Mke wangu kaninyima unyumba, kaniambia nisimsumbue

Kupunguza hasira zako ktk kipindi hiki cha mpito jaribu kuwa karibu sn na house girl usije ukakosa hata wa kukufulia nguo.
 
Ukitoka safari jambo la kwanza ni kuingia bed room na kumwita mkeo then umkiss kiss
ufanye kimoja ndo uendelee na majukumu mengine, vinginevyo tunajuwa kuwa umelala
kwa mwanamke mwingine;
Mamdenyi.... hata nikirudi safari saa nane za usiku lazi a nikupekimoja kwanza kabla ya mengine yote?
 
MKEO AKUNYIME NA TENA ANAKUWAMBIA USINISUMBUWE HIVI KWELI YAPO AU STORY KWANZA ANAANZAJE YAAN KAMA MIE UJINGA HUO ANILETEE KESHO ASUBUHI KWAO WALLAHI ASISUBUTU NA SIJARIBIWI .
 
Huyo mwongezee mchepuko, akili itamsogelea,akimwaga mboga wee mwaga ugali.
 
Ni kweli wanawake tunachangia sana wanaume kuchepuka. Mama simama kwa ajili ya familia yako dharau,majivuzo, kebehi na jeuri ziache mlangoni.
Ukiingia ndani kuwa mpole

Yaani i wish niwe natoa semina ingawa bado sijaingia kwny iyo taasisi..
Ni rahisi sana kuhubiri hayo unapokuwa nje ya taasisi husika.
 
Haya mambo hutokeaga,MTU mzima dawa,hizo ni changamoto we Fanya kazi na mazoezi ili upate pumzika baada ya kazi,ni mambo ya kupita na uelewe wanawake wengi hupenda mambo ya kuambiwa,pengine kuna umbea kaambiwa unampa kiburi,au labda mgonjwa we subiria.
Ukitaka kujua mengi yatakupa stress
 
Hii ni moja ya Advantage ya kuoa mwanamke mmoja

Zipo advantage nyingine nyingi za kuoa mke mmoja utaziona endelea kuwa naye tu

Mfano iko siku atamsikia akisema ili dume si life tu au unaomba papuchi atakwambia uende kwa vimada wako

Tuangalie na advantage za kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja
1.Utachagua ule papuchi ipi
2.Itakupa mzuka wa kupiga gemu kwa ufanisi
3.Inadhihirisha urijali
4.Inaondoa kero kama hii uliyoleta huku we kunyimwa papuchi unalia lia huku utazani papuchi zimeisha
 
Tafuta kitu kingine mzee upige life is too short usijipe stress
 
Kaka nina imani huyo mkeo atakua ni mchaga maana nazijua tabia za wanawake wa kichaga dharau na visa na mikasa hua haviishi kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…