Maisha ndio yanatufanya watu tuwe hivyo mzeeJamaa una ego flani kama wakulya hivi yaani unajiona mwamba kinouma kwa mwanamke, afu ukisema asikague simu yako hapo mwanamke mwenye akili lazima aweke kiulizo kwanini hivyo? Ukiona umeoa cha muhimu ni kufanya kila jambo kwa umakini mkubwa
Sawa aisee ngoja na hii njia niiweke kwenye plansasa unategemea akujibu kitu gani na haujmkalisha chini kumwambia huyo Beatrice ni nani?
Wanawake ni kawaida kureact hvyo ila.lazma na ww usimame kama kichwa cha familia mkalize chin ata kwa kutumia amri then mweleweshe huyo mtu ni nan na nini ulikuwa unamaanisha kwenye ule ujumbe na usiishie hapo tu na muoneshe huduma/bidhaa uliyo kuwa unailipia ikiwezekana mpigie weka loudspeaker ili na yeye ajiridhishe.
Waliposema ishini nao kwa akili hawakumanisha uishi nao kwa kuwapuuzia
Hata wewe unateseka Tena kuzidi yeye,, na si wiki hii tu jifatilie mada zako Ni km una hasira na wanawake nk,,, hata hivyo shughuli yangu imeishia hapa,,Hapana hii ni wiki Sasa na haijawahi tokea na ni Kama kitu kigeni kwake ndio maana kina mtesa.
😂😂😂Kwamba unatukomoa wanawake wa jf, mkeo au unaowanyandua?? Sorry for you psychopathSasa Kama Nina hasira na nyie mbona nawanyandua Sana sasa
Ili isionekane kweli ni mchepuko ungemueleza mapema nadhani angeelewa na mambo yangekaa sawa.Ilikua ni siku tulivu tu Kama siku nyingine, basi shetani nae alikua kazini Kama kawaida yake.
Kifupi mke wangu huyu hana tabia kabisa ya kushika simu yangu hadi majuzi alipo ingiwa na tamaa za kutaka kujua Kama yaliyomo yamo.
Basi ni siku moja nyuma yake nilikua nimefanya muamala wa pesa kwa mwanadada Beatrice kulipia bidhaa alio niuzia. Baada ya kulipia nikamtumia text kumuuliza Kama kapata? Akanijibu ndio nimepata Asante. Nami nikamjibu Asante pia kwa kunivumilia Basi maongezi yakawa yameishia hapo na huyu Beatrice.
Basi hiyo siku nipo zangu bafuni naoga nasikia wife anabamiza bamiza milango mala atoke mala aingie ile kumaliza kuoga natoka namkuta mtu amefura hatari Mara ashike hichi aache, ashike hichi aache akaenda kushukua dekio kalileta ndani akaacha akachukua mswaki akatoka nje , akarudi kumbe kasau kuweka dawa akarudi akaweka dawa akaanza kupangalua mabegi Kama Kuna kitu anakitafuta hivi aah mimi kuoana hivyo nikamuuliza kulikoni mbona hivyo nikajibiwa kamuulize Beatrice. Nikaanza kujiuliza kwani Beatrice kafanya Nini? Mtoto wa watu akaangua kilio hatari huku akisema yaani tunafuta hela kwa shida hivi halafu wewe unahonga kirahisi hivyo. Na kwa unaomba na samahani kabisa kwa kumcheleweshea .
Kufikia hapo nikakosa sababu ya kuendelea kuongea nae na kubaki tu nacheka maana hata sijui pa kuanzia kumuelewesha kwa sababu hata simu yangu nilisha kataza kuushika , anacho nifikiria kufanya sijafanya. Na kiukweli Mimi Bwana kujieleza sipendi hasa kwa kiumbe wa kike. Na Mambo hayapo sawa Hadi leo Moto umewaka mtu Hana amani kabisa, yaani nisifanye chochote naambiwa Beatrice kwa hiyo humu ndani wimbo ni Beatrice. Aman huyu Dada angejua jina lake limeleta balaa kwenye familia yangu sijui angejisikiaje Dada wa watu. Sijui angeacha hii kazi yake ya kuuza bidhaa zake kwa mkopo na kutumiwa hela kwa simu sijui.
