Mke wangu anateswa na mimba ya Aina yake?? Kutapika, tumbo kuvuruga na kizungu zungu

Mke wangu anateswa na mimba ya Aina yake?? Kutapika, tumbo kuvuruga na kizungu zungu

Friedrich Nietzsche

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
2,095
Reaction score
3,649
Wakuu,
Nimeona mimba nyingi ila hii ni aina yake.

Huyu mwanamke ndo mimba yake ya kwanza lakini sasa

Anatapika kila anachokulaaa anatapika chakula kinaisha had anatapika maji hamna kinachotoka.

Muda wote. Tumbo linamuuma na kumvuruga muda woteee.

Hawezi kutembea hawezi kufanya kazi wala hawezi chochote. akitembea anahisi kizungu zungu ,moyo kwenda mbio na hana nguvu kabisa.

Alienda hospital wakasema hawajaona kitu labda ni hyo mimba.

Lakini wakuu ni mimba gani ya hivi hasa ukizingatia ina MWEZI TU MMOJA
 
Kwa ujauzito wa kwanza tena mchanga namna hio huyo mke wako ana afadhali.
Kuna wengine mpaka wana lazwa hospitali kwa sababu ya maudhi ya ujauzito.

Hadi mwezi wa tatu hali itakuwa sawa, na bila ya shaka mtoto atakuwa wa kiume, huwa wanasumbua sana wakiwa tumboni mwa mama zao.
 
Pole saana, hizo ni mimba za mwanamke mwenye mume au mchumba

Zile mimba ambazo hazina Baba wala mchumba hazInaga mauza uza
 
Wakuu,
Nimeona mimba nyingi ila hii ni aina yake.

Huyu mwanamke ndo mimba yake ya kwanza lakini sasa

Anatapika kila anachokulaaa anatapika chakula kinaisha had anatapika maji hamna kinachotoka.

Muda wote. Tumbo linamuuma na kumvuruga muda woteee.

Hawezi kutembea hawezi kufanya kazi wala hawezi chochote. akitembea anahisi kizungu zungu ,moyo kwenda mbio na hana nguvu kabisa.

Alienda hospital wakasema hawajaona kitu labda ni hyo mimba.

Lakini wakuu ni mimba gani ya hivi hasa ukizingatia ina MWEZI TU MMOJA
Sisi waganga wa mwituni tunasema hivi
1. Asile chakula cha moto kwani kinatoa harufu na kuzidisha kichefu chefu
2. Asile chakula chenye sukari
3. Asile chakula cheny mafuta mengi( oily food) hasa hivi vyakula vya kukaanga chips, mshikaki ana the likes.
4. Ahakikishe hanywi maji au soda wakati wa kula.
5. Ajitahidi kula mlo mdogo mdogo kadiri awezavyo...asishibe.

6. Wakati wa kulz ahakikishe amekaa upright, mtindo wa kula au kutafuna kitu akiwa amelala kwenye kochi aache.

Hali ikizidi muone daktari.
 
Sisi waganga wa mwituni tunasema hivi
1. Asile chakula cha moto kwani kinatoa harufu na kuzidisha kichefu chefu
2. Asile chakula chenye sukari
3. Asile chakula cheny mafuta mengi( oily food) hasa hivi vyakula vya kukaanga chips, mshikaki ana the likes.
4. Ahakikishe hanywi maji au soda wakati wa kula.
5. Ajitahidi kuka mlo mlo mdogo mdogo kadiri awezavyo...asishibe.

6. Wakati wa kuka ahakikishe amekaa upright, mtindo wa kula au kutafuna kitu akiwa amelala kwenye kochi aache.

Hali ikizidi muone daktari.
huu ushauri umechukuliwa
 
Kwa ujauzito wa kwanza tena mchanga namna hio huyo mke wako ana afadhali.
Kuna wengine mpaka wana lazwa hospitali kwa sababu ya maudhi ya ujauzito.

Hadi mwezi wa tatu hali itakuwa sawa, na bila ya shaka mtoto atakuwa wa kiume, huwa wanasumbua sana wakiwa tumboni mwa mama zao.
Aureus
 
Back
Top Bottom