kyimo rungwe
Member
- Jan 17, 2014
- 72
- 25
Wana Jf.
Mke wangu ni mjamzito kwa sasa. Ajabu ni kuwa ana tatizo la kutokwa damu sehemu zake za uzazi, tatizo ni nini? Anatakiwa kufanya nini?
Tafadhali naombeni ushauri wadau.
Asanteni.
Mke wangu ni mjamzito kwa sasa. Ajabu ni kuwa ana tatizo la kutokwa damu sehemu zake za uzazi, tatizo ni nini? Anatakiwa kufanya nini?
Tafadhali naombeni ushauri wadau.
Asanteni.