Mke wangu kaiba vitu vyote ndani kaondoka na mtoto na sijui alipo

Mke wangu kaiba vitu vyote ndani kaondoka na mtoto na sijui alipo

nani kakuambia elimu ni darasani ,kweli mtumwa mwone huruma
nibora ufikirie na wewe kitu kuliko kukariri bongo za watu via books without selfanalysation.

Inaonekana una tatizo kubwa zaidi ya nililolisema hapo juu

Nani ametaja elimu?
Inaonekana wewe hujiamini kabisa hasa kwenye eneo la elimu ndio maana unajistukia sana

Mimi nimekuuliza umeishia darasa la ngapi,sijakuuliza elimu yako
Darasa linaweza kuwa hata la kujifunza kuiba wake za watu
Wewe sijui umefikiriaje mimi nazungumzia hicho ulichomaanisha

Una hatari sana wewe

CC Heaven on Earth .....!!!!!
 
Last edited by a moderator:
1. Naomba ushahidi tafadhali

Ukikosa watake radhi wanawake wote wa JF!

2. Wakati unaandika haya ungetumia hata visigino vyako kufikiri ingekuwa afadhali!
1. Mwanzo 1:26.
Kisha Mungu akasema"Tumfanye mtu kwa mfano wetu,kwa sura yetu,atawale samaki wa baharini,ndege wa angani,wanyama wa kufugwa,dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo"

Mwanzo 2:7-8. "Basi mwenyezi Mungu akamfanya mwanaume kwa mavumbi ya udongo,akampulizia puani pumzi ya uhai,na huyo mwanaume akawa kiumbe hai. 8. Kisha Mungu akapanda bustani huko edeni,upande wa masharki na humo akamweka mwanaume aliemuumba"

2. 1 petro 3:7. "waume ishini na wake wenu kwa "akili".....
 
1. Mwanzo 1:26.
Kisha Mungu akasema"Tumfanye mtu kwa mfano wetu,kwa sura yetu,atawale samaki wa baharini,ndege wa angani,wanyama wa kufugwa,dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo"

Mwanzo 2:7-8. "Basi mwenyezi Mungu akamfanya mwanaume kwa mavumbi ya udongo,akampulizia puani pumzi ya uhai,na huyo mwanaume akawa kiumbe hai. 8. Kisha Mungu akapanda bustani huko edeni,upande wa masharki na humo akamweka mwanaume aliemuumba"

2. 1 petro 3:7. "waume ishini na wake wenu kwa "akili".....

Sijaona mahali Mungu amesema kuwa mwanamke sio mtu

Sijaona mahali ambapo Mungu amesema kuwa mwanamke hana akili!
 
We kwa hiyo kama ni kiumbe na si mtu you have to know kwamba kiumbe chaweza kuwa kuku paka mmoo. hvyo nanyi hampo sawa kwenye halmashauri zenu za vichwa kuishi na viumbe na sio watu kama ninyi😉😛

Umenielewa vibaya sisy...fatilia nilipoanzia na huyo mtu na Bro Eiyer utaelewa...
 
Last edited by a moderator:
Hua sibishani natetea kilichopo na si mfausi wa uwongo,unalijua pepo vema naelewa mana lilikudanganya na ukaliti ,nani mwenye pepo hapo?

Yaani hata kuandika sentensi moja inayoeleweka unashindwa

Utaweza kuuona uwongo na kuujua wewe?
 
Sijasema hujanijibu bali nimekuuliza kama unakijua nilichokuuliza
Kijana vipi?

Hebu nenda kakisome upya nilichoandika!

Aah!!pole Bro

Nimeelewa sasa samahani sana
 
Sijaona mahali Mungu amesema kuwa mwanamke sio mtu

Sijaona mahali ambapo Mungu amesema kuwa mwanamke hana akili!

sio lazima aseme biblia sio erick shigongo,you,have to read and compute at holy side of the page but not read read like a magazine the bible makes you think big and praise the holy not spoonfeeding and argue jf
 
Back
Top Bottom