Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Pole mkuu! Kabla ya ndoa mlikua kwny uhusiano kwa muda gn?
 
Mwanamke hapaswi kuonewa huruma Kwa Namna yeyote ile pale anapofanya jambo la kipumbavu.
 
Hofu niliyomtengenezea kwa adhabu hii ni kubwa muno na pengine anajutia sana hajawahi kupewa mateso ya saiklojia ya namna hii.

Jioni hii amepelekwa hospitali hali yake imekuwa mbaya sana na pressure imekutwa iko juu sana.
Duh sio mchezo
Kapelekwa na nani ss ?
 
Eeeh Bora aende akapumzike Kwa mama yake kwanza
Big up
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]duh
Nimecheka
 
If you want to see how powerful you can be as a man, reject a woman who begging your for it.

Keep your priorities no matter what, she will desire you even more and you won't care because you are living your purpose.
 
Hongera sana
 

We jamaa utatombewa mpaka siku ya kiama NIAMINI MIMI. Kuna makosa hayanaga msamaha alafu ubaya uliofanya ni kumsikiliza, eti ametaka kunywa sumu, aise hivi uongo kama huu umekuteka akili.

Wanawake hutumia sana huu uongo, nyumbani kwao wakijua ana boyfriend wanajidai kutaka kunywa sumu, wakipata mimba wakaulizwa mimba ya nani wanatishia kunywa sumu. IN SHORT KUNYWA SUMU NI UJANJA WA SIKU NYINGI WASICHANA NA WANAWAKE HUTUMIA ILI WAONEWE HURUMA NA MATAKWA YAO YAPITE BILA KUHOJIWA.

Mwanamke msaliti ni wa kufukuza tunza maneno yangu ATAKUSALITI TENA fanya uchunguzi baada ya miezi 4 ila fuatilia hasa kwa maana round hii hauta mkamata kizembe atakua mwangalifu SANA.
 
Ndo swali gani hili? Umechukia kumwambia aende akapange?
Have you ever noticed how the biggest and strongest men you know are never bothered by trivial bullshit?

The stronger you become physically, the more stress you can handle mentally.
 
Hofu niliyomtengenezea kwa adhabu hii ni kubwa muno na pengine anajutia sana hajawahi kupewa mateso ya saiklojia ya namna hii.

Jioni hii amepelekwa hospitali hali yake imekuwa mbaya sana na pressure imekutwa iko juu sana.
We jamaa umeoa ila wanawake hauwajui hata punje. Wanawake ni heros of manipulations hayo yote maigize unaektiwa na wewe unazama kama boya. Mkuu nipe namba ya mkeo nimshauri kitaalam kushusha presha.

Nipe namba nimtombe maana hilo ndo kwa hakika litatokea tena na tena na tena na unastahili kabisa kutombewa
 
Umesema mengi lakini hujasema kama kuna siku alikiri viwango vyako vya TBS
 
Kwa ambao hamkuwahi kuishi na mwanamke mtamponda lakini hakuna kitu kibaya ndani ya nyumba kama kukaliana kimya hapo ilibidi ufanye ivyo kama mwezi akijirudi mwambie akupe namba ya X wake chimba mkwara mzito.

Baada ya hapo mpe masharti mapya kwenye mji wako

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Vijana wengi wanaokejeli usikute hata hawajaoa na wapo na vi gelofrend ambavyo navyo wana share scania zima.
 
huna lolote Dp...

ungempenda mkeo usingeshinda hapa kumsifia mchepuko wako....

sema unaishi nae tu kwasabab mnawatoto
Sio kweli,
Mchepuko namleta Hapa sio kwa kumsifia Bali ni kwa ajili ya wengine wajifunze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…