Sijui nimfokee huyu wife kwa Nini alishika simu? Sijui nikae chini nianze kumueleza Hali ilivyo hapa naona uvivu na akili inachoka kabisa.Yaani ni lawama tu kuwa aliniamini Sana na hakujua Kama Kuna siku nitamfanyia hayaa. Na hata nikimuelezea ataona Kama nampanga tu cos majibu tayari anayo.
Nimesha amua bana liwalo na liwe. Wacha Moto uwake ukimaliza utazima wenyewe.
NB
......... wanawake achaneni na simu za wanaume wenu .......
Nimesha amua bana liwalo na liwe. Wacha Moto uwake ukimaliza utazima wenyewe.
Ifikie hatua ndoa zote zife maana zote zimejaa maigizo kila mwanaume awe huru na wanawake wote wawe huru kuingizana utumwani sio poa mmoja akiondoka huzuni akifa ni full simanzi tunaendekeza kufungana ndio maana tunateseka leo ukisex na mwanamke anaanza kukuuliza kama hutamuachaHuwa kuna kaupumbavu flan kichwan kakujiona mwanaume siwez kujishusha kumuelewsha mwanamke ambako kanapelekea ndoa/mahusiano mengi kuvunjika kwa mambo ya kijinga kabsaa.
Endelea kumuangalia tu pasipo kujua unaizika ndoa yako mwenyewe kwa kujiona una time ya kujibishana nae wakati ni jambo la kueleweshana tu.
Akigongewa na yeye anagonga kwingine issue inaishia hapo nyie endeleeni kunyenyekea mbususu mtakufa mmeinama mkichungulia kam mnatombewa au la!Kaa chini mweleweshe unajisifia huwezi kusolve mwanaume mzima
Mwamba unazinga sasa subiri utombewe
We nae ww ni tatizo..... Kwani ukimwambia ni Moja, mbili, tatu utapungukiwa nn..... Jifunze kujishushaIlikua ni siku tulivu tu Kama siku nyingine, basi shetani nae alikua kazini Kama kawaida yake.
Kifupi mke wangu huyu hana tabia kabisa ya kushika simu yangu hadi majuzi alipo ingiwa na tamaa za kutaka kujua Kama yaliyomo yamo.
Basi ni siku moja nyuma yake nilikua nimefanya muamala wa pesa kwa mwanadada Beatrice kulipia bidhaa alio niuzia. Baada ya kulipia nikamtumia text kumuuliza Kama kapata? Akanijibu ndio nimepata Asante. Nami nikamjibu Asante pia kwa kunivumilia Basi maongezi yakawa yameishia hapo na huyu Beatrice.
Basi hiyo siku nipo zangu bafuni naoga nasikia wife anabamiza bamiza milango mala atoke mala aingie ile kumaliza kuoga natoka namkuta mtu amefura hatari Mara ashike hichi aache, ashike hichi aache akaenda kushukua dekio kalileta ndani akaacha akachukua mswaki akatoka nje , akarudi kumbe kasau kuweka dawa akarudi akaweka dawa akaanza kupangalua mabegi Kama Kuna kitu anakitafuta hivi aah mimi kuoana hivyo nikamuuliza kulikoni mbona hivyo nikajibiwa kamuulize Beatrice. Nikaanza kujiuliza kwani Beatrice kafanya Nini? Mtoto wa watu akaangua kilio hatari huku akisema yaani tunafuta hela kwa shida hivi halafu wewe unahonga kirahisi hivyo. Na kwa unaomba na samahani kabisa kwa kumcheleweshea .
Kufikia hapo nikakosa sababu ya kuendelea kuongea nae na kubaki tu nacheka maana hata sijui pa kuanzia kumuelewesha kwa sababu hata simu yangu nilisha kataza kuushika , anacho nifikiria kufanya sijafanya. Na kiukweli Mimi Bwana kujieleza sipendi hasa kwa kiumbe wa kike. Na Mambo hayapo sawa Hadi leo Moto umewaka mtu Hana amani kabisa, yaani nisifanye chochote naambiwa Beatrice kwa hiyo humu ndani wimbo ni Beatrice. Aman huyu Dada angejua jina lake limeleta balaa kwenye familia yangu sijui angejisikiaje Dada wa watu. Sijui angeacha hii kazi yake ya kuuza bidhaa zake kwa mkopo na kutumiwa hela kwa simu sijui.
