umchimbe mkwara mzito Sana kwamba umejua na akiendelea dawa yake inachemka. Ajutie kabisa Ujinga aliufanya. Yaan ikiwezekana uyo kijana ndio amkimbie mkeo.

Unapojificha eti unanuna na hufunguki kwa pande zote mbili kilichokukasirisha. Eti unajifulia nguo n.k
Huo unakua Ni ufala.

Wote wanakuona Ni mwanaume mwenye wivu sana na kisirani tu. Na ulivosamehe kirahis wameshakuchora Ni mwanaume kisirani na laini asiye na msimamo kabisa.

BE A MAN and be a HUSBAND[emoji120]
Simamia ndoa yako, ilinde familia yako
Umempa Red pill, kazi kwake ainywe au ateme.
 
unagongewa mke unataka tukupe ushauri wa kudumisha NDOA GANI HAPO??? HAKUNA NDOA kuna mwanaume bwege anaishi na demu mjanjaa... Me nilijua tu uelekeo wako ni kujidai wew ni gentlemen kumbe hamna kitu humo ugongewee tu
Kwanza inaonekana ww bado una mihemuko ya ujana sana, kwa upande wa ushauri waachie wenye experience ya ndoa nazani itakuwa inatosha.

Sasa hapa umemshauri nn mtu aisee
 
Back
Top Bottom