Mke wangu ghafla anaanza kuniita "Mkuu"

Mke wangu ghafla anaanza kuniita "Mkuu"

Wanabodi hii hivi iko sawa.

Ghafla huyu binti ananiita majina ambayo sio kawaida kuyasikia kwa wanawake mara ananitext "Hey mkuu, gas imeisha" mara "Mkuu unarudi saa ngapi".

Je hio ni sawa au ni red flag?
Amejifunza kwa buzi mwanajeshi au polisi
 
Wanabodi hii hivi iko sawa.

Ghafla huyu binti ananiita majina ambayo sio kawaida kuyasikia kwa wanawake mara ananitext "Hey mkuu, gas imeisha" mara "Mkuu unarudi saa ngapi".

Je hio ni sawa au ni red flag?
tumia akili bro
 
Wanabodi hii hivi iko sawa.

Ghafla huyu binti ananiita majina ambayo sio kawaida kuyasikia kwa wanawake mara ananitext "Hey mkuu, gas imeisha" mara "Mkuu unarudi saa ngapi".

Je hio ni sawa au ni red flag?
Ni mitandao mkuu, mwenzao aliwahi kuwashauri Instagram kuwa usimwite mwanaume baby bali mkuu, boss, ceo
 
Ww utakuwa umesogeza/umeoa mtoto wa kitanga na unaoaje Tanga mtoto bila kupelekwa kwa kungwi apewe miiko😄😄😄 haya mpe shemeji hela ya gesi chap🤝

Kama si hivyo basi bwashemeji unakijitoto cha under 20 bado kinajihisi kipo form 3B😄😄😄

Hicho kischana bado kipo kwenye balekhe, wakulungwa ambao wanauzoefu na hivi vitoto vya 2k wanaelewa jinsi hivi vitoto vinapitiaga stage flani hivi za usela usela.

Sasa ww unaonekana mna gap kubwa la kiumri.Na mambo ya uselausela hujayapitia kuokoa jahazi kabla bodaboda hawajamtawanya,ondoa huo utoto kichwani mwake kwa kumchapa mimba majukumu yatamshape akae kimkemke.
 
Mwanzo nilichukulia poa alipokuwa anasema "mkuu"

Juzi kati kuna jambo lilitokea home kwa kuwa ndio kahamia pale nimuelekeza kwa text cha kufanya akajibu "Sawa kiongozi" daaah nilihisi hasira sana na nikitafuta namna ya kumuuliza nakosa
Sasa hapa nimeelewa kwanini anakuita hivyo.
Kwanza unamuogopa, ndio maana huwezi kumuuliza why anakuita hivyo
Mbili, unampenda kuliko anavyokupenda
Tatu, yeye ndio mtawala sio wewe.
Kuna namna uanaume wako hautoshi.
Chukua hatua, japo huna sauti na hujui unaanzaje
Wewe ni dhaifu sana
 
Kuna kifirst year nilikua na mega + kukisponsor, hivo kikawa kinaniita Tajiri, Mara Boss.

Wala sikua najali, japo nilijua kua nachukuliwa kama sponsor tu, ikabidi niendelew kula kisela huku natafuta ustaarabu mwingine
 
🤣🤣🤣atakuwa member wa jf.. ukute wa kwangu huwa anamaind nikimuta boss
 
Lazima kuna kitu umezingua hana ile mood ya kukuita majina romantic lakini pia anaogopa kukusemesha kawaida hivyo ana balance,ila hapo anakukejeli.
Nime experience hilo kwa mke wangu,nikishazingua naitwa boss
Ninazo sana hizo😂
 
Mimi mke wangu namzidi zaidi ya miaka 20! Kati ya majina ya utani anayoniita ni "wee mzee, leo hunitoi out?", na mimi namuitaga "wee mdada leo umezingua, mbona hujaniamsha mapema wakati nilikuambia nawahi mishe zangu Town?"

Haya wanabodi hapo tunakosea? 😁😁😁
Mmh we nawe ushtakiwe kama Didy....20 ni mingi sana
 
Na wewe kama ulikuwa unamuita baby ,, honey acha anza kumuita madam ili kubalance mzani ,,, afu cheki reaction yake ,, akiendelea tafuta jina jingine baya mfano kama mkeo ni mnene anza kumuita bonge

Mke : mambo

Wewe : poa bonge niambie

Afu ,, urudi haps kwa ajili ya mrejesho
Asante,, hope it will help
Labda mzungu ndio atanuna kuitwa bonge....sie wa Tz tunafurahia tu😅
 
Wanabodi hii hivi iko sawa.

Ghafla huyu binti ananiita majina ambayo sio kawaida kuyasikia kwa wanawake mara ananitext "Hey mkuu, gas imeisha" mara "Mkuu unarudi saa ngapi".

Je hio ni sawa au ni red flag?
Atakua member wa JF
 
....anakutenfeneza huto msanii wa mujinii.....ameshaingizwa mujini yeye chawa wa mtu huko kwenye bar .....nawaza tuuuu
 
Labda mzungu ndio atanuna kuitwa bonge....sie wa Tz tunafurahia tu😅
Uzuri women are so emotional ,, anaweza kufurahi baadaya kusikia akiitwa hivyo but after few weeks later

,, utasikia baby sasa hivi naenda gym unanionaje nimepungua ??

Ukusikia maswali haya ujue ujumbe umefika
 
Uzuri women are so emotional ,, anaweza kufurahi baadaya kusikia akiitwa hivyo but after few weeks later

,, utasikia baby sasa hivi naenda gym unanionaje nimepungua ??

Ukusikia maswali haya ujue ujumbe umefika
Yeah uko sawa...
 
Nyie vijana wa kisasa mna mambo mengi..
Mara muitane baby mara sijui huby...
Mm my man toka day one tunaingia home kuanza maisha namuita jina lake alililopewa na wazazi wake sikubadili kisa kanioa...mpk leo yani tuna wtt lakini namuita hivyo so sikutaka nianze mara ooh bebi mara ohho daringi..hayo tunaitana huko bedroom...
 
Back
Top Bottom