Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Si mchaga kweli huyo maana hawa ndugu zangu wana roho za kikatili sana.
 
Halafu mkikaa eti baadhi ya Me huwa mnahamasishana eti msigusiane simu na wake zenu. Lol 🤣
 
Hapo inabidi umuoneshe kweli we ni mbwa
 

Mimi nimeseviwa “untouchable”
 
Hao viumbe ukitembeza sana rungu huku mtaani au ukala msichana wa kazi au mdogo wake lazima akuite mbwa[emoji23][emoji23] vuta kumbukumbu siku za hapa karibuni mmegombana kuhusu nini halafu unga doti.
 
Kimeumana, kimeumana, kimeumana, kimeumana.
Hao wanawake wanaoweka kucha za bandia, kope za bandia, na minywele ya bandia wanawahenyesha sana
 
Sijawahi kuona mbwa anaoa paka, kama ni hivyo basi na yeye ni mbwa, Mbwa kaolewa na mbwa mwenzake hata wewe msave MBWA.
 
Mkuu una haki ya kuitwa hivyo,mkeo kakutukanq mpaka sasa hujampa adhabu unakuja kulialia jf
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…