Mke wangu kanikimbia

Mke wangu kanikimbia

Mi mwanamke akisha kuwa na wivu uliopitiliza,unanipa usumbufu Sana wakati mimi simfanyii hivyo,huwa nakata mahusiano!Uhusiano haupaswi kuwa kero hata kama ndo kupenda kwenyewe

Sent from my Nokia 2.4 using JamiiForums mobile app
 
Wadau ngoja nije moja kwa moja kwenye mada
Huyu mama watoto nimeanza nae mahusianowaka 2019 akiwa diploma mimi niikiwa mfanyakazi. Mwishoni mwa 2019 nikaamua kumweka ndani ili tusomane vizuri tabia kwa sababu nilikuwa nina shauku sana ya kuishi na mwanamke mmoja ninaye mpenda. Nikaenda kutoa mahari

Kipindi chote cha mahusiano yake alikiwa insecure sana na haya mahuano kwa sababu namzidi miaka kama mitano pia na kipato. So ugomvi wetu mkubwa ulikuwa ni simu yangu. Kila mara alikiwa ananivizia kujua password za simu yangu ili kujua kinachoendelea kwenye simu yangu. Japo nilikuwa najitahidi sanaa kubadili nywira.
Kila.alipokua akikuta kitu chochote alikiwa anaondoka kwangu na kudai kaniacha.

Pia ni mwanamke ambae nisipomtimizia mahitaji yake alikuwa anakuwa na hasira sanaa akihisi ninahonga na yeya namuacha kando.

Nikafanya maamuzi ya kumpa ujauzito nikihisi ataamini kama ni wangu na atapunguza wenge. Na ataaacha utoto wa kuwa na gubu.

Ila kiukweli ilikua ni kama nimechochea moto wa gas yaaani imekua ni mara dufu. Yaaani ilifika pahala hataki niende polote kila ninapotoka kazini hata marafiki akataka kunichagulia. Wivu uliopitiliza na unaokera. Mara zote alikua anachotaka nisipomtimizia anatishia kuondoka hata kama ni kidogo.

Ilifika pahala nikachoka so last weekend alikuaa chuo anajiandaa na mitihani kama ilivyokuwa ada nilikuwa namfata chuoni usiku. So that moment nilichelewa kwa sababu nilikua nakula bia na rafiki zangu.

Huwezi amini mama watoto alimind balaaa then akachukua boda akarudi home. Mie nilifika home kama dakika 20 nyuma yake nikapiga honi hakufungua, kwa kuwa geti lilikuwa halijafungwa. Nikazima gari nimaenda kufungua nikapak gari kipembe kikaja kuingia ndani. Akakataa kabisaa kufungua. So ikabidi nizuge naenda kulala gest ndo ikabidi anipigie simu. Nilivyorudi akanirushia funguo kupiti dirishani.
Nilivyofika chumbani akawa kafunga mlango so ikabidi nilale chumba cha wageni
Next day ilikuaa j'mos aliamka kanuna,mie kama kawaida nikamuuliza kama anaenda chuo then nimamleka

Jumapili akanandikia sms ndefu kama kachoka na maudhi yangu so alikuwa anahitaji break. Mie nilipuzia kwa vile nilikuaa kazini. Huwezi amini allipiga simu nyingi sanaa akiwa anaomba nimjibu japo sikupokea.

Nilivyorudi home usiku akaniuliza nimefanya maamuzi gani then nikamwambia nimeridhia aondoke akasema jumatatu anaondoka, so jumatatu akawapeleka mtoto na dada wa kazi kwa bibi yake kwa maana ni distance fupi then jioni akaniaga kwa sms

Haikupita hata masaa matatu akaniandikia sms ndefu kama anataka kurudi home sikumjibu akapiga simu nikamwambia no.

Baada ya hapo alikuwa anapiga simu mara kwa mara ikabidi nimblock ili kuondoa usumbufu. Jumatano mida ya saa tano asubuhi nkapigiwa na namba ngeni anajitambulisha then akasema anataka kuchukua barua ya field then ikabidi niende home kumfungulia.
Nafika home namkuta yeye binti wa kazi na mtoto.

