Mke wangu hapendi kushiriki tendo la ndoa

Mke wangu hapendi kushiriki tendo la ndoa

Nenda kwa wataalamu wa romance.usikimbilie kutumbukiza tu.muandae utashangaa anakukamata umduu.
 
Spend time with your wife, she'll get through.
 
kwa majibu hayo ni huyo jini mahaba ndiyo anayefanya kazi badala yako, nilidhani anatatizo kama nililopata mimi ila kwa sasa nimeshapona, ili kuwa nikofanya napata maumivu ya mguu na unauma kwa week mbili hadi tatu ndiyo ninapata nafuu, ila sasa nimeshapona.

Hata mimi mke wangu wakati wa tendo akifika yy tu hua anasema miguu hua inakufa ganzi na hawezi kuendelea tena,sasa sijui ndo huyo jina mahaba?
 
Fuatilia emanuel tv huwa wakati wa maombezi wanawake wengi wanakutwa na spiritual husband anakua na mwanamume anayemmliki kimazingara bila yeye mwanamke kujua au kuridhia so yule man anamfanya mwanamke awe anawachukia wanaume wengine na wala hatamani sex na any man bt huyo spiritual ni mbaya sana hii usiombe. Kuna rafiki yangu wa kike kaskazini mwa tanganyika huko alikua na hilo tatizo.

Alipata tiba gan?hata mimi nahisi mke wang atakua na tatizo kama hilo
 
Hata mimi mke wangu wakati wa tendo akifika yy tu hua anasema miguu hua inakufa ganzi na hawezi kuendelea tena,sasa sijui ndo huyo jina mahaba?

ooh basi mpeleke tuu hospitalini lina weza kuwa ni tatizo kubwa, mimi nililipata ajali ndiyo ikawa hivyo
 
uCHAFu...caring... Now days you are no longer romantic as you used to be
 
Badilisheni mfumo wa Maisha ya mapenzi, angalau mara mbili kwa mwez muwe mnatoka "out" kwa ajili ya chakula cha jioni au hata cha mchana sehemu ambazo unaweza kuzimudu ukilinganisha na kipato chako! Mara nyingine muwe mnalala hotel ili kubadili mazingira mloyazoea ya kinyumbani nyumbani! Mara nyingi ndoa bila kuchangamshwa inasinzia hata kuvunjika uvumilivu ukikosekana pande zote mbili!



Nashukuru kwa ushauri,
 
Natumaini nyote wazima.
Naomba kusaidiwa jambo hili huwaje. Ninaishi na mke miaka miwili sasa, lakini nakosa furaha kabisa kwani tendo la ndoa linafanyika angalau mara 1 kwa wiki 2/3, tena kwa "ngumi". Mwenzangu anasema hajisikii.
Jambo hili ni kawaida?
Ndio maana kukawa na michepuko..



Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Atakuwa mchaga lazima.. If true ntakwambia SIRI if not sina Cha kuchangia . Asante

Hebu funguka vizuri kwa faida ya wengi, mi Wife to be ni mchaga, nae naona hapendelei kabisaa kale kamchezo...


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
uCHAFu...caring... Now days you are no longer romantic as you used to be



Thank you, but, had you knew me, possible you couldn't doubt on the so called neatness. Smart? I keep it. Sema hapo kwenye caring ndo utata. Kwani standard caring ikoje? Anyway, being a human I need to learn now and then. Lrt me take it.
 
Back
Top Bottom