Mke wangu anataka tuweke pochi mezani kila mwisho wa mwezi.

Kwa kweli kipaji Cha kuandika vzuri sina lkn ww umewazid wote🤣🤣🤣
 
Naona unajisifia tu unabwabwaja tu kike kike, mara unasomesha shule za mamilioni, rubbish kabisa. Tulia andika uzi ueleweke.
 
MDAU KABUGIA KITOKO NA KUANZISHA UZI.

HUENDA NA KITOKO ET AL, WAKAZUIA.
 
Januari imekua ngumu sana. Anyway sijaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…