kyimo rungwe Member Joined Jan 17, 2014 Posts 72 Reaction score 25 Jan 19, 2014 #1 Wana Jf. Mke wangu ni mjamzito kwa sasa. Ajabu ni kuwa ana tatizo la kutokwa damu sehemu zake za uzazi, tatizo ni nini? Anatakiwa kufanya nini? Tafadhali naombeni ushauri wadau. Asanteni.
Wana Jf. Mke wangu ni mjamzito kwa sasa. Ajabu ni kuwa ana tatizo la kutokwa damu sehemu zake za uzazi, tatizo ni nini? Anatakiwa kufanya nini? Tafadhali naombeni ushauri wadau. Asanteni.
kyimo rungwe Member Joined Jan 17, 2014 Posts 72 Reaction score 25 Jan 19, 2014 Thread starter #2 samahani lkn naombeni msaada wenu kabla tatizo halijawa kubwa
utafiti JF-Expert Member Joined Jul 18, 2013 Posts 12,783 Reaction score 7,667 Jan 19, 2014 #3 Mkuu mwanamke anaweza kupata hedhi atakama ni mjamzito
Gorgeousmimi JF-Expert Member Joined Jun 21, 2010 Posts 9,296 Reaction score 7,683 Jan 19, 2014 #4 Ana ujauzito wa muda gani?Hali hio imenanza tangu lini?Ana maumivu yoyote?
blairdoll Member Joined Aug 14, 2013 Posts 63 Reaction score 12 Jan 19, 2014 #5 Kutokwa na hedhi sio kawaida wakati wa ujauzito..nenda hospitali akachekiwe acha kupoteza muda hapa..
Kutokwa na hedhi sio kawaida wakati wa ujauzito..nenda hospitali akachekiwe acha kupoteza muda hapa..
J julitah Member Joined Apr 12, 2012 Posts 15 Reaction score 2 Jan 28, 2014 #6 Kutoka damu kipindi cha ujauzito si kawaida ni DALILI ZA HATARI,amuone Dr haraka
Ndalama JF-Expert Member Joined Nov 22, 2011 Posts 8,787 Reaction score 6,538 Jan 28, 2014 #7 Kyimo Rungwe muone Dr Faster hilo sio swala la mzaa inapokuja mjamzito kuvuja damu
V Vadgama Member Joined Apr 2, 2012 Posts 54 Reaction score 19 Jan 28, 2014 #8 utafiti said: Mkuu mwanamke anaweza kupata hedhi atakama ni mjamzito Click to expand... Usijibu kila kitu..kama hujuwi kaa kimyaa....!
utafiti said: Mkuu mwanamke anaweza kupata hedhi atakama ni mjamzito Click to expand... Usijibu kila kitu..kama hujuwi kaa kimyaa....!
gateway JF-Expert Member Joined Jan 21, 2014 Posts 467 Reaction score 123 Jan 28, 2014 #9 utafiti said: Mkuu mwanamke anaweza kupata hedhi atakama ni mjamzito Click to expand... nilikua cjui aisee
utafiti said: Mkuu mwanamke anaweza kupata hedhi atakama ni mjamzito Click to expand... nilikua cjui aisee
M mwenda kiborah Member Joined Jan 8, 2014 Posts 12 Reaction score 1 Jan 28, 2014 #10 Wahi kamwone Dr mapema .