Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,891
Mamamdogo kasema hamtambui!
Unajua kusoma?
Hebu tazama hapa chini .....
baada ya kuwapigia ndugu zake hawakuchukua hatua zozote wakidai hawajui alipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamamdogo kasema hamtambui!
baada ya kuwapigia ndugu zake hawakuchukua hatua zozote wakidai hawajui alipo
Una uhakika ni mwanano?
Huyo jamaa amesema "mwanamke sio mtu ni kiumbe dhaifu"
Hiyo kauli inaonekana imetolewa na mbumbumbu tu
Unajua kwanini?
Kwasababu mwenye ufahamu mzuri hawezi kusema "mwanamke sio mtu ni kiumbe dhaifu" kwasababu atajua tu kuwa "mtu" nae ni kiumbe
Kama mwanamke ni kiumbe basi ni mtu
Hawezi kuwa mtu halafu hapo hapo asiwe kiumbe
Unaposema "sio mtu" unakuwa unazungumzia kitu kama jiwe hivi au paka kwasababu paka ni kweli sio mtu lakini ni kiumbe
Umeona sasa huyo jamaa alivyokichanganya?
Naomba ushahidi tafadhalihapo mwanzo Mungu akasema na tumuumbe mtu,wakamuumba adam,mwanamke sio mtu,sio yeye alieumbwa na Mungu,,
Wakati unaandika haya ungetumia hata visigino vyako kufikiri ingekuwa afadhali!pili Biblia inasema ishini na wanawake kwa akili,ikimaanisha wanawake hawana akili(hayo ni maneno ya Biblia,sio yangu)
hapo mwanzo Mungu akasema na tumuumbe mtu,wakamuumba adam,mwanamke sio mtu,sio yeye alieumbwa na Mungu,,pili Biblia inasema ishini na wanawake kwa akili,ikimaanisha wanawake hawana akili(hayo ni maneno ya Biblia,sio yangu)
hana uhakika na hajapima DNA na mtoto katoroshwa
presha inapanda na kushuka ha ha ha
Unajua kusoma?
Hebu tazama hapa chini .....
Naomba ushahidi tafadhali
Ukikosa watake radhi wanawake wote wa JF!
Wakati unaandika haya ungetumia hata visigino vyako kufikiri ingekuwa afadhali!
hebu tupia kapicha kake inawezekana yupo huko mtaani kwetuMiaka mnne nyuma nilizaa na mdada wa kimachame kiukweli nilimpenda sana baada ya kumaliza masomo niliamua kukaa naye cha kushangaza akaanza kutembea na Jamaa zake yaana wachagga wenzake nikamkarisha kikao na ndugu wakamwonya kwa tabia zake tukaendelea kuhishi kwa taadhali kubwa baadaye nikapata kazi mkoa mwingine nikamfungulia kijiwe cha biashara maana muda wote akikuwa akikaa ndani cha kusikitisha siku niko job kasomba vitu vyote na mwanangu baada ya kuwapigia ndugu zake hawakuchukua hatua zozote wakidai hawajui alipo nikasikia yupo kwa mamamdogo yake Dar kumpigia Kasai hanitambui hivyo nisimsumbue nahitaji mwanangu nishauri nifanyeje kumpata maana ni damu yangu na nampenda sana.
aliyeumbwa mwili mzima na aliyetokana na kipande cha binadamu nani mtu nani kiumbe?tofautisha kiumbe na mtu
Miaka mnne nyuma nilizaa na mdada wa kimachame kiukweli nilimpenda sana baada ya kumaliza masomo niliamua kukaa naye cha kushangaza akaanza kutembea na Jamaa zake yaana wachagga wenzake nikamkarisha kikao na ndugu wakamwonya kwa tabia zake tukaendelea kuhishi kwa taadhali kubwa baadaye nikapata kazi mkoa mwingine nikamfungulia kijiwe cha biashara maana muda wote akikuwa akikaa ndani cha kusikitisha siku niko job kasomba vitu vyote na mwanangu baada ya kuwapigia ndugu zake hawakuchukua hatua zozote wakidai hawajui alipo nikasikia yupo kwa mamamdogo yake Dar kumpigia Kasai hanitambui hivyo nisimsumbue nahitaji mwanangu nishauri nifanyeje kumpata maana ni damu yangu na nampenda sana.
Kweli damu yangu maana anatabia na sura yangu hapo sijaibiwa najihamin wadau