Mke wangu kaninyima unyumba, kaniambia nisimsumbue

Mke wangu kaninyima unyumba, kaniambia nisimsumbue

Wana MMU,

Hasa mlio katika ndoa nishaurini jinsi ya kukabili jambo hili liishe.

Iko hivi, mke wangu na mimi tumekuwa tukiishi vizuri tu sasa yapata week moja nzima iliyopita nilikuwa kwenye mihangaiko nje ya Dar. Nilirudi siku ya Jumapili asubuhi nikajiandaa haraka na kwenda Church.

Niliporudi home nikala chakula na ndugu zangu tukawa tunaongea hadi jioni sana wakaondoka. Basi baadaye nikamfuata wife chumbani nikamueleza jinsi nilivyomu miss n.k cha ajabu nakuta kanuna tu from no where basi nikakaa naye nikawa naongea naye politely juu ya safari yangu na nikamuonesha returns zote nilizopata etc.

Baada ya chakula cha usiku tumekwenda kulala mwenzangu akaninyima unyumba tena kwa maneno ya kejeli na dharau fulani hivi na majibu ya mkato juu. Nilijaribu kuwa humble na kumuuliza wapi nimekosea lakini jibu lilikuwa hakuna tatizo lolote. Mwishowe alinijubu kuwa nisimsumbue nimuache alale. Ikabidi niwe mpole nilale yaishe.

Asubuhi ilinibidi niondoke tu kurudi kwenye mihangaiko yangu. Tangu siku hiyo hata leo hanitafuti wala chochote kile yupo kimya tu. Katika kuwaza waza nimeona kuwa pamoja na kuomba juu ya hali hii let me do my job and fulfill my part kama baba mwenye nyumba mengine niache kwa muda nione kama atajifunza au la. Sitachepuka kwani am done with michepuko pia sitamuomba unyumba for sometime. Asipojirudi kwa muda fulani nitapanga kuwaelezea baadhi ya ndugu zake kuhusu yeye ili wamwelekeze.

Swali langu ni Je, will that cure the problem? Wewe mwanaume/mwanamke ulishakumbwa na hali kama hii na je ulisolve vipi?

(Wanawake muwe makini sana na jinsi mnavyobehave kwenye ndoa zenu mnachangia sana wanaume kuchepuka bila kudhamiria na mnaharibu nyumba zenu kwa tabia kama hizi)

NB: Jisikie huru kuchangia chochote.
Possibly your wife ana tatizo ambalo ameshindwa kukuambia, wanawake sisi ni wasiri sana maana kuna ambao tumeumbwa kuweka mambo moyoni yaani kutoyasema na kuna wengine wakiwa na kitu they dont keep it,they will say once for all. Cha kufanya mtoe mkeo like for dinner, wewe na yeye tu, sehemu tulivu umuulize kwa upole, am sure atakuambia kama kuna jambo linamsumbua. All the best mkuu
 
Nimesoma! Inaonesha tayari kuna gap kati yako na mkeo Mkuu!
Swali la kwanza: Wakati unarudi home uliongea naye? (kutoka huko kwenye utafutaji)
Swali la pili: Ulivyorudi kuna Jambo lolote ulimfanyia kuonesha ulimmisi? Maana inaonesha kama vile ulivyorudi yeye hakuwa priority,
Ushauri kwa wenye Ndoa wote, Usikubali kabisa kulala na Mkeo bila kupatana! Haipendezi, Jitahidi yani ikiwezekana Jifanye Boya ili mradi yaishe na Mlale wote kwa Amani
Mwisho: Mwanamke ni Mwepesi sana kusikiliza habari za watu nje na kuzifanyia kazi, Lakini wangelikuwa wanajua kwamba hao hao wanaowashauri ndiyo hufurahia wakiharibikiwa wasingewasikiliza.
Dondoo: Utafiti unaonesha upendo wa kweli upo na huwa hauishi, isipokuwa watu wanapotengana wanakuwa wamepeana likizo ya kuumizana, wanawake ndiyo watu ambao wana uwezo wa kumsoma mwanaume kwa haraka zaidi kuliko kawaida, kama kuna Jambo mwanaume analifanya akizania mkewe hawezi kujua anajidanganya, ukweli ni kwamba mwanamke anamjua mwanaume hadi harufu yake aliyoondoka nayo na kurudi nayo, isipokuwa wanawake huwavumilia wanaume kwa sababu tu bado wanawapenda lakini siyo kwamba hawajui.

