Mke wangu kaninyima unyumba, kaniambia nisimsumbue

Mke wangu kaninyima unyumba, kaniambia nisimsumbue

Wakati mwingine wanawake tuliowaoa mnaboa saaana, kabla ya Ndoa mnatoa penzi motomoto haswaa!!! Mpaka kidume unajiona ni mfalme wa Dunia kuliko hata the Notorious Trump, sasa kasheshe baada ya Ndoa!!! Penzi lote linakwisha!!! Tena ndo kama ameshapata mtoto mmoja au zaidi ndo basi kabisa!!![emoji16][emoji16], kukwambia amechoka au hajisikii ni jambo la kawaida tu. Wanaboa sana
 
Uliporudi kwanini hukuomba ulichoomba baadae kabisa kama ulim miss kweli?

Jifikirie, kama kuna mengine basi muulize tena.
 
Wakati mwingine wanawake tuliowaoa mnaboa saaana, kabla ya Ndoa mnatoa penzi motomoto haswaa!!! Mpaka kidume unajiona ni mfalme wa Dunia kuliko hata the Notorious Trump, sasa kasheshe baada ya Ndoa!!! Penzi lote linakwisha!!! Tena ndo kama ameshapata mtoto mmoja au zaidi ndo basi kabisa!!![emoji16][emoji16], kukwambia amechoka au hajisikii ni jambo la kawaida tu. Wanaboa sana

Exactly mkuu hadi unajiuliza hivi nilikuwa na nini na sasa sina nini hata nilipwe yote haya?? I nashindwa jibu niko kwenye wakati huo mkuu
 
Uliporudi kwanini hukuomba ulichoomba baadae kabisa kama ulim miss kweli?

Jifikirie, kama kuna mengine basi muulize tena.
Nakusihi tafadhali Pitia post zote katika uzi huu nimejaribukueleza utaelewa vizuri
 
Pole Sana mwanamke kiumbe msiri ...jitahid kumfanyia Yale ya furaha u know her mtoe out...mletee vizawad..ukiwa job mtumie sms za kichokozi za sex......haya yote fanya bila kutegemea love in return.

Kaa nae kwa upendo atakueleza shida Ni nini
 
Asante mkuu labda kujibu maswali yako ni kuwa nilipofika home yeye alikuwa anachek TV nikapitiliza ndani hata mtoto hakuja kunipokea akaja chumbani tukasalimiana kisha nikaenda kuoga na as I know her hakukuwa na tatizo hadi naenda Church
hapo ndiyo umeshathibitisha tayari kuna gap
Jaribu kumpa Muda wa kutosha atakwambia shida iko wapi
Hata usiku muweke kifuani alale halafu muulize why did she act like that?
..People don't care how much you know until they know how much you care......
Mwanamke anataka Care sana.
she don't need money, car or house!
Just respect, love and care.
try to listen her, trust her and understand her,
Then thank me later.
 
Wana MMU,

Hasa mlio katika ndoa nishaurini jinsi ya kukabili jambo hili liishe.

Iko hivi, mke wangu na mimi tumekuwa tukiishi vizuri tu sasa yapata week moja nzima iliyopita nilikuwa kwenye mihangaiko nje ya Dar. Nilirudi siku ya Jumapili asubuhi nikajiandaa haraka na kwenda Church.

Niliporudi home nikala chakula na ndugu zangu tukawa tunaongea hadi jioni sana wakaondoka. Basi baadaye nikamfuata wife chumbani nikamueleza jinsi nilivyomu miss n.k cha ajabu nakuta kanuna tu from no where basi nikakaa naye nikawa naongea naye politely juu ya safari yangu na nikamuonesha returns zote nilizopata etc.

Baada ya chakula cha usiku tumekwenda kulala mwenzangu akaninyima unyumba tena kwa maneno ya kejeli na dharau fulani hivi na majibu ya mkato juu. Nilijaribu kuwa humble na kumuuliza wapi nimekosea lakini jibu lilikuwa hakuna tatizo lolote. Mwishowe alinijubu kuwa nisimsumbue nimuache alale. Ikabidi niwe mpole nilale yaishe.

Asubuhi ilinibidi niondoke tu kurudi kwenye mihangaiko yangu. Tangu siku hiyo hata leo hanitafuti wala chochote kile yupo kimya tu. Katika kuwaza waza nimeona kuwa pamoja na kuomba juu ya hali hii let me do my job and fulfill my part kama baba mwenye nyumba mengine niache kwa muda nione kama atajifunza au la. Sitachepuka kwani am done with michepuko pia sitamuomba unyumba for sometime. Asipojirudi kwa muda fulani nitapanga kuwaelezea baadhi ya ndugu zake kuhusu yeye ili wamwelekeze.

Swali langu ni Je, will that cure the problem? Wewe mwanaume/mwanamke ulishakumbwa na hali kama hii na je ulisolve vipi?

(Wanawake muwe makini sana na jinsi mnavyobehave kwenye ndoa zenu mnachangia sana wanaume kuchepuka bila kudhamiria na mnaharibu nyumba zenu kwa tabia kama hizi)

NB: Jisikie huru kuchangia chochote.
Mtafutie kabinti kamoja kazuri kenye kujua majamboz, na fanya ili ajue unakagegeda na siku nyingine lala uko akikuuliza asubuhi mwonye picha za kabinti hako mkiwa kwenye romance. utasikia kilio atakachotoa
 
Mtafutie kabinti kamoja kazuri kenye kujua majamboz, na fanya ili ajue unakagegeda na siku nyingine lala uko akikuuliza asubuhi mwonye picha za kabinti hako mkiwa kwenye romance. utasikia kilio atakachotoa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli we mwananchi
 
mgesa said:
Ukute umemuudhi. Usikurupuke mkuu, kaa nae umsikilize

Huenda nimemuudhi sawa lakini kwanini asiseme hata baada ya kumbembeleza kote kule? Hivi huwa mnataka nini hasa mkinuna?
 
Muda tuu lakini niliacha Kabisa na kujicomit kwenye Familia sasa naona mambo yanavurugika
shetani akikuvaa vzr ukaamua ni pm ni wa kwanza[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Tulia hivyohivyo hata mwezi na zaidi usiombe game.

Dawa yao tunayo sisi malofa wa mapenzi.
 
Back
Top Bottom