Mke wangu kaiba vitu vyote ndani kaondoka na mtoto na sijui alipo

unajua sana kuhusu nini?dharau ipo wapi hapo?
keep wondering.
Kipimo cha kujua nipo weak ni nini?
give me a watertight proof y is untolerable.FATA NAFUU MAKUMBWA HUWEZI
i cant keep wondering stu.. kipimo chako ni kuongea nonsense za kizembe kama hyo point uliyo mention earlier una taka proof gani wakati unajua we unatetea upuuzi tu afu arguing with a person who doesnt understand issues in three dimensions is wastage of time
 

kumbe una argue
 
Pole sana, isije kuwa mtoto wa kubambikiwa
 
Kama barabarani sio mahali salama pa "kuokota" wanawake wapi salama pa kuwaokota?

Hivi wanawake wanaokotwa?

Aisee watake radhi dada zangu dogo

Laa sivyo patachimbika hapa!

Mimi ni mdada ila nakubali ndio kuna wengine wanaokotwa kabisaaaa
 
hapo mwanzo Mungu akasema na tumuumbe mtu,wakamuumba adam,mwanamke sio mtu,sio yeye alieumbwa na Mungu,,pili Biblia inasema ishini na wanawake kwa akili,ikimaanisha wanawake hawana akili(hayo ni maneno ya Biblia,sio yangu)

We ndo uelewi biblia kabisaaa...ishini na mwanamke kwa akili that statement z powerful meaning mwanamke ana akili sana usipoishi nae kwa akili atakuchanganya...jama huyi jamaa hakuishi na huyo mdada kwa akili sasa...umeona huyo dada alichifanya?
 

kwanini akuibie?
ulikuwa unampa huduma zote au ulimtelekeza?
ukafka huko ulipohamia ukawa unaendlea na mambo yako?ukamwacha kama ulivyoacha makochi unayodai ameiba! toa boriti kwanza jichoni mwako,

wanawake huwa tuna huruma na upendo ila ukimchefua mwanamke akasema ah!
utajuta
 
We ndo uelewi biblia kabisaaa...ishini na mwanamke kwa akili that statement z powerful meaning mwanamke ana akili sana usipoishi nae kwa akili atakuchanganya...jama huyi jamaa hakuishi na huyo mdada kwa akili sasa...umeona huyo dada alichifanya?

mwanamke anaakili kama zako
 

Da Flora naomba utoe mjumuisho....km ww una huruma na upendo sio wote hujui kadhia gani tunapata na "migume gume" mitaani....we acha tu wanaume tuitwe wanaume!Tunakumbana na mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…