Mke wangu anataka kula tunda kila siku kutwa mara 2!

3-0????? joking?πŸ˜•πŸ˜•
sasaa huyo ukianza kuilaza doro noma,mpigie tizi,kisha siku akirudi job unatandika hiyo kitu mpaka anakimbia chumba,kisha unakula tizi tena unamsubiri kesho yake unapiga gemu lingine kali zaidi ya la jana yake,halafu tizi tena siku moja unalaza kavu inayofuata unakula mzigo ile kinomanoma mpaka mwenyewe anasikia kichefuchefu wiki inayofuata hutasikia akiulizia gemu na ukigusa utaona mwenyewe anaomba mapumziko
 
kuweni rialistic banaa, haya mambo ya magoli matano ni ya teenagers' fantasies.
siyo lazima teenegers,unakosea sana, mechi nyingi za tenagers lazima mwanamke atatoka kidedea.
 
Wasiwasi wangu ni hapo kwenye red
 
hahahahahah Great Thinkers!!! I like JF! Asante WC
 
Pape, unachekesha!! Mbona hiyo ni dozi ya kawaida tu?
 
Unajua ukiliangalia positiveley wala halikuumizi kwani utalitengenezea mazingira mazuri na wala hutaliona mzigo au kama ratiba! Na ukiona hivyo ujue huenda umekuwa ukimmegea; haumpi kitu kizima eer samahani kama lugha ni kali
 
kuweni rialistic banaa, haya mambo ya magoli matano ni ya teenagers' fantasies.
afadhari uwaambie mkuu! mie kiuno kinauma sio masihara, huyu mama ni mashine ati.....

ningemkung'uta 2.5 asubuhi jioni 3 wiki nyege kwsha kabisa
lolπŸ˜•

siyo lazima teenegers,unakosea sana, mechi nyingi za tenagers lazima mwanamke atatoka kidedea.
kweli!

Pape, unachekesha!! Mbona hiyo ni dozi ya kawaida tu?
Kaka, ni kweli ila huyu anataka kila siku kama panadol vileeeeeeee
 
uchokozi huo. unaanzishaje vangi??
 
huyo mkeo Pape kiboko...ameshaondoa vile viatu pale kwenye seat ya mbele?
Kweli umekumbusha jambo zuri. Naona mkewe ameshamshtukia huyu jamaa kuwa anapiga nje mana hivi visa vyake vyote ni vya kumkomoa
 
Kweli umekumbusha jambo zuri. Naona mkewe ameshamshtukia huyu jamaa kuwa anapiga nje mana hivi visa vyake vyote ni vya kumkomoa
Naona ameniwekea ngumu, namimi ngoja nitafute mitoko mipya! Jino kwa jino tu!
 
Pape, wewe umebarikiwa sana. Wenzio wanalia hapa kwamba wanapewa kwa kijiko mara moja kwa wiki. Usifikirie madhara jiulize kwa nini hatosheki?

Ninavyohisi hicho kimoja asubuhi au jioni haumpeleki akafika. Usikimbilie kufunga goli haraka haraka bali jaribu kum***zea ujue ni wapi panampeleka basi uende nae mpaka apate magoli kadhaa ndipo uguse iuno chako. Usishangae hata hizo stress zake zikaisha na asubuhi asikuguse na wala kesho yake.

Inawezekana kwa kutomfikisha amekua kama wale watoto wa girls chools za boarding wanapoanza kucheka hovyo.
 
hili linaukweli....
 
Fanyia kazi basiiii, si unaona jamaa wanaanza kuomba namba yake ya simu. Chelewa chelewa utakuta mwana si wako.
Nimeona kuna jamaa yaani hawana aibu eti wanaomba address kabisaaaa....PM zimemiminika usipime......
 

ANGALIZO: Habari za mkeo kutaka bao mara kwa mara au wakati mwingine kukuambia uvae chupi zake zinaweza kuwa zinawakwaza baadhi ya watu na wengine kuwapa matamanio ya ngono zembe!
 
mi nampemnda huyo mkeo hivi unataka amwombe nani pengine oficin kuna wakware wanataka mambo anahisi kama hatatamani.kwa kawaida sisi wadada ndo tunalalamika kumbe hata nyinyi mpo.kula viiiiiiiiittttttttttuuuuuuuuzzzzzziiiiii baba.naipenda hiyo hasa upate na picha za MARIA ROZA huchoki mwanangu galauka baba ulizaliwa mwanaume muulize (TX WILIUM)kaimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…