Sijui nimfokee huyu wife kwa Nini alishika simu? Sijui nikae chini nianze kumueleza Hali ilivyo hapa naona uvivu na akili inachoka kabisa.Yaani ni lawama tu kuwa aliniamini Sana na hakujua Kama Kuna siku nitamfanyia hayaa. Na hata nikimuelezea ataona Kama nampanga tu cos majibu tayari anayo.
Nimesha amua bana liwalo na liwe. Wacha Moto uwake ukimaliza utazima wenyewe.
NB
......... wanawake achaneni na simu za wanaume wenu .......
Anakumbuka namna alivyokuwa anawachuna wanaume kabla hajaolewa. Ni kweli wanawake wanamaliza pesa Ila anakuonea kwahiyo muelewesheIlikua ni siku tulivu tu Kama siku nyingine, basi shetani nae alikua kazini Kama kawaida yake.
Kifupi mke wangu huyu hana tabia kabisa ya kushika simu yangu hadi majuzi alipo ingiwa na tamaa za kutaka kujua Kama yaliyomo yamo.
Basi ni siku moja nyuma yake nilikua nimefanya muamala wa pesa kwa mwanadada Beatrice kulipia bidhaa alio niuzia. Baada ya kulipia nikamtumia text kumuuliza Kama kapata? Akanijibu ndio nimepata Asante. Nami nikamjibu Asante pia kwa kunivumilia Basi maongezi yakawa yameishia hapo na huyu Beatrice.
Basi hiyo siku nipo zangu bafuni naoga nasikia wife anabamiza bamiza milango mala atoke mala aingie ile kumaliza kuoga natoka namkuta mtu amefura hatari Mara ashike hichi aache, ashike hichi aache akaenda kushukua dekio kalileta ndani akaacha akachukua mswaki akatoka nje , akarudi kumbe kasau kuweka dawa akarudi akaweka dawa akaanza kupangalua mabegi Kama Kuna kitu anakitafuta hivi aah mimi kuoana hivyo nikamuuliza kulikoni mbona hivyo nikajibiwa kamuulize Beatrice. Nikaanza kujiuliza kwani Beatrice kafanya Nini? Mtoto wa watu akaangua kilio hatari huku akisema yaani tunafuta hela kwa shida hivi halafu wewe unahonga kirahisi hivyo. Na kwa unaomba na samahani kabisa kwa kumcheleweshea .
Kufikia hapo nikakosa sababu ya kuendelea kuongea nae na kubaki tu nacheka maana hata sijui pa kuanzia kumuelewesha kwa sababu hata simu yangu nilisha kataza kuushika , anacho nifikiria kufanya sijafanya. Na kiukweli Mimi Bwana kujieleza sipendi hasa kwa kiumbe wa kike. Na Mambo hayapo sawa Hadi leo Moto umewaka mtu Hana amani kabisa, yaani nisifanye chochote naambiwa Beatrice kwa hiyo humu ndani wimbo ni Beatrice. Aman huyu Dada angejua jina lake limeleta balaa kwenye familia yangu sijui angejisikiaje Dada wa watu. Sijui angeacha hii kazi yake ya kuuza bidhaa zake kwa mkopo na kutumiwa hela kwa simu sijui.
Sijui nimfokee huyu wife kwa Nini alishika simu? Sijui nikae chini nianze kumueleza Hali ilivyo hapa naona uvivu na akili inachoka kabisa.Yaani ni lawama tu kuwa aliniamini Sana na hakujua Kama Kuna siku nitamfanyia hayaa. Na hata nikimuelezea ataona Kama nampanga tu cos majibu tayari anayo.
Nimesha amua bana liwalo na liwe. Wacha Moto uwake ukimaliza utazima wenyewe.
NB
......... wanawake achaneni na simu za wanaume wenu .......