Akasema mama yake kamfukuza mie sikujali nikamwambia akimaliza aweke funguo sehem tunayoijua baada kama ya saa mbili mama yake akanisms kwamba anahitaji tuonane. Nikamjibu nimebanwa sanaa kazini kwa sananj sikuona kama ni sawa kuongea nae kuhusu sisi
Jioni nimawakuta home. Nilikuwa tayari
Nikaenda chumba cha wageni kulala. Akaja kunuomba msamaha sanaaaaa ila sikutaka kuongea lolote nikalala.

Leo nimeamka nimaenda job hadi saiz sijaenda home kwa sababu kawa msumfu nishaurini niconclude vipi hili.......
Ndio mapenzi yenyewe hayo..siku zingine ushinde home na familia..zingine na washkaji..naye anakuhitaji boss. wivu
wao ndio mapenzi keshajifunza wote ndio tabia zao...
 
Nakushauli kaaa na mama yake ukiwa pamoja na mkeo uweleze anayoyafanya, lkn pia uwambie kwamba cm ya mwanaume haifai kukaguliwa anatafuta nn ktk cm yako?

Jambo la mwisho mwambie akapumzike kwao mpka utakapokuwa tayali utakwenda kumchukua, yaaani mkimaliza mazungumzo mwambie umemsamehe lkn apumzike kwanza kwao mpka utakapokuwa tayali utamfuata.

Hapo ww fanya shughuli zako kama wiki 2 kisha unamfuata.
 
Wadau ngoja nije moja kwa moja kwenye mada
Huyu mama watoto nimeanza nae mahusianowaka 2019 akiwa diploma mimi niikiwa mfanyakazi. Mwishoni mwa 2019 nikaamua kumweka ndani ili tusomane vizuri tabia kwa sababu nilikuwa nina shauku sana ya kuishi na mwanamke mmoja ninaye mpenda. Nikaenda kutoa mahari

Kipindi chote cha mahusiano yake alikiwa insecure sana na haya mahuano kwa sababu namzidi miaka kama mitano pia na kipato. So ugomvi wetu mkubwa ulikuwa ni simu yangu. Kila mara alikiwa ananivizia kujua password za simu yangu ili kujua kinachoendelea kwenye simu yangu. Japo nilikuwa najitahidi sanaa kubadili nywira.
Kila.alipokua akikuta kitu chochote alikiwa anaondoka kwangu na kudai kaniacha.

Pia ni mwanamke ambae nisipomtimizia mahitaji yake alikuwa anakuwa na hasira sanaa akihisi ninahonga na yeya namuacha kando.

Nikafanya maamuzi ya kumpa ujauzito nikihisi ataamini kama ni wangu na atapunguza wenge. Na ataaacha utoto wa kuwa na gubu.

Ila kiukweli ilikua ni kama nimechochea moto wa gas yaaani imekua ni mara dufu. Yaaani ilifika pahala hataki niende polote kila ninapotoka kazini hata marafiki akataka kunichagulia. Wivu uliopitiliza na unaokera. Mara zote alikua anachotaka nisipomtimizia anatishia kuondoka hata kama ni kidogo.

Ilifika pahala nikachoka so last weekend alikuaa chuo anajiandaa na mitihani kama ilivyokuwa ada nilikuwa namfata chuoni usiku. So that moment nilichelewa kwa sababu nilikua nakula bia na rafiki zangu.

Huwezi amini mama watoto alimind balaaa then akachukua boda akarudi home. Mie nilifika home kama dakika 20 nyuma yake nikapiga honi hakufungua, kwa kuwa geti lilikuwa halijafungwa. Nikazima gari nimaenda kufungua nikapak gari kipembe kikaja kuingia ndani. Akakataa kabisaa kufungua. So ikabidi nizuge naenda kulala gest ndo ikabidi anipigie simu. Nilivyorudi akanirushia funguo kupiti dirishani.
Nilivyofika chumbani akawa kafunga mlango so ikabidi nilale chumba cha wageni
Next day ilikuaa j'mos aliamka kanuna,mie kama kawaida nikamuuliza kama anaenda chuo then nimamleka

Jumapili akanandikia sms ndefu kama kachoka na maudhi yangu so alikuwa anahitaji break. Mie nilipuzia kwa vile nilikuaa kazini. Huwezi amini allipiga simu nyingi sanaa akiwa anaomba nimjibu japo sikupokea.

