mmmh basi kuna mtu anamlea hapa mjini mimi nakushauri usimtumie tena hata shilingi tena khaaaaaaaaaaaaa au ananunua uchawi?Jamani huyu mke nyumba ya kwangu mwenyewe hakuna anacholipia zaidi maji na umeme nazo ninalipa mie kutoka kwenye biashara zangu ada ya mtoto nalipa mwenyewe moja kwa moja kutoka kwa bro wangu ndiye niliyemkabidhi swala la shule hakuna kitu kingine.
ahahahahaaaaaaaaaaaa!...hawezi bhana_kwani na sisi anatusaidia kitu!......anyway ni mtazamo wako mkuuUnavyo mponda mkeo na sisi wana JF huwa unatuponda hivyohivyo kwa mkeo
Pole sana kwa kweli. Huyo ni kati ya wanawake wapumbavu wanaobomoa nyumba zao kwa mikono yao wenyewe.
Jamani huyu mke nyumba ya kwangu mwenyewe hakuna anacholipia zaidi maji na umeme nazo ninalipa mie kutoka kwenye biashara zangu ada ya mtoto nalipa mwenyewe moja kwa moja kutoka kwa bro wangu ndiye niliyemkabidhi swala la shule hakuna kitu kingine.
Pole sana kwa kweli. Huyo ni kati ya wanawake wapumbavu wanaobomoa nyumba zao kwa mikono yao wenyewe.
Hivi na huyo mtoto una uhakika ni wa kwako!!!
mmmmmh hapo sikubali bwana maana hatujui iyo usd 1800 ni asilimia nga[pi ya mshahara wake ila ni nyingi sema tu aunti mwenyewe ila anakamua jamani daaaaaaaaaahKama ni pesa kwa ajili ya chakula tuu unatuma yote ya nini? Wanawake wana mawazo finyu kwamba akikuacha na chenji kubwa utachukulia nayo wanawake wengeni; anachofanya ni kupunguza "spending power" yako ili usiangukie kwenye mikono na mwanamke mwingine
mmmh basi kuna mtu anamlea hapa mjini mimi nakushauri usimtumie tena hata shilingi tena khaaaaaaaaaaaaa au ananunua uchawi?[/QUOTE]
aiseeeeee!...kwani uchawi unanunuliwa eeeeee!
...bado hatujausikia upande wapili wa shilingi bana...mazowea yanatabu,
huyu bwana lazima alichangia kuwepo hiko kiwango kikubwa sana cha matumizi
kwa familia yake.
...msomeni mstari kwa mstari,...kamuachia mke gari, gari inahitaji mafiuta, service, nk...
siku hizi mgao mnaona ulivyoshika kasi...mambo ya ku save kwa kununua kitoweo in bulk hakuna tena...
imagine hapo kuna babysitter, kuna entertainments za mtoto tena kama anasoma hizi academy ndio balaa.
maana kuna kulipia na transport pia.....acheni nyie, maisha yamekuwa tough!...
1.8m/= kwa mwezi haitoshi iwapo uliwahi kuishi kwa kipato zaidi ya hiko!
kujishusha shughuli!
aaaaaaaaaaaaa hapo sasa unaharibu nyumba ya mwenzio lol.
Jamani huyu mke nyumba ya kwangu mwenyewe hakuna anacholipia zaidi maji na umeme nazo ninalipa mie kutoka kwenye biashara zangu ada ya mtoto nalipa mwenyewe moja kwa moja kutoka kwa bro wangu ndiye niliyemkabidhi swala la shule hakuna kitu kingine.
sasa anapeleka wapi ngawira yote hiyo tena anadai haitoshii?????????mmmh basi kuna mtu anamlea hapa mjini mimi nakushauri usimtumie tena hata shilingi tena khaaaaaaaaaaaaa au ananunua uchawi?[/QUOTE]
aiseeeeee!...kwani uchawi unanunuliwa eeeeee!
tena amegraduate juzi mbichiiiiiiii muone rejao akupeleke eneo la tukiohuyo hafai,
keshapata mwanaume kama mabinti hivyo anamlea,
wewe piga chini nakupa binti yangu yuko hapa hapa jf.
atakupa raha zote duniani.
...kaka, lini mara ya mwisho ulikuwa huko nyumbani (kuonana na mkeo?)
nambie ukweli tu..
Mbu Mbu Mbu.... usimchanganye J tafadhali.....
Niko nasoma nje ya Tanzania huku nifanya kazi katika company fulani nikilipwa mshahara dollar 1,800 kwa mwezi,najigharamia mwenyewe masomo yangu kwa 50% nyingine ni sholarship na gharama nyingine za maisha.
Nimeacha mke na mtoto mmoja nyumbani.mke wangu najitahidi kumtumia dollar 1,000 kila mwezi.yeye anafanya kazi katika shirika fulani Tanzania na anapokea mshahara kiasi fulani mara zote analalamika pesa ninayomtumia haitoshi imagine juzi nimetuma kwa exchange rate ya Tanzania alipokea kama Tsh,1,800,000 bado ananipigia cim na kunigombeza pesa haitoshi kwenye matumizi yake ya maisha na mtoto sasa jamani huyu ni mke au mzigo?nimemweleza hari halisi ya maisha ya huku haelewi naishi kwa kujibana ili kile kinachopatikana tukiserve lakini wapi.nahisi kama nilikosea kwenye uchaguzi au anafanyia nini hiyo pesa ya kila mwezi au anaamua kunifanyia ushenzi tu.nimemwambia kuna watu wanalia mchana na usiku wanakosa bahati kama hiyo lakini haelewi.ila ninafikiria kumchukua mtoto wangu akalelewe na mama yangu mzazi au nimchukue nihishi naye ..nahisi huyu mwanamke nimzigo tena haubebeki..nasiyo kwamba kuna assets za ndani ananunua nyumba hiko full hadi usafiri nilimpatia wa kutumia.
Jamani mke wa namna hii nimfanyeje?
Hao wakugraduate wanatendwa huko mashuleni starehe bado hawajazimaliza,mtafutie jimama lililohangaika sana ila linataka kutulia kwa sasa. Nalog offtena amegraduate juzi mbichiiiiiiii muone rejao akupeleke eneo la tukio
mmmmmh hapo sikubali bwana maana hatujui iyo usd 1800 ni asilimia nga[pi ya mshahara wake ila ni nyingi sema tu aunti mwenyewe ila anakamua jamani daaaaaaaaaah