Mke wangu anataka kula tunda kila siku kutwa mara 2!

Mke wangu anataka kula tunda kila siku kutwa mara 2!

we una bahati kweli mimi hapa napiga miezi sioni ndani hapa ninasema nishapiga mwezi na nusu bila ya goli hebu nitafutie nami kama huyo yaani nina usongo kweli,

Hapo kwenye red nikiweka kwenye mashine ya kimahesabu, sekunde tano ni nyingi, ukipewa wewe kwanza zitatokea nje na hutakuwa na hamu tena kwa mwezi na nusu tena.

Kama umeweza kukaa muda wote huo na una usongo hivyo, wewe huwezi kumfaa huyu jimama anayetajwa hapa, utamtesa tu. Huyu anahitaji kina Ruga.
 
Ndio maana alikubali kuolewa na wewe,sababu alishatest na kujua kuwa wewe ndie utakae mfaa kwa hilo!!
 
Ndugu yangu Ninja
Niliwahi kupata mama mmoja alikubali mwanzo tukaenda vizuri kwa muda wa miezi, eehh alianza leo sisikii vizuri au leo nina kazi usije, nikaona mchezo umeisha
nilikuwa ninapiga kila siku mbili mpaka tatu,
mmoja alisema eti sitosheki lazima nipige mbili tena zote za nguvu na kweli nikipiga usingizi ndio hivyo tena unakuwa poa
 
ahahahaha....ndio inamadhara sana kiafya kwa sababu zifuatazo
1:- usipomla anavyotaka na kiu ikaisha ATALIWA NJE kupooza kiu yake na kisha atapata ngoma na kukuambukiza wewe kisha utakuwa na ngoma then utaishi kwa matumaini plus frasturations kisha utakufa
2:- usipomla ataendelea kupata frustrations na stress kibao kisha ataugua magonjwa makubwa kisha kulazwa hospital na wewe kuingia gharama ambazo utashindwa kuzimudu na kisha utaiba kisha utakamatwa na kufungwa jela ambako mnyapara anaweza kukula kiboga then ukitoka unakuwa bwabwa kisha unaanza kupumuliwa kisha unapata ngoma then unakufa....

TAFAKARI...CHUKUA HATUA


Haki Elimuuuuuuuuuuuuu!
 
Yaani mara mbili tu kwa siku unaumwa kiuno?duu. wenzako wanafanya dozi na wako fiti.
 
Duuh! utafikiri dozi kaandikiwa na daktari...pata pweza na supu yake kwa wingi..kazi unayo mkuu..ama kweli kila mtu ataubebe msalaba wake.
 
Niliwahi kupata mama mmoja alikubali mwanzo tukaenda vizuri kwa muda wa miezi, eehh alianza leo sisikii vizuri au leo nina kazi usije, nikaona mchezo umeisha
nilikuwa ninapiga kila siku mbili mpaka tatu,

Inaitwa sina mood syndrome; ikianza hiyo ujue ndoa kushnei!
 
Mkuu Mara Mbili katika Masaa 24 si Jambo la kawaida sana, tena Mamsap wako ana ratiba Nzuri sana yani, Usiku Kiomoja Asubuhi Kimoja. Saaafu Sana
 
Baba una-raha sana. Sisi wengine tunapewa uroda kama mgao wakati tunataka tupewekila siku hata mara tatu. Komaa mwanaume na jitahidi kula vema kama walivyokushauri waliotangulia.
 
Mkuu Mara Mbili katika Masaa 24 si Jambo la kawaida sana, tena Mamsap wako ana ratiba Nzuri sana yani, Usiku Kiomoja Asubuhi Kimoja. Saaafu Sana
what do you mean? you want more than that???😕
 
mkuu si vizuri kabisa kiafya na kila kitu tuwasiliana unimilikishe hisa kidogo ili uwe na mda wa kupumzika mkuu asijekumaliza
 
mkuu si vizuri kabisa kiafya na kila kitu tuwasiliana unimilikishe hisa kidogo ili uwe na mda wa kupumzika mkuu asijekumaliza
You are just one of your kind!😕 Bora hii mbeleko niibebe mwenyewe! Nitacheza game mwenyewe!
 
Pape.. ushasikia ncha ya mshale inakaliwa au gunia la misumari kukumbatiwa? usishindane na ukuta au kupiga konzi mkuki!
 
what do you mean? you want more than that???😕

Mkuu 2x2 Ni Jambo la Kawaida kabisa ndio maana watu wanakushangaa unapolalamika! Unapiga kimoja Usiku unapata Muda wa Kupumzika mpaka Asubuhi unapiga Kingine, hii imekaa vizuri sana
 
WanJF, mechi mbili moja asubuhi na nyingine wakati wa kulala mbona kidogo sana kiuno kitaumaje??Labda wewe ndio mbovu. Ungeniambaia kwa kila mechi anataka round 2 ningesema unahaki ya kulalamika.
 
Back
Top Bottom