Nilivyorudi home usiku akaniuliza nimefanya maamuzi gani then nikamwambia nimeridhia aondoke akasema jumatatu anaondoka, so jumatatu akawapeleka mtoto na dada wa kazi kwa bibi yake kwa maana ni distance fupi then jioni akaniaga kwa sms

Haikupita hata masaa matatu akaniandikia sms ndefu kama anataka kurudi home sikumjibu akapiga simu nikamwambia no.

Baada ya hapo alikuwa anapiga simu mara kwa mara ikabidi nimblock ili kuondoa usumbufu. Jumatano mida ya saa tano asubuhi nkapigiwa na namba ngeni anajitambulisha then akasema anataka kuchukua barua ya field then ikabidi niende home kumfungulia.
Nafika home namkuta yeye binti wa kazi na mtoto.

Akasema mama yake kamfukuza mie sikujali nikamwambia akimaliza aweke funguo sehem tunayoijua baada kama ya saa mbili mama yake akanisms kwamba anahitaji tuonane. Nikamjibu nimebanwa sanaa kazini kwa sananj sikuona kama ni sawa kuongea nae kuhusu sisi
Jioni nimawakuta home. Nilikuwa tayari
Nikaenda chumba cha wageni kulala. Akaja kunuomba msamaha sanaaaaa ila sikutaka kuongea lolote nikalala.

Leo nimeamka nimaenda job hadi saiz sijaenda home kwa sababu kawa msumfu nishaurini niconclude vipi hili.......

She is just insecure. Nachokiona hapo ni kwamba haamini kwamba angeweza kumpata mwanaume mwenye sifa kama zako hususani uwezo wa kiuchumi.

Kwa kifupi, huyu mwanamke anataka umjengee imani kwamba hutomuacha. Hiyo ndo shida. Alafu inawezekana bado umri ni mdogo haelewi mambo.

Burudani ya kuoa mke unayemzidi umri ndo kama hizo, inabidi uvae vyatu vya baba wakati mwingine umuelekeze panapohitajika ndo uweze kumpakata vizuri baadae kama mume ili kujenga amani ya kudumu.
 
Ofcourse na mimi nina mapufu kwa sababu huwa tukigombana nachukua muda sana kushuka

Ahaha ahha dah! eti nachukua muda sana kushuka , “hakuna mwanamke anayependa kuishi na mwanaume mkali na mwenye gubu” zingatia sana
 
hizi drama ndo zinazotengeneza mapenzi.. mkeo bado hana imani na ww, au anajazwa maneno mengii so anakupima, anamambo ya kitoto, mpelekee faya, mpaka ugoro aite ugolo, peleka moto mpaka unuse harufu ya mishikaki ya nundu, usimwache namwombea msamaha bro!
Mke ni kilaza, full stop
 
Wote mna matatizo, nendeni kwa mwanasaikolojia wa mahusiano.
 
Wadau ngoja nije moja kwa moja kwenye mada
Huyu mama watoto nimeanza nae mahusianowaka 2019 akiwa diploma mimi niikiwa mfanyakazi. Mwishoni mwa 2019 nikaamua kumweka ndani ili tusomane vizuri tabia kwa sababu nilikuwa nina shauku sana ya kuishi na mwanamke mmoja ninaye mpenda. Nikaenda kutoa mahari

Kipindi chote cha mahusiano yake alikiwa insecure sana na haya mahuano kwa sababu namzidi miaka kama mitano pia na kipato. So ugomvi wetu mkubwa ulikuwa ni simu yangu. Kila mara alikiwa ananivizia kujua password za simu yangu ili kujua kinachoendelea kwenye simu yangu. Japo nilikuwa najitahidi sanaa kubadili nywira.
Kila.alipokua akikuta kitu chochote alikiwa anaondoka kwangu na kudai kaniacha.

