Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Pia uyo ex wake nae umchimbe mkwara mzito Sana kwamba umejua na akiendelea dawa yake inachemka. Ajutie kabisa Ujinga aliufanya. Yaan ikiwezekana uyo kijana ndio amkimbie mkeo.
umeandika vizuri sana kasoro hapa tu... yani mimi mwanaume nikamchimbe mkwara mwanaume mwenzangu aache mbususu ya mke wangu... aisee huo ni bonge wa udhaifu. deal na mkeo vizuri sababu habakwi.!
 
Kama na wewe mchepukaji haisadii, utagongewa tu hakuna namna. Weka hiyo misimamo kama wewe ni msafi.
We unadhani kwanini wanaume wengi wanaua wake zao?
Bado haijakubalika yaani mwanaume akuoe kwa harusi na gharama kubwa,akuweke ndani,halafu akubali kumegewa na mwanaume aliyekugaragaza maghetoni au gesti,akajua udhaifu wako na akaamua aoe mwanamke mwingine kisa wewe hufai.Unadhani nini kitafuata kama siyo kutomchagulia mume wako adhabu endapo atagundua unaendelea kuchepuka na ex wako(zako)?
Mwanaume kama umeona anachepuka,mwambie myamalize,kama haiwezekani dai talaka,lakini kusema uende kwa ex wako halafu urudi kulala kwenye nyumba yangu na ex wako akalale kwa mkewe anayemuona anaakili,hakyanani yatakupata usiyoyatarajia.
 
We unadhani kwanini wanaume wengi wanaua wake zao?
Bado haijakubalika yaani mwanaume akuoe kwa harusi na gharama kubwa,akuweke ndani,halafu akubali kumegewa na mwanaume aliyekugaragaza maghetoni au gesti,akajua udhaifu wako na akaamua aoe mwanamke mwingine kisa wewe hufai.Unadhani nini kitafuata kama siyo kutomchagulia mume wako adhabu endapo atagundua unaendelea kuchepuka na ex wako(zako)?
Mwanaume kama umeona anachepuka,mwambie myamalize,kama haiwezekani dai talaka,lakini kusema uende kwa ex wako halafu urudi kulala kwenye nyumba yangu na ex wako akalale kwa mkewe anayemuona anaakili,hakyanani yatakupata usiyoyatarajia.
Waendelee tu kuua, lakini kuchapiwa kupo na kunaendelea kushamiri. Vifo havizuii
 
Na ndo tusiwachagulie aina ya adhabu wale wanaofumania au kugundua watoto siyo wao.Jamii ijiandae kisaikolojia.
Hakuna anayewachagullia adhabu. Watu wanafanya wakijua kabisa nikifumaniwa nini kinaweza kutokea so mauaji hayajawahi kuwa kitisho eti mke asichepuke ndo maana unaona huku kwa ground hali si hali
 
Tatizo kubwa lilianza pale nilipogundua anachepuka na ex wake. Baada ya kuligundua hilo sikutaka kuchukua hatua za shari sana papo kwa papo, bali nilichukua hatua ambazo mpaka leo anashindwa kuelewa afanyeje, sasa imefikia hatua muda wote ni analia tu, saikolojia hayupo sawa na kama anataka kuchanganyikiwa hivi.

Baada ya kugundua kwamba anachepuka nilichukua maamuzi yafuatayo

1. Siku hiyo hiyo niliyogundua sikutaka kumuuliza kama ni kweli au siyo kweli kwa sababu nilishajihakikishia kwa asilimia 100.

2. Sikula Chakula chake, nilifika naingia jikoni na kuandaa Chakula mwenyewe (hii imeendelea hadi leo)

3. Najitahidi sana niwahi kurudi nyumbani tofauti na siku za nyuma.

4. Tukilala kitandani mimi nageukia mzungu wa nne.

5. Tangia siku hiyo sijawahi kumuomba unyumba(japo anaweka mazingira ya jambo hili kila siku)

6. Akiniuliza namjibu kidogo halafu naendelea na utaratibu wangu.

7. Kila kitu najifanyia hadi nguo chafu zote za kwangu nakusanya na kufua mwenyewe nikipata nafasi(Ninapokuta amezifua narudia kufua)

8. Simtukani wala kumuongelesha vibaya bali nafanya mambo yangu ndani ya nyumba kivyangu.

9. Baada ya kuona hivyo, akasema anataka akaonane na Mama yake(ilikuwa Ijumaa usiku, nikampatia nauli muda huo huo na kumwambia asubuhi na mapema aende, ghafla akasema ameahirisha hadi sasa yupo)

10. Nimeacha kuchangia naye kitu chochote ndani ya nyumba isipokuwa sehemu ya kulala tu(kitandani na penyewe mzungu wa nne au nalala sebuleni wakati mwingine).

