Mke wangu anataka kula tunda kila siku kutwa mara 2!

Mke wangu anataka kula tunda kila siku kutwa mara 2!

Pape

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2008
Posts
5,487
Reaction score
83
Heshima mbele wakuu,
Najua humu jamvini hakuna linaloshindikana! Mamsapu siku hizi anataka kula tunda bivu mara 2 kwa siku! Asubuhi tukiamka angalau kamoja na usiku kabla ya kulala angalau kamoja pia! Anadai kwamba inampunguzia 'stress na matamanio' awapo kazini! Hapa nilipo naugulia kiuno kinaniuma ile mbaya na hata naniliu nahisi kama vile inataka kukatika! Je, hali hii ikiendelea inaweza kuniletea madhara kiafya?
 
Heshima mbele wakuu,
Najua humu jamvini hakuna linaloshindikana! Mamsapu siku hizi anataka kula tunda bivu mara 2 kwa siku! Asubuhi tukiamka kamoja na usiku kabla ya kulala kamoja! Anadai kwamba inampunguzia 'stress na matamanio' awapo kazini! Hapa nilipo naugulia kiuno kinaniuma ile mbaya na hata naniliu nahisi kama vile inataka kukatika! Je, hali hii ikiendelea inaweza kuniletea madhara kiafya?
Asee utakua na matatizo wewe yaani hapo kwenye red unachoka? tena unalalamika mgongo!!
 
Tatizo lako una cheza ule mpira wa kijerumani/bundersliga,nguvu nyingii,Tumia mchezo wa Brazil.
Jua udhaifu wa mpinzani wako. Ukijua weekness zake chenga mbili unapiga bao, moja bila - unaongoza, baada ya muda goli la pili, hiyo ni mbili bila,yupo hoi.Ukija funga bao la tatu nawe ukapigwa goli moja, ukimwambia tuendelee atasema tupumnzike kidogo.Jioni ukirudi na kumuuliza vipi? atasema tulale kwanza,niamshe baadae.
 
Labda amekuhisi una kamchezo ka nje, kwa hiyo anataka kuhakikisha anakausha MAGAZINE yote. Hata kama ni mwendaji wa huko magazine iwe haina bullet.
 
ahahahaha....ndio inamadhara sana kiafya kwa sababu zifuatazo
1:- usipomla anavyotaka na kiu ikaisha ATALIWA NJE kupooza kiu yake na kisha atapata ngoma na kukuambukiza wewe kisha utakuwa na ngoma then utaishi kwa matumaini plus frasturations kisha utakufa
2:- usipomla ataendelea kupata frustrations na stress kibao kisha ataugua magonjwa makubwa kisha kulazwa hospital na wewe kuingia gharama ambazo utashindwa kuzimudu na kisha utaiba kisha utakamatwa na kufungwa jela ambako mnyapara anaweza kukula kiboga then ukitoka unakuwa bwabwa kisha unaanza kupumuliwa kisha unapata ngoma then unakufa....

TAFAKARI...CHUKUA HATUA
 
heheheh tall unanidai! yaani hiyo comment yako imemalizia kila kitu!
hebu juulia udhaifu wa mwenzio, kisha mambo yote yatakuwa malaini.
 
Mkuu, kitu inauma sasa! sometime nikiwaza hiyo kazi kitu kinalala doro!😕😕
SASA UTAFANYAJE? AKUTAFUTIE MSAIDIZI? WATU HATA KUTWA MARA TATU WANAWEZA? TUMIA...........1.Kahawa.2.karanga mbichi,4.konyagi,5.nyanya chungu,bamia halafu fanya joging angalau mara mbili kwa wiki. Aaaaah mengine nashindwa kukueleza hapa.si unajua tena? mchana huu, watoto wako likizo na hawajalala,...............baadae
 
mkinyimwa matatijo,mukipewa matatijo, lipi jema sasa.

anyway kaka mi nahisi unaugumia maumivu kwa vile mind yako imekaa kinegative zaid kuhusu hilo. just put it in a positive way na hakika you will love it.ukiendelea kuwaza kua ni kama adhabu mwishoe athumani kichwa wazi agome kuamka bure afu pawe na mtafutano zaidi. ushauri wa bure eat moo water melon to make you mooore eeeh yo noo,
 
Labda amekuhisi una kamchezo ka nje, kwa hiyo anataka kuhakikisha anakausha MAGAZINE yote. Hata kama ni mwendaji wa huko magazine iwe haina bullet.
kuna zingine sub machine gun zinabeba risasi kibao,atazimaliza zoteeeeeee.
 
Asee utakua na matatizo wewe yaani hapo kwenye red unachoka? tena unalalamika mgongo!!
hehehehehe🙄

SASA UTAFANYAJE? AKUTAFUTIE MSAIDIZI? WATU HATA KUTWA MARA TATU WANAWEZA? TUMIA...........1.Kahawa.2.karanga mbichi,4.konyagi,5.nyanya chungu,bamia halafu fanya joging angalau mara mbili kwa wiki. Aaaaah mengine nashindwa kukueleza hapa.si unajua tena? mchana huu, watoto wako likizo na hawajalala,...............baadae
mkuu naona ukaruka kutoka 2 mpaka 4?😕
 
UNA BAHATI SANA PAPE Mshukuru Mungu kwa hilo.
 
huyo mkeo Pape kiboko...ameshaondoa vile viatu pale kwenye seat ya mbele?
 
Heshima mbele wakuu,
Najua humu jamvini hakuna linaloshindikana! Mamsapu siku hizi anataka kula tunda bivu mara 2 kwa siku! Asubuhi tukiamka kamoja na usiku kabla ya kulala kamoja! Anadai kwamba inampunguzia 'stress na matamanio' awapo kazini! Hapa nilipo naugulia kiuno kinaniuma ile mbaya na hata naniliu nahisi kama vile inataka kukatika! Je, hali hii ikiendelea inaweza kuniletea madhara kiafya?
Nenda kamuone daktari. Kwa dozi hiyo unachoka?
Wenzio wanalalamika kubaniwa we unalalamika kupewa?
 
Pape unatuaibisha wanaume wote hapa how come unalalamikia kitu kama hicho bana...watu wanakitaka zaidi ya hicho mbona

apo wife amekuwa very considerate..wengine tunatamani kutoroka mchana kurudi home ku do ze nidiful.....lol
 
Heshima mbele wakuu,
Najua humu jamvini hakuna linaloshindikana! Mamsapu siku hizi anataka kula tunda bivu mara 2 kwa siku! Asubuhi tukiamka kamoja na usiku kabla ya kulala kamoja! Anadai kwamba inampunguzia 'stress na matamanio' awapo kazini! Hapa nilipo naugulia kiuno kinaniuma ile mbaya na hata naniliu nahisi kama vile inataka kukatika! Je, hali hii ikiendelea inaweza kuniletea madhara kiafya?

Mzee mwenzangu unaniaibisha.
Lakini shem kama mwanamke kamili si huwa aningia kwenye siku zake!
Sasa wakati akiwa kwenye 'period' hapo ndo mapumziko yako
lakini kwa hiyo dozi ya mara2 kwa siku ni cha mtoto.
Pendelea kula tende na kunywa maziwa kila siku hayo maumivu ya kiuno hayotokupata tena.
 
Back
Top Bottom