Pia ni mwanamke ambae nisipomtimizia mahitaji yake alikuwa anakuwa na hasira sanaa akihisi ninahonga na yeya namuacha kando.

Nikafanya maamuzi ya kumpa ujauzito nikihisi ataamini kama ni wangu na atapunguza wenge. Na ataaacha utoto wa kuwa na gubu.

Ila kiukweli ilikua ni kama nimechochea moto wa gas yaaani imekua ni mara dufu. Yaaani ilifika pahala hataki niende polote kila ninapotoka kazini hata marafiki akataka kunichagulia. Wivu uliopitiliza na unaokera. Mara zote alikua anachotaka nisipomtimizia anatishia kuondoka hata kama ni kidogo.

Ilifika pahala nikachoka so last weekend alikuaa chuo anajiandaa na mitihani kama ilivyokuwa ada nilikuwa namfata chuoni usiku. So that moment nilichelewa kwa sababu nilikua nakula bia na rafiki zangu.

Huwezi amini mama watoto alimind balaaa then akachukua boda akarudi home. Mie nilifika home kama dakika 20 nyuma yake nikapiga honi hakufungua, kwa kuwa geti lilikuwa halijafungwa. Nikazima gari nimaenda kufungua nikapak gari kipembe kikaja kuingia ndani. Akakataa kabisaa kufungua. So ikabidi nizuge naenda kulala gest ndo ikabidi anipigie simu. Nilivyorudi akanirushia funguo kupiti dirishani.
Nilivyofika chumbani akawa kafunga mlango so ikabidi nilale chumba cha wageni
Next day ilikuaa j'mos aliamka kanuna,mie kama kawaida nikamuuliza kama anaenda chuo then nimamleka

Jumapili akanandikia sms ndefu kama kachoka na maudhi yangu so alikuwa anahitaji break. Mie nilipuzia kwa vile nilikuaa kazini. Huwezi amini allipiga simu nyingi sanaa akiwa anaomba nimjibu japo sikupokea.

Nilivyorudi home usiku akaniuliza nimefanya maamuzi gani then nikamwambia nimeridhia aondoke akasema jumatatu anaondoka, so jumatatu akawapeleka mtoto na dada wa kazi kwa bibi yake kwa maana ni distance fupi then jioni akaniaga kwa sms

Haikupita hata masaa matatu akaniandikia sms ndefu kama anataka kurudi home sikumjibu akapiga simu nikamwambia no.

Baada ya hapo alikuwa anapiga simu mara kwa mara ikabidi nimblock ili kuondoa usumbufu. Jumatano mida ya saa tano asubuhi nkapigiwa na namba ngeni anajitambulisha then akasema anataka kuchukua barua ya field then ikabidi niende home kumfungulia.
Nafika home namkuta yeye binti wa kazi na mtoto.

Akasema mama yake kamfukuza mie sikujali nikamwambia akimaliza aweke funguo sehem tunayoijua baada kama ya saa mbili mama yake akanisms kwamba anahitaji tuonane. Nikamjibu nimebanwa sanaa kazini kwa sananj sikuona kama ni sawa kuongea nae kuhusu sisi
Jioni nimawakuta home. Nilikuwa tayari
Nikaenda chumba cha wageni kulala. Akaja kunuomba msamaha sanaaaaa ila sikutaka kuongea lolote nikalala.

