Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu na mkeo kua unamfungulia mlango usiku mneneShida iko kwako! Mwanamke ataingiaje usiku harafu mwanaume umfungulie mlango?
Mkuu hapana aise! Lazima kuwe na sababu labda anafanyakazi sawa!Mkuu na mkeo kua unamfungulia mlango usiku mnene
IdiotAkitoka ananiacha na watoto na mfanyakazi wa ndani, Naakirudi nashindwa kumkemea, sana sana naishiakumpa pole na pilika. Hauwezi kunishauri kitu nikakuelewa namuelewa sana.
Juzi wakati natoa mpira wa mtoto uvunguni mwa kitanda nikakuta kichwa cha bata kimefunga mdomo na kufuli sijui nini na nilipomuuliza akanambia hizo kacha tu za kimasai je nikweli au ndio nimefungwa mdomo eti wakongwe misumari hii ni kitu gani
View attachment 2080915
View attachment 2080920
Punguza ujinga...
Hauna huruma wewe watoto wangu watalelewa na naniJiue