NGARUKA
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 401
- 70
Habari zenu wana JF?
Aisee kuna vitu binadamu inabidi tumwachie Mwenyezi Mungu tu jamani.
Niliooana na mke wangu 2013 na mwaka huo huo Septemba mimba ikatoka ya miezi mitano mtoto wa kiume. Tukaaa kidogo ikaingia ikatoka nyingine Mei 2014. Baada ya hapo ikaingia tena ikatoka Agosti 2015.
Sasa maajabu wengi walianza kusema "ooh mkeo kizazi kimelegea". Tukatembea hospitali nyingi hapa Mwanza wakawa wanasema ikitokea amebeba mimba nimpe total bed rest. Madawa ya kienyeji nayo hatakuwa nyuma alikunywa sana.
Sasa 2016 akajifungua mtoto wa kwanza, haraka haraka 2017 Oktoba akajifungua tena mtoto mwingine. Yule dogo akiwa bado anatambaa ameshika tena mimba[emoji134][emoji134][emoji134].
Yaani mimi namhurumia sana mke wangu ila nahisi yeye anapenda hii hali. Hata michepuko kanizuia kabisa hasira zote zinaishia kwake.
KIAFYA INAKUWAJE KWAKE?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee kuna vitu binadamu inabidi tumwachie Mwenyezi Mungu tu jamani.
Niliooana na mke wangu 2013 na mwaka huo huo Septemba mimba ikatoka ya miezi mitano mtoto wa kiume. Tukaaa kidogo ikaingia ikatoka nyingine Mei 2014. Baada ya hapo ikaingia tena ikatoka Agosti 2015.
Sasa maajabu wengi walianza kusema "ooh mkeo kizazi kimelegea". Tukatembea hospitali nyingi hapa Mwanza wakawa wanasema ikitokea amebeba mimba nimpe total bed rest. Madawa ya kienyeji nayo hatakuwa nyuma alikunywa sana.
Sasa 2016 akajifungua mtoto wa kwanza, haraka haraka 2017 Oktoba akajifungua tena mtoto mwingine. Yule dogo akiwa bado anatambaa ameshika tena mimba[emoji134][emoji134][emoji134].
Yaani mimi namhurumia sana mke wangu ila nahisi yeye anapenda hii hali. Hata michepuko kanizuia kabisa hasira zote zinaishia kwake.
KIAFYA INAKUWAJE KWAKE?
Sent using Jamii Forums mobile app