Leo nimeamka nimaenda job hadi saiz sijaenda home kwa sababu kawa msumfu nishaurini niconclude vipi hili.......
Kumbe yupo magethoni wewe unasema kakukimbia..
Punguza umalaya hapo kuna kitu huajakiweka (tatibia zako huko unakoenda kunywa na pasward kwenye simu nayo inampa wasiwasi sana)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau ngoja nije moja kwa moja kwenye mada
Huyu mama watoto nimeanza nae mahusianowaka 2019 akiwa diploma mimi niikiwa mfanyakazi. Mwishoni mwa 2019 nikaamua kumweka ndani ili tusomane vizuri tabia kwa sababu nilikuwa nina shauku sana ya kuishi na mwanamke mmoja ninaye mpenda. Nikaenda kutoa mahari

Kipindi chote cha mahusiano yake alikiwa insecure sana na haya mahuano kwa sababu namzidi miaka kama mitano pia na kipato. So ugomvi wetu mkubwa ulikuwa ni simu yangu. Kila mara alikiwa ananivizia kujua password za simu yangu ili kujua kinachoendelea kwenye simu yangu. Japo nilikuwa najitahidi sanaa kubadili nywira.
Kila.alipokua akikuta kitu chochote alikiwa anaondoka kwangu na kudai kaniacha.

Pia ni mwanamke ambae nisipomtimizia mahitaji yake alikuwa anakuwa na hasira sanaa akihisi ninahonga na yeya namuacha kando.

Nikafanya maamuzi ya kumpa ujauzito nikihisi ataamini kama ni wangu na atapunguza wenge. Na ataaacha utoto wa kuwa na gubu.

Ila kiukweli ilikua ni kama nimechochea moto wa gas yaaani imekua ni mara dufu. Yaaani ilifika pahala hataki niende polote kila ninapotoka kazini hata marafiki akataka kunichagulia. Wivu uliopitiliza na unaokera. Mara zote alikua anachotaka nisipomtimizia anatishia kuondoka hata kama ni kidogo.

Ilifika pahala nikachoka so last weekend alikuaa chuo anajiandaa na mitihani kama ilivyokuwa ada nilikuwa namfata chuoni usiku. So that moment nilichelewa kwa sababu nilikua nakula bia na rafiki zangu.

Huwezi amini mama watoto alimind balaaa then akachukua boda akarudi home. Mie nilifika home kama dakika 20 nyuma yake nikapiga honi hakufungua, kwa kuwa geti lilikuwa halijafungwa. Nikazima gari nimaenda kufungua nikapak gari kipembe kikaja kuingia ndani. Akakataa kabisaa kufungua. So ikabidi nizuge naenda kulala gest ndo ikabidi anipigie simu. Nilivyorudi akanirushia funguo kupiti dirishani.
Nilivyofika chumbani akawa kafunga mlango so ikabidi nilale chumba cha wageni
Next day ilikuaa j'mos aliamka kanuna,mie kama kawaida nikamuuliza kama anaenda chuo then nimamleka

Jumapili akanandikia sms ndefu kama kachoka na maudhi yangu so alikuwa anahitaji break. Mie nilipuzia kwa vile nilikuaa kazini. Huwezi amini allipiga simu nyingi sanaa akiwa anaomba nimjibu japo sikupokea.

Nilivyorudi home usiku akaniuliza nimefanya maamuzi gani then nikamwambia nimeridhia aondoke akasema jumatatu anaondoka, so jumatatu akawapeleka mtoto na dada wa kazi kwa bibi yake kwa maana ni distance fupi then jioni akaniaga kwa sms

Haikupita hata masaa matatu akaniandikia sms ndefu kama anataka kurudi home sikumjibu akapiga simu nikamwambia no.

Baada ya hapo alikuwa anapiga simu mara kwa mara ikabidi nimblock ili kuondoa usumbufu. Jumatano mida ya saa tano asubuhi nkapigiwa na namba ngeni anajitambulisha then akasema anataka kuchukua barua ya field then ikabidi niende home kumfungulia.
Nafika home namkuta yeye binti wa kazi na mtoto.

Akasema mama yake kamfukuza mie sikujali nikamwambia akimaliza aweke funguo sehem tunayoijua baada kama ya saa mbili mama yake akanisms kwamba anahitaji tuonane. Nikamjibu nimebanwa sanaa kazini kwa sananj sikuona kama ni sawa kuongea nae kuhusu sisi
Jioni nimawakuta home. Nilikuwa tayari
Nikaenda chumba cha wageni kulala. Akaja kunuomba msamaha sanaaaaa ila sikutaka kuongea lolote nikalala.