So kama vipi Jicheki upya.,.....
 
Kumbe nawewe una majibu ya hovyo hivi? Umejipunguzia heshima niliyokuwa nakupa


Huo ni ukweli na reference nimekupa, au lugha imekupiga chenga? kumbuka:

CHAPTER 3
About Men Who Are To Be Held in Contempt
Know, O My Brother (to whom God be merciful), that a man who is misshapen, of coarse appearance, and whose member is short, thin and flabby, is contemptible in the eyes of women.

When such a man has a bout with a woman, he does not do his business with vigour and in a manner to give her enjoyment. He lays himself down upon her without previous toying, he does not kiss her, nor twine himself round her; he does not bite her, nor suck her lips, nor tickle her.

He gets upon her before she has begun to long for pleasure, and then he introduces with infinite trouble a member soft and nerveless. Scarcely has he commenced when he is already done for; he makes one or two movements, and then sinks upon the woman's breast to spend his sperm; and that is the most he can do. This done he withdraws his affair, and makes all haste to get down again from her.

Such a man--as was said by a writer--is quick in ejaculation and slow as to erection; after the trembling, which follows the ejaculation of the seed, his chest is heavy and his sides ache.

Qualities like these are no recommendation with women. Despicable also is the man who is false in his words; who does not fulfil the promise he has made; who never speaks without telling lies, and who conceals from his wife all his doings, except the adulterous exploits which he commits.

Women cannot esteem such men, as they cannot procure them any enjoyment.


It is said that a man of the name of Abbes, whose member was extremely small and slight, had a very corpulent wife, whom he could not contrive to satisfy in coition, so that she soon began to complain to her female friends about it.

This woman possessed a considerable fortune, whilst Abbes was very poor and when he wanted anything, she was sure not to let him have what he wanted.

One day he went to see a wise man, and submitted his case to him.

The sage told him: 'If you had a fine member you might dispose of her fortune. Do you not know that women's religion is in their vulvas? But I will prescribe you a remedy which will do away with your troubles.'

Abbes lost no time in making up the remedy according to the recipe of the wise man, and after he had used it his member grew to be long and thick. When his wife saw it in that state she was surprised; but it was still better when he made her feel in the matter of enjoyment quite another thing than she had been accustomed to experience; he began in fact to work her with his tool in quite a remarkable manner, to such a point that she trembled and sighed and sobbed and cried out during the operation.

As soon as the wife found in her husband such eminently good qualities she gave him her fortune, and placed her person and all she had at his disposal.

Source: The Perfumed Garden: Chapter 3: About Men Who Are To Be Held in Contempt
 
Kabla ya kumfikiria vibayaa angaliaa kama kuna ulipokosea pasipo we kujua ongea nae mdomdoo tuu utajuaa. Hana ujauzito? Maanaa mimba zingne huwa visiran kweli zinaua sensor za utamu kwa mwanamke kabisaa hataki hata kuguswaa
 
Leo bibi umeachangia pumba kabisa, Kijana anaomba ushauri wa jinsi ya kuirudisha ndoa yake iwe na amani wewe unasema hayo ulioyaandika.

Kwa kipindi chote hiko walichokuwa wakiishi pamoja mbona hakumnyima huo mpododo ila imetokea baada ya mheshimiwa kusafiri.

Toa ushuri mzuri kama vile unamshauri mjukuu wako bibi. Nyinyi ndio vibibi vya mwendo kasi mnatoa ushauri kama watoa ramli chonganishi.


Naam, kwa muono wako ni pumba na nnauhakika kuwa hata link niliyoiweka hujaisoma amma kwa kuwa lugha inakupiga chenga au u finyu tu wa muono.

Ushauri nilioutoa ndiyo wa wazi na ukweli na wa haki kabisa .

" Do you not know that women's religion is in their vulvas?"

