Baada ya kusikia kuhusu Jamii Forums, nimeamua kujiunga maana nasikia kuna vitu vingi ikiwemo ushauri mbalimbali.
Basi leo naombeni mniksribishe kwa kunipa ushauri kuhusu hili maana linanisumbua na sijui la kufanya. kuwa ni udanganyifu, kawaida au upendo kwisha.
Mimi ni mwanaume niliyeoa na tuna mtoto mmoja wa mwaka 1 na nusu.
Mke wangu ana umri wa miaka 26 nami 32.
Huwa mara nyingi nahitaji sana kuwajibika kindoa, at least mara moja kwa hata siku mbili.
Lakini mwenzangu hiyo mara moja tu kwa usiku anakuwa anasema amechoka tusiendelee,
Kutokana na hilo najicondition ili nisihitaji sana. lakini inapokuja yeye siku hiyo kapenda nitafanya kila niwezalo adi yeye aridhike.
baada ya hapo kupata habari hiyo tabu.
Labda baada ya wiki au 2. kitu ambacho kinanifanya kila siku nihitaji tu kama almasi.
Sasa sielewi huwa hafurahii, au anadanganya au hanipendi, au ninini, Nisaidieni wakubwa
wenye uzoefu.
Basi leo naombeni mniksribishe kwa kunipa ushauri kuhusu hili maana linanisumbua na sijui la kufanya. kuwa ni udanganyifu, kawaida au upendo kwisha.
Mimi ni mwanaume niliyeoa na tuna mtoto mmoja wa mwaka 1 na nusu.
Mke wangu ana umri wa miaka 26 nami 32.
Huwa mara nyingi nahitaji sana kuwajibika kindoa, at least mara moja kwa hata siku mbili.
Lakini mwenzangu hiyo mara moja tu kwa usiku anakuwa anasema amechoka tusiendelee,
Kutokana na hilo najicondition ili nisihitaji sana. lakini inapokuja yeye siku hiyo kapenda nitafanya kila niwezalo adi yeye aridhike.
baada ya hapo kupata habari hiyo tabu.
Labda baada ya wiki au 2. kitu ambacho kinanifanya kila siku nihitaji tu kama almasi.
Sasa sielewi huwa hafurahii, au anadanganya au hanipendi, au ninini, Nisaidieni wakubwa
wenye uzoefu.