Sasa leo ni siku ya 6 tangia nimeanza kuishi hivyo na mke, mke wangu amenyongonyea ghafla, amekonda, amekuwa mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote.

Katika kipindi hiki chote alijua sababu ya mimi kuishi hivyo ni yeye kuchepuka, hii ni baada ya jana jioni kuniita Chumbani na kusema anajutia sana kufanya vile na hatarudia, jambo baya zaidi akasema ameshafikiria mara mbili kunywa Sumu, anaona hana thamani tena kwangu, Dah [emoji24][emoji24] nilimwonea huruma sana na nikaamua kumsamehe tuendelee na maisha lakini naona hali haijabadilika kwake yaani ni mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote, kiufupi anapitia wakati mgumu sana.

Wito kwa wanaume na wanawake hasa wanaoishi pamoja kama mke na mume kwa namna yoyote ile, kupigana siyo adhabu tosha ya kusuruhisha migogoro, mimi huyu mwanamke nimempa adhabu hiyo lakini naona imemnyoosha kweli kweli japo naona kabisa imemuharibu kisaikolojia kabisa.
Ni kweli kaniambia umefanya hvyo, but sisi tutaendea kama ulivyotukuta.
 
Hakuna anayewachagullia adhabu. Watu wanafanya wakijua kabisa nikifumaniwa nini kinaweza kutokea so mauaji hayajawahi kuwa kitisho eti mke asichepuke ndo maana unaona huku kwa ground hali si hali
Sidhani kama mtu anajua akifumaniwa kifo au kilema kitamhusu,atajiachia hovyohovyo,moja ya vitu vinavyofanya wanawake wengi wachiti hovyohovyo hasa kama huyo anayecheat kwa ma ex wake,ni akili finyu,yaani mwanamke hajitafakari kwanini maex wake wameoa wake wengine,wakamuacha yeye,pili ni don't care ya mwanamke,kwamba jamii itamuonaje pale ambapo wakiona anacheat na aliyetaka kumuoa halafu akaoa mwingine na bado akitaka huduma anaswagwa tu kama ng'ombe,tatu ni malezi ya alikotoka,yaani familia yake, background yao ikoje yaani haina maadili,nne ni aina ya wanaume wanaowaoa,wanawafanya waendelee kucheat,kwani mwanaume anayesamehe na kukubali kuendelea kugongewa,analea hiyo tabia bila yeye mwenyewe kujua kua analea tabia husika.
 
Kwani kua na mtoto ndo kukufanye uendelee kumuamini
Uzinzi bana mm sikubaliani nao aende mwanangu nitalea mwenyewe
sio kumuamini bali kuvumilia kwa maslahi ya watoto wenu.
 
Sidhani kama mtu anajua akifumaniwa kifo au kilema kitamhusu,atajiachia hovyohovyo,moja ya vitu vinavyofanya wanawake wengi wachiti hovyohovyo hasa kama huyo anayecheat kwa ma ex wake,ni akili finyu,yaani mwanamke hajitafakari kwanini maex wake wameoa wake wengine,wakamuacha yeye,pili ni don't care ya mwanamke,kwamba jamii itamuonaje pale ambapo wakiona anacheat na aliyetaka kumuoa halafu akaoa mwingine na bado akitaka huduma anaswagwa tu kama ng'ombe,tatu ni malezi ya alikotoka,yaani familia yake, background yao ikoje yaani haina maadili,nne ni aina ya wanaume wanaowaoa,wanawafanya waendelee kucheat,kwani mwanaume anayesamehe na kukubali kuendelea kugongewa,analea hiyo tabia bila yeye mwenyewe kujua kua analea tabia husika.
Haijalishi sababu ya kucheat iwe hana maadili au vipi. Kucheat kutaendelea kuwepo na hakuna namna ya kuzuia. Tuishi tu
 
Tatizo kubwa lilianza pale nilipogundua anachepuka na ex wake. Baada ya kuligundua hilo sikutaka kuchukua hatua za shari sana papo kwa papo, bali nilichukua hatua ambazo mpaka leo anashindwa kuelewa afanyeje, sasa imefikia hatua muda wote ni analia tu, saikolojia hayupo sawa na kama anataka kuchanganyikiwa hivi.

