Mke wangu kaninyima unyumba, kaniambia nisimsumbue

Mke wangu kaninyima unyumba, kaniambia nisimsumbue

Leo bibi umeachangia pumba kabisa, Kijana anaomba ushauri wa jinsi ya kuirudisha ndoa yake iwe na amani wewe unasema hayo ulioyaandika.

Kwa kipindi chote hiko walichokuwa wakiishi pamoja mbona hakumnyima huo mpododo ila imetokea baada ya mheshimiwa kusafiri.

Toa ushuri mzuri kama vile unamshauri mjukuu wako bibi. Nyinyi ndio vibibi vya mwendo kasi mnatoa ushauri kama watoa ramli chonganishi.

Barikiwa sana mkuu kwa point nzuri. Yani watu wengine sijui wanawashauri nini wajukuu zao kwa ushauri huo. Asante sana.
Na by the way nilitaka kujua experience ya watu walioko married je solution ninayoiwazia hapo juu is it positive?
 
Ongeza mke wa pili joh

Kiburi kitamtoka tu huyo
.
Tafuta binti mmoja matata mweke ndani,
ndugu nenda nae taratibu labda anajambo flani lakuhisi vibaya juu yako...anaogopa kukuuliza ..nahasa kama si..kawaida yake kukufanyia hivo.
 
Kingine labda usimamii shoo vere unajua tena ma wife ka kasimamiwa nje ipasavyo dharau huwa zinaanza ivyo
 
Ukitoka safari jambo la kwanza ni kuingia bed room na kumwita mkeo then umkiss kiss
ufanye kimoja ndo uendelee na majukumu mengine, vinginevyo tunajuwa kuwa umelala
kwa mwanamke mwingine;

Huenda mwenzangu yeye ni tofauti kwake yani hata kupokelewa mizigo sikupokelewa but nilikuwa positive tu nilienda hadi ndani na baadae jioni nikaona hadi mahesabu ya Biashara niliyoifanya plus romantic words how I missed her but niliambulia dharau na negative response. Wewe ni mzoefu wa ndoa what do you suggest?
 
Umefika nyumbani mume kutoka safari usiwe kama mgeni mwingine fika ukiwa na hamu na mkeo kwanza kabla ya kufika unaanza kumuandaa kabisa kwa show wewe ukiingia maji ya kuoga piga mswaki kinachofuata show ya hatari, baada ya hapo ndo maongezi ya safari ndo utoke nje sasa uongee na wageni
wewe kufika tu sijui wageni sijui umeenda kanisani wewe hujui hilo tendo ni ibada? Ungeenda hata misa ya jioni
 
Ukitoka safari jambo la kwanza ni kuingia bed room na kumwita mkeo then umkiss kiss
ufanye kimoja ndo uendelee na majukumu mengine, vinginevyo tunajuwa kuwa umelala
kwa mwanamke mwingine;
Ni kweli ndo maana huwa nakulavu. Mko attention seekers na akizidisha kutojali anaitoa nje
 
Nenda nye kwa wataalamu wa dini yako mkasoviwe.
 
Umefika nyumbani mume kutoka safari usiwe kama mgeni mwingine fika ukiwa na hamu na mkeo kwanza kabla ya kufika unaanza kumuandaa kabisa kwa show wewe ukiingia maji ya kuoga piga mswaki kinachofuata show ya hatari, baada ya hapo ndo maongezi ya safari ndo utoke nje sasa uongee na wageni
wewe kufika tu sijui wageni sijui umeenda kanisani wewe hujui hilo tendo ni ibada? Ungeenda hata misa ya jioni

How possible niache wageni au niwafukuze home? Pia God is priority kwangu na kwa family kabla ya chochote. Sasa embu vaa viatu vyangu wageni ningewafukuza au? Tena wageni wa kiume
 
Ukitoka safari jambo la kwanza ni kuingia bed room na kumwita mkeo then umkiss kiss
ufanye kimoja ndo uendelee na majukumu mengine, vinginevyo tunajuwa kuwa umelala
kwa mwanamke mwingine;
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] alaaa kumbee asanteee namm nko safarin sasa nkirud tu cha kwanza namchoresha saba kama salome
 
Ndugu zangu wana MMU ninaomba msome mada yote niliyoiandika je hayo niliyoyaandika kuwa nayafikiria as a solutionis it positive solution kwa maoni yenu?
 
wew unachekesha kweli unafika asb badala kumsugua unawahi ibadani siungekua padre sasa hata mie ningenuna
 
Ukitoka safari jambo la kwanza ni kuingia bed room na kumwita mkeo then umkiss kiss
ufanye kimoja ndo uendelee na majukumu mengine, vinginevyo tunajuwa kuwa umelala
kwa mwanamke mwingine;
y aaan uko sawa kbs eti kaoga nawahi kanisani wanaume wa Dar tatizo
 
Leo bibi umeachangia pumba kabisa, Kijana anaomba ushauri wa jinsi ya kuirudisha ndoa yake iwe na amani wewe unasema hayo ulioyaandika.

Kwa kipindi chote hiko walichokuwa wakiishi pamoja mbona hakumnyima huo mpododo ila imetokea baada ya mheshimiwa kusafiri.

Toa ushuri mzuri kama vile unamshauri mjukuu wako bibi. Nyinyi ndio vibibi vya mwendo kasi mnatoa ushauri kama watoa ramli chonganishi.
Vibibi vya mwendokasi [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mwanaume bila mchepuko ni sawa na saloon ya kiume bila generator umeme ukikatika inabidi usubiri hadi uletwe, jiongoze ww kuchepuka kwa hali yako hata Mungu anaweza kukusamehe.
 
Nenda nae taratibu, wanawake tuna mambo mengi kaka usikute hapo anadaiwa ela ya upatu au vikoba anashindwa alimalize vipi (its just a jock)
Tafuta siku kaa nae falagha mbane akwambie tatizo linalomsumbua akiendeleza jeuri/kiburi mtafute mtu anayemuheshimu& anaweza akaongea nae na akawatunzia siri yenu ya ndani, maana kuna watu wengine ukuwashirikisha matatizo ya ndani ni sawa na kujipigia king'ora cha aibu
 
Back
Top Bottom