JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Wadau nisaidieni.
Mke wangu anauja uzito wa miezi miwili hivi.
Anatapika kila mara na anasikia maumivu makali ya mgongo/kiuno.
Nilienda hospital nikakutana na daktari kanambia niuanche tu atulie nyumbani atakuwa sawa, ni ziaid ya mwezi sasa.
Nifanyeje ili atulie?
Wajuvi wa mambo please.
Mke wangu anauja uzito wa miezi miwili hivi.
Anatapika kila mara na anasikia maumivu makali ya mgongo/kiuno.
Nilienda hospital nikakutana na daktari kanambia niuanche tu atulie nyumbani atakuwa sawa, ni ziaid ya mwezi sasa.
Nifanyeje ili atulie?
Wajuvi wa mambo please.