Leo nimeamka nimaenda job hadi saiz sijaenda home kwa sababu kawa msumfu nishaurini niconclude vipi hili.......

Dah vitu vingine buana
 
She is just insecure. Nachokiona hapo ni kwamba haamini kwamba angeweza kumpata mwanaume mwenye sifa kama zako hususani uwezo wa kiuchumi.

Kwa kifupi, huyu mwanamke anataka umjengee imani kwamba hutomuacha. Hiyo ndo shida. Alafu inawezekana bado umri ni mdogo haelewi mambo. Burudani ya kuoa mke unayemzidi umri ndo kama hizo, inabidi uvae vyatu vya baba wakati mwingine umuelekeze panapohitajika ndo uweze kumpakata vizuri baadae kama mume ili kujenga amani ya kudumu.
Ana dalili ya kuwa demu malaya ambae anatumia uzoefu wake binafsi na uzoefu wa wanaume wake vipenzi hapo kabla, anayoyaisha akiwa chuo na alioishi kabla ya kuwa na wewe ndio msingi. Mdau ebu atujuze ni kabila gani huyo mwanamke wake tumpe dondoo za uangalifu.
 
She is just insecure. Nachokiona hapo ni kwamba haamini kwamba angeweza kumpata mwanaume mwenye sifa kama zako hususani uwezo wa kiuchumi.

Kwa kifupi, huyu mwanamke anataka umjengee imani kwamba hutomuacha. Hiyo ndo shida. Alafu inawezekana bado umri ni mdogo haelewi mambo. Burudani ya kuoa mke unayemzidi umri ndo kama hizo, inabidi uvae vyatu vya baba wakati mwingine umuelekeze panapohitajika ndo uweze kumpakata vizuri baadae kama mume ili kujenga amani ya kudumu.
Na inakuaga ngumu kupata furaha ya kua handled kama mume, muda mwingi ni kusolve na kuelekeza kama baba vile. Ni changamoto sana kua watu wa hivyo.
 
Wadau ngoja nije moja kwa moja kwenye mada
Huyu mama watoto nimeanza nae mahusianowaka 2019 akiwa diploma mimi niikiwa mfanyakazi. Mwishoni mwa 2019 nikaamua kumweka ndani ili tusomane vizuri tabia kwa sababu nilikuwa nina shauku sana ya kuishi na mwanamke mmoja ninaye mpenda. Nikaenda kutoa mahari

Kipindi chote cha mahusiano yake alikiwa insecure sana na haya mahuano kwa sababu namzidi miaka kama mitano pia na kipato. So ugomvi wetu mkubwa ulikuwa ni simu yangu. Kila mara alikiwa ananivizia kujua password za simu yangu ili kujua kinachoendelea kwenye simu yangu. Japo nilikuwa najitahidi sanaa kubadili nywira.
Kila.alipokua akikuta kitu chochote alikiwa anaondoka kwangu na kudai kaniacha.

Pia ni mwanamke ambae nisipomtimizia mahitaji yake alikuwa anakuwa na hasira sanaa akihisi ninahonga na yeya namuacha kando.

Nikafanya maamuzi ya kumpa ujauzito nikihisi ataamini kama ni wangu na atapunguza wenge. Na ataaacha utoto wa kuwa na gubu.

Ila kiukweli ilikua ni kama nimechochea moto wa gas yaaani imekua ni mara dufu. Yaaani ilifika pahala hataki niende polote kila ninapotoka kazini hata marafiki akataka kunichagulia. Wivu uliopitiliza na unaokera. Mara zote alikua anachotaka nisipomtimizia anatishia kuondoka hata kama ni kidogo.

Ilifika pahala nikachoka so last weekend alikuaa chuo anajiandaa na mitihani kama ilivyokuwa ada nilikuwa namfata chuoni usiku. So that moment nilichelewa kwa sababu nilikua nakula bia na rafiki zangu.