Soma: The Perfumed Garden: Chapter 3: About Men Who Are To Be Held in Contempt
 
Ndugu zangu wana MMU ninaomba msome mada yote niliyoiandika je hayo niliyoyaandika kuwa nayafikiria as a solutionis it positive solution kwa maoni yenu?
Mkuu inatokea ila mpe muda tu .. ukizidiwa mbake
 
wew unachekesha kweli unafika asb badala kumsugua unawahi ibadani siungekua padre sasa hata mie ningenuna
Mimi kwangu Mungu ana nafasi kwanza kabla ya kingine na mke anafahamu hilo sidhani kama ni tatizo lolote kwake
 
Kabla ya kumfikiria vibayaa angaliaa kama kuna ulipokosea pasipo we kujua ongea nae mdomdoo tuu utajuaa. Hana ujauzito? Maanaa mimba zingne huwa visiran kweli zinaua sensor za utamu kwa mwanamke kabisaa hataki hata kuguswaa
Hana ujauzito nimejaribu kumuuliza tangu usiku ule anasema Hana tatizo lolote huwa nahuzunika kwa jibu hili kwa sababu linaashiria mtu hataki suluhu yoyote
 
loading error.................................
 
najua sana kwani ungempa mara moja ukaenda ingekuwaje?ona madhara yake sasa

Mkuu nilikuwa nimeshachelewa na hakuwa na tatizo juu ya hilo kwa wakati huo alinelewa isipokuwa usiku akaleta utata
 
Hana ujauzito nimejaribu kumuuliza tangu usiku ule anasema Hana tatizo lolote huwa nahuzunika kwa jibu hili kwa sababu linaashiria mtu hataki suluhu yoyote
Atakuwa Ana lake we simamia mambo yako kama baba afu mchunguze taratibu tuu utagundua tatizo liko wap hataa ckua akiamua kukupa zigo we gongaa lakn ile cku iweke akilin na umuulize ilikuwajee mkiwa mnapiga story za kawaida tuu atakwambiaa lakn ukisema utumie nguvu au kususa au kutafuta ka power bank utakoroga mambo
 
Mkuu nilikuwa nimeshachelewa na hakuwa na tatizo juu ya hilo kwa wakati huo alinelewa isipokuwa usiku akaleta utata
tatizo ni Hilo tu unategemea angekujibuje wanawke wengi tu napenda kununa hata ukikosa hayo mambo kisawasawa endelea kumbembeleza atakupa tu
 
Nimesoma! Inaonesha tayari kuna gap kati yako na mkeo Mkuu!
Swali la kwanza: Wakati unarudi home uliongea naye? (kutoka huko kwenye utafutaji)
Swali la pili: Ulivyorudi kuna Jambo lolote ulimfanyia kuonesha ulimmisi? Maana inaonesha kama vile ulivyorudi yeye hakuwa priority,
Ushauri kwa wenye Ndoa wote, Usikubali kabisa kulala na Mkeo bila kupatana! Haipendezi, Jitahidi yani ikiwezekana Jifanye Boya ili mradi yaishe na Mlale wote kwa Amani
Mwisho: Mwanamke ni Mwepesi sana kusikiliza habari za watu nje na kuzifanyia kazi, Lakini wangelikuwa wanajua kwamba hao hao wanaowashauri ndiyo hufurahia wakiharibikiwa wasingewasikiliza.
Dondoo: Utafiti unaonesha upendo wa kweli upo na huwa hauishi, isipokuwa watu wanapotengana wanakuwa wamepeana likizo ya kuumizana, wanawake ndiyo watu ambao wana uwezo wa kumsoma mwanaume kwa haraka zaidi kuliko kawaida, kama kuna Jambo mwanaume analifanya akizania mkewe hawezi kujua anajidanganya, ukweli ni kwamba mwanamke anamjua mwanaume hadi harufu yake aliyoondoka nayo na kurudi nayo, isipokuwa wanawake huwavumilia wanaume kwa sababu tu bado wanawapenda lakini siyo kwamba hawajui.

So kama vipi Jicheki upya.,.....


Asante mkuu labda kujibu maswali yako ni kuwa nilipofika home yeye alikuwa anachek TV nikapitiliza ndani hata mtoto hakuja kunipokea akaja chumbani tukasalimiana kisha nikaenda kuoga na as I know her hakukuwa na tatizo hadi naenda Church
 
Back
Top Bottom