Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza nakushauri rekebisha hayo uliyoandika, yaandike kwa Kiswahili, halafu ntakupa ushauri kuhusu huyo hawara yako.
Kwanza nakushauri rekebisha hayo uliyoandika, yaandike kwa Kiswahili, halafu ntakupa ushauri kuhusu huyo hawara yako.
Kwanini unamuita hawara yake?
Kwanza nakushauri rekebisha hayo uliyoandika, yaandike kwa Kiswahili, halafu ntakupa ushauri kuhusu huyo hawara yako.
Kwanza nakushauri rekebisha hayo uliyoandika, yaandike kwa Kiswahili, halafu ntakupa ushauri kuhusu huyo hawara yako.
Unaonaje ukipiga puri alafu ukanywa hizo sperm ili tupunguze hizi kelele za mwanamke sio mtu!eeh?!
Inawezekana najadiliana na mtu mwenye tatizo kubwa sana la kufikiri
Kiumbe sio mtu?
Hebu nipe maana ya hayo maneno yote mawili!
miss chaga hivi wamachame na wachaga ni "wamoja"?!
Wapi kasema kamuoa?!
Wachanga ni kabila kama ilivyo wapare. Sukuma. Wamasai atc sasa ukisema wachaga wapo Wa kutoka sehem mbalimbali machame.rombo. uru kishumundu.marangu. tukitoa maeneo watokapo kwa ujumla tunawaita wachaga.mfano wapare ni ujumla wa kabila (mwulize mshara)ila wamegawanyika wapo Wa same. ugweno. usangi etc the same tu makabila mengine mtafute Masai Dada wapo wamasai Wa engaruka.loliondo. ngaramtoni.oldonyosambu. lolkisale.etc
Shikamoo Bi Mkubwa.
umesikia mama yangu ni me ,habari ndo hiyo nyie sio binadamu bali sehemu ya
Uliishia darasa la ngapi?
Uliishia darasa la ngapi?
Hata mbuzi ni kiumbe, ila mbuzi ni mbuzi. Kiumbe ni term universal, mbuzi, njiwa, binadamu wanaangukia ndani yake
Huyo jamaa amesema "mwanamke sio mtu ni kiumbe dhaifu"
Hiyo kauli inaonekana imetolewa na mbumbumbu tu
Unajua kwanini?
Kwasababu mwenye ufahamu mzuri hawezi kusema "mwanamke sio mtu ni kiumbe dhaifu" kwasababu atajua tu kuwa "mtu" nae ni kiumbe
Kama mwanamke ni kiumbe basi ni mtu
Hawezi kuwa mtu halafu hapo hapo asiwe kiumbe
Unaposema "sio mtu" unakuwa unazungumzia kitu kama jiwe hivi au paka kwasababu paka ni kweli sio mtu lakini ni kiumbe
Umeona sasa huyo jamaa alivyokichanganya?