Mke wangu anasumbuliwa na chunusi za uso

Mke wangu anasumbuliwa na chunusi za uso

Inaweza kuwa acne my girl ilisumbua hzo ishu za chunusi kuna daktar mmoja akatoa dawa ya doxycycline anatumia Kwa miez mitatu au Zaid inafanya kazi, mm nilishangaa kuona hii dawa inatumika hvyo lakin unawez google pia utaona
 
Mpeleke SH AMON....utakuja kunishukuru

Nenda nae wauone huo uso ndio watampa tiba stahiki
 
Aiseee...jaribu wix...hi cream Sio Kwamba inatrend mitandaoni....Ni nzuri kweli...yaani ninhekuwa na hela ningenunua na sabuni na serum...
Ni nzuri sanaaa mydear

Kwa mwanaume mwenye chunusi, na zimo ndani kwa ndani, hiyo WIX inaweza kuyatoa?
 
Ni wapi SH AMON? naomba picha ya hiyo dawa, je! Kwa mwanaume inatibu na kuyaondoa machunusi?
Hao SH AMON wanazo dawa nyingi lakini huwa wanapenda wamuone muhanga live ndio wampe inayomfaa kulingana na tatizo.

Yes hata kwa wanaume institute tu.
 
Naomba kusema tu kitu kimoja nyanya na kiazi ulaya kibichi kinafanya maajabu ,mimi nilikuwa siwezi kutoka bila powder,sababu uso haukuwa ukiridhisha lakini sasa ni mafuta tu natoka ndani.
 
Awe anapaka mate kila akiamka kabla ya lula chochote kisha anakaa kam nusu saa hiv au lisaa ndo ananawa siku 5 tu ataona matokeo
 
Tafuta

Acnotin 20mg anywe kimoja kila siku usiku kwa mwezi mzima huku akipakaa Acne free cream.

Rudi hapa baada ya mwezi. NB asiwe mjamzito
 
Tafuta

Acnotin 20mg anywe kimoja kila siku usiku kwa mwezi mzima huku akipakaa Acne free cream.

Rudi hapa baada ya mwezi. NB asiwe mjamzito
Na wala asifikirie kuzaa within a year baada ya matumizi ya dawa 🙌

Masharti magumu
 
Habarini Wana Jf

Mke wangu anasumbuliwa na chunusi za uso zisizoisha ametumia lotion nyingi bila mafanikio naomba mnishauri atumie nini?
Chunusi dawa yake ya kwanza kabla ya yote ni usafi........Mto anatumia kulalia na mashuka yawe yanabadilishwa mara kwa mara sio shuku Moja na foronya vikae week.
Pili ahakikishe ananawa uso mara tatu kwa siku na sabuni zile za kigoma au sabuni yoyote inayoondoa mafuta, Tatu asijishikeshike uso kabisa na hata akitaka kushika uso ahakikishe mikono yake ni misafi na haina mafuta kabisa
Nne simu anayotumia kabla ya kuiweka sikioni ahakikishe ni safi
Tano kama anapenda kuweka make uo usoni aache kwanza kwa muda hadi hapo chunusi zitakapo Isha.
Tano anunue asali original awe anapakaa usoni kila siku asubui anavyoamka, au apakae mate kila siku asubui avoamka, au mkojonwa asubui anapakaa anasugulia usoni vzuri kabisa
Sita anaweza pia kupaka manjano anakaa nusu saa akimaliza anachekesha maji moto anaweka kweny ndio mvuke umuingie usoni
Saba ahakikishe anakunywa maji mengi apunguze kula vyakula vyenye karanga kabisa...... kweny swala la kitu Cha kupaka atafute bidhaa zile ambazo wanapaka wachina awe anunue kwa set na kitu Cha usoni apake usoni kitu na mikono apake mikono asichanganye mafail
 
Unalizungumziaje suala la hiyo dawa kukufqnyq utop kubeba ujauzito wakati wa matumizi yake?
Ndio masharti yenyewe, Isotretinoin ni kali sana itampa mtoto defects.
Ila baada ya kumaliza dose wengine wanafanya detox na wanajifungua vizuri tu.
 
Tafuta

Acnotin 20mg anywe kimoja kila siku usiku kwa mwezi mzima huku akipakaa Acne free cream.

Rudi hapa baada ya mwezi. NB asiwe mjamzito
Apige miezi 4 tena aisindikize na doxy, baada ya dozi hatakuja kutokewa na chunusi maishani mwake.
 
Back
Top Bottom