Huwezi amini mama watoto alimind balaaa then akachukua boda akarudi home. Mie nilifika home kama dakika 20 nyuma yake nikapiga honi hakufungua, kwa kuwa geti lilikuwa halijafungwa. Nikazima gari nimaenda kufungua nikapak gari kipembe kikaja kuingia ndani. Akakataa kabisaa kufungua. So ikabidi nizuge naenda kulala gest ndo ikabidi anipigie simu. Nilivyorudi akanirushia funguo kupiti dirishani.
Nilivyofika chumbani akawa kafunga mlango so ikabidi nilale chumba cha wageni
Next day ilikuaa j'mos aliamka kanuna,mie kama kawaida nikamuuliza kama anaenda chuo then nimamleka

Jumapili akanandikia sms ndefu kama kachoka na maudhi yangu so alikuwa anahitaji break. Mie nilipuzia kwa vile nilikuaa kazini. Huwezi amini allipiga simu nyingi sanaa akiwa anaomba nimjibu japo sikupokea.

Nilivyorudi home usiku akaniuliza nimefanya maamuzi gani then nikamwambia nimeridhia aondoke akasema jumatatu anaondoka, so jumatatu akawapeleka mtoto na dada wa kazi kwa bibi yake kwa maana ni distance fupi then jioni akaniaga kwa sms

Haikupita hata masaa matatu akaniandikia sms ndefu kama anataka kurudi home sikumjibu akapiga simu nikamwambia no.

Baada ya hapo alikuwa anapiga simu mara kwa mara ikabidi nimblock ili kuondoa usumbufu. Jumatano mida ya saa tano asubuhi nkapigiwa na namba ngeni anajitambulisha then akasema anataka kuchukua barua ya field then ikabidi niende home kumfungulia.
Nafika home namkuta yeye binti wa kazi na mtoto.

Akasema mama yake kamfukuza mie sikujali nikamwambia akimaliza aweke funguo sehem tunayoijua baada kama ya saa mbili mama yake akanisms kwamba anahitaji tuonane. Nikamjibu nimebanwa sanaa kazini kwa sananj sikuona kama ni sawa kuongea nae kuhusu sisi
Jioni nimawakuta home. Nilikuwa tayari
Nikaenda chumba cha wageni kulala. Akaja kunuomba msamaha sanaaaaa ila sikutaka kuongea lolote nikalala.

Leo nimeamka nimaenda job hadi saiz sijaenda home kwa sababu kawa msumfu nishaurini niconclude vipi hili.......
Mwanamke kabila gani na mnaishi mkoa gani? Ukijibu ntaweka neno
 
Kuna wakat wife alinisumbua sana gubu na ugomv kila siku wazee wakasolve weee wakachoka.

Siku moja baba aliniita akanitamkia neno zito " mura ukiona mwanamke anakusumbua ujue hautombi vizur,mwanamke yoyote anayefanywa vzr ndani ya ndoa anakuwaga mpole na msikivu"

Nikajaribu kufanya mzee alivyosema asee kila kitu kilichange na wife akawa mke bora kabisa
Wivu ukaisha na maisha yakasonga
Try it utakuwa unambania uchi so anahisi unapeleka kwingine pia mpe zawad za mara kwa mara hawa watu wanahitaj kuoneshwa wanapendwa
 
Wadau ngoja nije moja kwa moja kwenye mada
Huyu mama watoto nimeanza nae mahusiano mwaka 2019 akiwa diploma mimi niikiwa mfanyakazi. Mwishoni mwa 2019 nikaamua kumweka ndani ili tusomane vizuri tabia kwa sababu nilikuwa nina shauku sana ya kuishi na mwanamke mmoja ninaye mpenda. Nikaenda kutoa mahari

Kipindi chote cha mahusiano yake alikiwa insecure sana na haya mahuano kwa sababu namzidi miaka kama mitano pia na kipato. So ugomvi wetu mkubwa ulikuwa ni simu yangu. Kila mara alikiwa ananivizia kujua password za simu yangu ili kujua kinachoendelea kwenye simu yangu. Japo nilikuwa najitahidi sanaa kubadili nywira.
Kila.alipokua akikuta kitu chochote alikiwa anaondoka kwangu na kudai kaniacha.