Baada ya kugundua kwamba anachepuka nilichukua maamuzi yafuatayo

1. Siku hiyo hiyo niliyogundua sikutaka kumuuliza kama ni kweli au siyo kweli kwa sababu nilishajihakikishia kwa asilimia 100.

2. Sikula Chakula chake, nilifika naingia jikoni na kuandaa Chakula mwenyewe (hii imeendelea hadi leo)

3. Najitahidi sana niwahi kurudi nyumbani tofauti na siku za nyuma.

4. Tukilala kitandani mimi nageukia mzungu wa nne.

5. Tangia siku hiyo sijawahi kumuomba unyumba(japo anaweka mazingira ya jambo hili kila siku)

6. Akiniuliza namjibu kidogo halafu naendelea na utaratibu wangu.

7. Kila kitu najifanyia hadi nguo chafu zote za kwangu nakusanya na kufua mwenyewe nikipata nafasi(Ninapokuta amezifua narudia kufua)

8. Simtukani wala kumuongelesha vibaya bali nafanya mambo yangu ndani ya nyumba kivyangu.

9. Baada ya kuona hivyo, akasema anataka akaonane na Mama yake(ilikuwa Ijumaa usiku, nikampatia nauli muda huo huo na kumwambia asubuhi na mapema aende, ghafla akasema ameahirisha hadi sasa yupo)

10. Nimeacha kuchangia naye kitu chochote ndani ya nyumba isipokuwa sehemu ya kulala tu(kitandani na penyewe mzungu wa nne au nalala sebuleni wakati mwingine).

Sasa leo ni siku ya 6 tangia nimeanza kuishi hivyo na mke, mke wangu amenyongonyea ghafla, amekonda, amekuwa mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote.

Katika kipindi hiki chote alijua sababu ya mimi kuishi hivyo ni yeye kuchepuka, hii ni baada ya jana jioni kuniita Chumbani na kusema anajutia sana kufanya vile na hatarudia, jambo baya zaidi akasema ameshafikiria mara mbili kunywa Sumu, anaona hana thamani tena kwangu, Dah [emoji24][emoji24] nilimwonea huruma sana na nikaamua kumsamehe tuendelee na maisha lakini naona hali haijabadilika kwake yaani ni mtu wa mawazo na wasiwasi muda wote, kiufupi anapitia wakati mgumu sana.

Wito kwa wanaume na wanawake hasa wanaoishi pamoja kama mke na mume kwa namna yoyote ile, kupigana siyo adhabu tosha ya kusuruhisha migogoro, mimi huyu mwanamke nimempa adhabu hiyo lakini naona imemnyoosha kweli kweli japo naona kabisa imemuharibu kisaikolojia kabisa.
Ndugu,
Kama umemsamehe na bado hayuko sawa, tafadhali fanya mambo haya haraka:-

1. Mwambie akapime ujauzito
2. Pima magonjwa ya zinaa ikiwemo UKIMWI.
 
Yote ya nini?? Kama amediriki kuchepuka basi ni dhahiri hathamini penzi lako wala utu wako.

Maradhi mengi siku hizi ya nini kuleteana vifo mapema. Mwenye asili yake haachi. Leo ka cheat na X kesho ata cheat na Y yote akijua adhabu itakuwa kununiwa na yeye atajinyong'onyesha na wewe utasamehe.

Pale ulipogundua kacheat ndipo palipaswa pawe ukomo wa ndoa yenyewe. Mpaka wewe kujua inamaanisha aidha aliamini sana 'ujanja' wake ama alitambua kuwa wewe ni mpumbavu kwake.

Niamini hata mkisameheana hutomuangalia kwa mtazamo ule ule tena kabla ya kumkamata, daima atakuwa msaliti kwako hivyo adhabu ni yenu wote.
Inatokea tu hii mbona? Kama uongo we tupe ushuhuda wako kam hujawahi hili
 
Umeenda vizuri ukaharibu mwishoni.

Kama uliamua kumsamehe baada ya kukiri ilitakiwa umlambe makofi kadhaa kwa hasira ndio umpe onyo. Ulivyo samehe kilaini hivyo ndio maana bado haamini kama kweli umemsamehe.
Kweli wanawake wengi wananajua ukimpiga ndio unaondoa hasira na ni mwanzo wa msamaha,bila kufanyq hivyo Bado haamini na ni rahis kuchukulia poa.
#pigaaa
 
Back
Top Bottom