Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenye hayo mambo mi ni mtupu kabisa, lakini nahisi communication ni kitu cha muhimu sana kwenye mahusiano, na hakutakiwa kukujibu hivyo au kukaa kimya coz hakutatui tatizo, bali kwa kuongea ndipo mnaweza kusuluhisha tatizoMaoni yako ni muhimu kwangu tafadhali
Wana MMU,
Hasa mlio katika ndoa nishaurini jinsi ya kukabili jambo hili liishe.
Iko hivi, mke wangu na mimi tumekuwa tukiishi vizuri tu sasa yapata week moja nzima iliyopita nilikuwa kwenye mihangaiko nje ya Dar. Nilirudi siku ya Jumapili asubuhi nikajiandaa haraka na kwenda Church.
Niliporudi home nikala chakula na ndugu zangu tukawa tunaongea hadi jioni sana wakaondoka. Basi baadaye nikamfuata wife chumbani nikamueleza jinsi nilivyomu miss n.k cha ajabu nakuta kanuna tu from no where basi nikakaa naye nikawa naongea naye politely juu ya safari yangu na nikamuonesha returns zote nilizopata etc.
Baada ya chakula cha usiku tumekwenda kulala mwenzangu akaninyima unyumba tena kwa maneno ya kejeli na dharau fulani hivi na majibu ya mkato juu. Nilijaribu kuwa humble na kumuuliza wapi nimekosea lakini jibu lilikuwa hakuna tatizo lolote. Mwishowe alinijubu kuwa nisimsumbue nimuache alale. Ikabidi niwe mpole nilale yaishe.
Asubuhi ilinibidi niondoke tu kurudi kwenye mihangaiko yangu. Tangu siku hiyo hata leo hanitafuti wala chochote kile yupo kimya tu. Katika kuwaza waza nimeona kuwa pamoja na kuomba juu ya hali hii let me do my job and fulfill my part kama baba mwenye nyumba mengine niache kwa muda nione kama atajifunza au la. Sitachepuka kwani am done with michepuko pia sitamuomba unyumba for sometime. Asipojirudi kwa muda fulani nitapanga kuwaelezea baadhi ya ndugu zake kuhusu yeye ili wamwelekeze.
Swali langu ni Je, will that cure the problem? Wewe mwanaume/mwanamke ulishakumbwa na hali kama hii na je ulisolve vipi?
(Wanawake muwe makini sana na jinsi mnavyobehave kwenye ndoa zenu mnachangia sana wanaume kuchepuka bila kudhamiria na mnaharibu nyumba zenu kwa tabia kama hizi)
NB: Jisikie huru kuchangia chochote.
Basi ana stress zake tu
Au anakaribia mp
Msamehe bure wanawake wana mood swing za ajabu
Huenda mwenzangu yeye ni tofauti kwake yani hata kupokelewa mizigo sikupokelewa but nilikuwa positive tu nilienda hadi ndani na baadae jioni nikaona hadi mahesabu ya Biashara niliyoifanya plus romantic words how I missed her but niliambulia dharau na negative response. Wewe ni mzoefu wa ndoa what do you suggest?
Msipokuwa karibu hamjengiAsante vipi mawazo ya kumpa time ya kutokumgusa wala kuwa na ukaribu naye ili ajitafakari upya will it bring positive results as per your concerns?
mwanamke ana moyo Mno m nalala pmj anakuacha tu mmh Mpe heko
Asije kua mjamzito??yashantokea hayo nna uzoefu wa kuotosh na njia niliyotumia ni kumtafutia zawad tofauttofaut mara kwa mara bas mwenyewe akifurahi utajikuta unachojoa kyupi taratiiibu mtoto katulia,ni mtihan sana hawa viumbe.
Kama unadhani mimi nakupoteza tafuta mwanamke unayemuamini muulize dawa ya mwanamke jeuri ni nini? Kama anakupenda atakwambia ukweli.Mkuu Matola nakuelewa lakini natafuta Positive solution as I know mchepuko won't be positive and I am done with that
kwenye hayo mambo mi ni mtupu kabisa, lakini nahisi communication ni kitu cha muhimu sana kwenye mahusiano, na hakutakiwa kukujibu hivyo au kukaa kimya coz hakutatui tatizo, bali kwa kuongea ndipo mnaweza kusuluhisha tatizo
Cjazungumzia usawa nmezungumzaa we ukishindwa shinduaaa usaidiwee jibu hapoo kwanza mambo ya usawa yataftaaKwani wewe tangu enzi za manabii au katika vitabu vyote ulivyosoma ni waoi ulikuta mwanamke ana mume zaidi ya mmoja?
Huu upuuzi ulioandika hapa ni madhala ya ule mkutano wa Beijing, bado mpo watu msiojielewa mnadhani kuna usawa kati ya mwanamke na mwanaume. Hakunaga.
Nyoosha maelezo ueleweke unauliza nini?Cjazungumzia usawa nmezungumzaa we ukishindwa shinduaaa usaidiwee jibu hapoo kwanza mambo ya usawa yataftaa
Kama unadhani mimi nakupoteza tafuta mwanamke unayemuamini muulize dawa ya mwanamke jeuri ni nini? Kama anakupenda atakuoa ukweli.
Kama ulikuwa na majibu yako unhebaki nayo hukohuko kwa mkeo, umekuja haoa kuomba ushauri sasa pata ushauri ili umalize hilo tatizo nyumbani. Hii ndio kiboko kuliko zote kama unasumbuliwa na mwanamke, dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzake tu.
We umemshaur kwamba atafute mchepuko ndo itakuwa suluhisho la matatizo yake. Hujui mkewe yuko na shida Gan hadi akashindwa mtimizia hitaji lakeNyoosha maelezo ueleweke unauliza nini?
This is what I wanted to say as well baby; umemaliza and sina haja ya kuendelea zaidi. KWa ufupi ndicho ambacho nyie wanawake mnataka, recoordination, that is what u need/she neededUkitoka safari jambo la kwanza ni kuingia bed room na kumwita mkeo then umkiss kiss
ufanye kimoja ndo uendelee na majukumu mengine, vinginevyo tunajuwa kuwa umelala
kwa mwanamke mwingine;