Pia ni mwanamke ambae nisipomtimizia mahitaji yake alikuwa anakuwa na hasira sanaa akihisi ninahonga na yeya namuacha kando.

Nikafanya maamuzi ya kumpa ujauzito nikihisi ataamini kama ni wangu na atapunguza wenge. Na ataaacha utoto wa kuwa na gubu.

Ila kiukweli ilikua ni kama nimechochea moto wa gas yaaani imekua ni mara dufu. Yaaani ilifika pahala hataki niende polote kila ninapotoka kazini hata marafiki akataka kunichagulia. Wivu uliopitiliza na unaokera. Mara zote alikua anachotaka nisipomtimizia anatishia kuondoka hata kama ni kidogo.

Ilifika pahala nikachoka so last weekend alikuaa chuo anajiandaa na mitihani kama ilivyokuwa ada nilikuwa namfata chuoni usiku. So that moment nilichelewa kwa sababu nilikua nakula bia na rafiki zangu.

Huwezi amini mama watoto alimind balaaa then akachukua boda akarudi home. Mie nilifika home kama dakika 20 nyuma yake nikapiga honi hakufungua, kwa kuwa geti lilikuwa halijafungwa. Nikazima gari nimaenda kufungua nikapak gari kipembe kikaja kuingia ndani. Akakataa kabisaa kufungua. So ikabidi nizuge naenda kulala gest ndo ikabidi anipigie simu. Nilivyorudi akanirushia funguo kupiti dirishani.
Nilivyofika chumbani akawa kafunga mlango so ikabidi nilale chumba cha wageni
Next day ilikuaa j'mos aliamka kanuna,mie kama kawaida nikamuuliza kama anaenda chuo then nimamleka

Jumapili akanandikia sms ndefu kama kachoka na maudhi yangu so alikuwa anahitaji break. Mie nilipuzia kwa vile nilikuaa kazini. Huwezi amini allipiga simu nyingi sanaa akiwa anaomba nimjibu japo sikupokea.

Nilivyorudi home usiku akaniuliza nimefanya maamuzi gani then nikamwambia nimeridhia aondoke akasema jumatatu anaondoka, so jumatatu akawapeleka mtoto na dada wa kazi kwa bibi yake kwa maana ni distance fupi then jioni akaniaga kwa sms

Haikupita hata masaa matatu akaniandikia sms ndefu kama anataka kurudi home sikumjibu akapiga simu nikamwambia no.

Baada ya hapo alikuwa anapiga simu mara kwa mara ikabidi nimblock ili kuondoa usumbufu. Jumatano mida ya saa tano asubuhi nkapigiwa na namba ngeni anajitambulisha then akasema anataka kuchukua barua ya field then ikabidi niende home kumfungulia.
Nafika home namkuta yeye binti wa kazi na mtoto.

Akasema mama yake kamfukuza mie sikujali nikamwambia akimaliza aweke funguo sehem tunayoijua baada kama ya saa mbili mama yake akanisms kwamba anahitaji tuonane. Nikamjibu nimebanwa sanaa kazini kwa sananj sikuona kama ni sawa kuongea nae kuhusu sisi
Jioni nimawakuta home. Nilikuwa tayari
Nikaenda chumba cha wageni kulala. Akaja kunuomba msamaha sanaaaaa ila sikutaka kuongea lolote nikalala.

Leo nimeamka nimaenda job hadi saiz sijaenda home kwa sababu kawa msumfu nishaurini niconclude vipi hili.......

Upande wa pili ni kwamba mwanamke inawezekana anatafuta njia ya kukutawala. Akiplay victim vizuri utajiona kama unamuonea hivyo kumuachia akupande kichwani. Hapo vitasa utakavyochezea siyo vya nchi hii.
 
Huyo wako hana tatizo bana, sasa mkeo kukuonea wifu ni kosa kweli?! We unataka amuonee wivu nani
 
Back
Top Bottom