green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Ndio maana nataka ushauri wako mkuuSorry to say this, Ndo uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo ?
Kaisha libeba na sijui alipolifichafungua kufuli kama hana funguo likate
Mi toko ya jioni tuTuanzie hapa huo usiku akitoka anaendaga wapi ili tukushauri vizuri sasa
Bila shaka wewe utakuwa ni tegemezi kwake ndo maana unakuwa Bushoke wake,, Wala usisingizie uchawiAkitoka ananiacha na watoto na mfanyakazi wa ndani, Nakirudi nashindwa kumkemea, sana sana naishiakumpa pole na pilika. Hauwezi kunishauri kitu nikakuelewa namuelewa sana. Juzi wakati natoa mpira wa mtoto uvunguni mwa kitanda nikakuta kichwa cha bata kimefunga mdomo na kufuli sijui nini na nilipomuuliza akanambia hizo kacha tu za kimasai je nikweli au ndio nimefungwa mdomo eti wakongwe misumari hii ni kitu ganiView attachment 2080915
Mwambie aache tabia ya kurudi usiku.Akikabwa na vibaka je?Awe anarudi asubuhi.Akitoka ananiacha na watoto na mfanyakazi wa ndani, Nakirudi nashindwa kumkemea, sana sana naishiakumpa pole na pilika. Hauwezi kunishauri kitu nikakuelewa namuelewa sana. Juzi wakati natoa mpira wa mtoto uvunguni mwa kitanda nikakuta kichwa cha bata kimefunga mdomo na kufuli sijui nini na nilipomuuliza akanambia hizo kacha tu za kimasai je nikweli au ndio nimefungwa mdomo eti wakongwe misumari hii ni kitu gani
Wonders shall never end...Sorry to say this, Ndo uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo ?
Ushauri kuntu kabisa huuMwambie aache tabia ya kurudi usiku.Akikabwa na vibaka je?Awe anarudi asubuhi.
π€£π€£π€£Mwambie aache tabia ya kurudi usiku.Akikabwa na vibaka je?Awe anarudi asubuhi.
Mkuu arudi asubuhi sasa ataenda kulala wapi??Mwambie aache tabia ya kurudi usiku.Akikabwa na vibaka je?Awe anarudi asubuhi.
Hukohuko anapoenda.Mkanye kabisa.Asirudi usiku kwani anaweza kupata madhara.Asubuhi ni vizuri zaidi.Mkuu arudi asubuhi sasa ataenda kulala wapi??
Kiumbe kama huyo utamshauri kipi sasa?Maana ni upotezaji wa rasilimali-akili tu.Akileta utani,unamfanyia dhihaka.π€£π€£π€£
Sasa unamaanisha nini MkuuWewe ni fala
Yaani tena aongee nae kwa utararibu kabisa akisisitiza ni jinsi gani anampenda na hataki lolote baya limfike; zaidi yeye na watoto wanamtegemea yeye. Ikibidi arudi saa mbili asbh wakati jua limeshatoka maana saa ingine saa 12 asbh inakua bado giza..Mwambie aache tabia ya kurudi usiku.Akikabwa na vibaka je?Awe anarudi asubuhi.