How low can you go down , jus for the sake of protecting marriage !!"Wacha moto uwake ukimaliza utazima wenyewe" hapo ndipo unapofeli mkuu.
Bro wanawake wengi ni wagumu kusahau, hiyo text ita-circulate kichwani kwake miaka yote na kwa kiasi fulani ile roho ya uaminifu kwako imeshakata. Kifupi anaamini umetembea na Beatrice. Unavyokaa kimya bila kumpa ukweli wa mambo kuna hatari ya yeye kufanya revenge akakucheat na kijana ambae amekua akimsumbua sumbua hapo nyuma bila ww kujua na mwisho wa siku ufike hapa kutuomba ushauri ukiwa umepanic.
My take: kama hampo kwenye mahusiano na huyo Beatrice, jaribu kumkutanisha wife wako na huyo binti huku ukimueleza ukweli kua mahusiano yenu ni ya kibiashara. Mfanye mkeo awe na amani na asije kuhisi unamsaliti. Hii itakuweka huru zaidi.
Usimwambie wife wala Beatrice chochote. Njoo kwangu unieleze yote upate pumziko la moyo🙈Ilikua ni siku tulivu tu Kama siku nyingine, basi shetani nae alikua kazini Kama kawaida yake.
Kifupi mke wangu huyu hana tabia kabisa ya kushika simu yangu hadi majuzi alipo ingiwa na tamaa za kutaka kujua Kama yaliyomo yamo.
Basi ni siku moja nyuma yake nilikua nimefanya muamala wa pesa kwa mwanadada Beatrice kulipia bidhaa alio niuzia. Baada ya kulipia nikamtumia text kumuuliza Kama kapata? Akanijibu ndio nimepata Asante. Nami nikamjibu Asante pia kwa kunivumilia Basi maongezi yakawa yameishia hapo na huyu Beatrice.
Basi hiyo siku nipo zangu bafuni naoga nasikia wife anabamiza bamiza milango mala atoke mala aingie ile kumaliza kuoga natoka namkuta mtu amefura hatari Mara ashike hichi aache, ashike hichi aache akaenda kushukua dekio kalileta ndani akaacha akachukua mswaki akatoka nje , akarudi kumbe kasau kuweka dawa akarudi akaweka dawa akaanza kupangalua mabegi Kama Kuna kitu anakitafuta hivi aah mimi kuoana hivyo nikamuuliza kulikoni mbona hivyo nikajibiwa kamuulize Beatrice. Nikaanza kujiuliza kwani Beatrice kafanya Nini? Mtoto wa watu akaangua kilio hatari huku akisema yaani tunafuta hela kwa shida hivi halafu wewe unahonga kirahisi hivyo. Na kwa unaomba na samahani kabisa kwa kumcheleweshea .
Kufikia hapo nikakosa sababu ya kuendelea kuongea nae na kubaki tu nacheka maana hata sijui pa kuanzia kumuelewesha kwa sababu hata simu yangu nilisha kataza kuushika , anacho nifikiria kufanya sijafanya. Na kiukweli Mimi Bwana kujieleza sipendi hasa kwa kiumbe wa kike. Na Mambo hayapo sawa Hadi leo Moto umewaka mtu Hana amani kabisa, yaani nisifanye chochote naambiwa Beatrice kwa hiyo humu ndani wimbo ni Beatrice. Aman huyu Dada angejua jina lake limeleta balaa kwenye familia yangu sijui angejisikiaje Dada wa watu. Sijui angeacha hii kazi yake ya kuuza bidhaa zake kwa mkopo na kutumiwa hela kwa simu sijui.
Sijui nimfokee huyu wife kwa Nini alishika simu? Sijui nikae chini nianze kumueleza Hali ilivyo hapa naona uvivu na akili inachoka kabisa.Yaani ni lawama tu kuwa aliniamini Sana na hakujua Kama Kuna siku nitamfanyia hayaa. Na hata nikimuelezea ataona Kama nampanga tu cos majibu tayari anayo.
Nimesha amua bana liwalo na liwe. Wacha Moto uwake ukimaliza utazima wenyewe.
NB
......... wanawake achaneni na simu za wanaume wenu .......