Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

Mkuu usitumie nguvu kumfikishia ujumbe kama unamuheshim wee fanya kitu kimoja tu , kila akikuita baba fulani wee itika "whuu! whuu! whuu! 'na akikuuliza kulikoni mwambie na wewe hujui simple tu yaani.
 
Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi nimejiongeza kwenda kwenye room ya mpenda ma Game first born a.k.a my son ndipo nilipoikuta simu inaita ila jina limedisplay “MBWA” . NILIIKUTA SIMU ILA JINA NILILOSEVIWA LILINIKATA MAINI SANA NILIANZA KU REVIEW MENGI MNO AMBAYO YANAFANANA NA MIMI KUSEVIWA MBWA ILA SIKUPATA JIBU.

Mpaka sasa nipo nae TABORA, nimekosa raha nimeshindwa hata kumuuliza kwa sababu najiuliza nianzie wapi nakosa majibu.
Wala usihangaike naye... Kwenye biblia tunaambiwa utapewa mke wa kufanana naye..
Katika hali ya kawaida, umeona wapi mbwa anaolewa au kuowa binadamu? Kuna vitu si vya kuhangaisha kichwa... Mbwa anagegeda mbwa... au mbwa anagegedwa na mbwa.. Hivyo alivyokusevu wewe MBWA maana yake na yeye ni MBWA tu
 
Mkuu usitumie nguvu kumfikishia ujumbe kama unamuheshim wee fanya kitu kimoja tu , kila akikuita baba fulani wee itika "whuu! whuu! whuu! 'na akikuuliza kulikoni mwambie na wewe hujui simple tu yaani.
Hii Mbwa kala mbwa
 
Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi nimejiongeza kwenda kwenye room ya mpenda ma Game first born a.k.a my son ndipo nilipoikuta simu inaita ila jina limedisplay “MBWA” . NILIIKUTA SIMU ILA JINA NILILOSEVIWA LILINIKATA MAINI SANA NILIANZA KU REVIEW MENGI MNO AMBAYO YANAFANANA NA MIMI KUSEVIWA MBWA ILA SIKUPATA JIBU.

Mpaka sasa nipo nae TABORA, nimekosa raha nimeshindwa hata kumuuliza kwa sababu najiuliza nianzie wapi nakosa majibu.
Muulize.. binafsi Kwa huyu mwanamke nilie nae akinisave mmbwa nitajua amemaanisha I'm loyal enough to be called a Dog..[emoji23][emoji23][emoji23]

Alafu Mimi nitamsave Penguin [emoji210]..
 
Mkuu una uhakika kua wewe sio mbwa? Hebu jiangalie vizuri.
 
Kuna trend ya wanawake kupenda kufuga mbwa sababu wanajua sana kulamba papuchi, sasa unavyobisha kua wewe sio UMBWA unanitia mashaka mkuu...
 
Ur so lucky my brother mwanamke akikusave mbwa kama jina lako sio Mbwana au Mbwambo basi tafsiri yake Ni kwamba wewe Ni mwanaume Kweli Kweli Kwa Sababu wanawake husema " wanaume wote ni mbwa" so Kwa mwanamke " mbwa" maana yake Ni mwanaume kamili.

Hongera Sana bro
 
Wala usihangaike naye... Kwenye biblia tunaambiwa utapewa mke wa kufanana naye..
Katika hali ya kawaida, umeona wapi mbwa anaolewa au kuowa binadamu? Kuna vitu si vya kuhangaisha kichwa... Mbwa anagegeda mbwa... au mbwa anagegedwa na mbwa.. Hivyo alivyokusevu wewe MBWA maana yake na yeye ni MBWA tu

Duh, kwa hiyo na watoto nao Mbwa pia ? Kweli hizi laaana ni za vizazi, siajabu nchi nzima mbwa pia, sasa wizi umehalishwa na Raisi wa nchi.
 
Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi nimejiongeza kwenda kwenye room ya mpenda ma Game first born a.k.a my son ndipo nilipoikuta simu inaita ila jina limedisplay “MBWA” . NILIIKUTA SIMU ILA JINA NILILOSEVIWA LILINIKATA MAINI SANA NILIANZA KU REVIEW MENGI MNO AMBAYO YANAFANANA NA MIMI KUSEVIWA MBWA ILA SIKUPATA JIBU.

Mpaka sasa nipo nae TABORA, nimekosa raha nimeshindwa hata kumuuliza kwa sababu najiuliza nianzie wapi nakosa majibu.
Mimi nimejiuliza tu
Hivi mtoto kuchukua simu ya mama yake na
Chumba cha mtoto kuwa na smart TV ya kuonesha Netflix, Dekstop computer nk
Vina uhusiano gani?
 
Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi nimejiongeza kwenda kwenye room ya mpenda ma Game first born a.k.a my son ndipo nilipoikuta simu inaita ila jina limedisplay “MBWA” . NILIIKUTA SIMU ILA JINA NILILOSEVIWA LILINIKATA MAINI SANA NILIANZA KU REVIEW MENGI MNO AMBAYO YANAFANANA NA MIMI KUSEVIWA MBWA ILA SIKUPATA JIBU.

Mpaka sasa nipo nae TABORA, nimekosa raha nimeshindwa hata kumuuliza kwa sababu najiuliza nianzie wapi nakosa majibu.
Yaani ingekua ni mimi ningekinukisha balaa wife wangu ananijua aisee.
 
Mimi nimejiuliza tu
Hivi mtoto kuchukua simu ya mama yake na
Chumba cha mtoto kuwa na smart TV ya kuonesha Netflix, Dekstop computer nk
Vina uhusiano gani?
Ni maisha tu mbona umasikini ni mgumu sana kuutenganisha na chuki za kike sijui kwa nini?
 
Kama unaweza kuseviwa mbwa ukashindwa kumuuliza mkeo hadi unakuja kutuambia sisi kweli wewe ni mbwa shemegi hajakosea!
 
Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi nimejiongeza kwenda kwenye room ya mpenda ma Game first born a.k.a my son ndipo nilipoikuta simu inaita ila jina limedisplay “MBWA” . NILIIKUTA SIMU ILA JINA NILILOSEVIWA LILINIKATA MAINI SANA NILIANZA KU REVIEW MENGI MNO AMBAYO YANAFANANA NA MIMI KUSEVIWA MBWA ILA SIKUPATA JIBU.

Mpaka sasa nipo nae TABORA, nimekosa raha nimeshindwa hata kumuuliza kwa sababu najiuliza nianzie wapi nakosa majibu.
Nini Mbwa, si afadhali anamaanisha ni mkali na sio wa kuchezewa, mi nimeseviwa "Babu jinga"
 
Mbwa - management by walking

Wooooh wooh woooh
[emoji240]‍🦺[emoji240]‍🦺
 
Huyu ndiye mwenye legal rights kama next of kin, ukipata ajali anaweza kuwaambia madaktari wasiendelee ná matibabu na uamuzi wake ukaheshimiwa.

Ukifa yeye ndiye mrithi wa hata ile dog kennel uliyojijengea.
Pumbavu kabisa, wanawake siku hzi hujiweka kwenye nafasi ya Mungu, wanahisi wa kuumwa kwanza ni mwanaume, wakufa kwanza ni mwanaume,

Mungu awalinde wanaume wote duniani waishi miaka mia mbili
 
Pumbavu kabisa, wanawake siku hzi hujiweka kwenye nafasi ya Mungu, wanahisi wa kuumwa kwanza ni mwanaume, wakufa kwanza ni mwanaume,

Mungu awalinde wanaume wote duniani waishi miaka mia mbili
Pole kwa kupigwa na kitu kizito kichwani
 
Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi nimejiongeza kwenda kwenye room ya mpenda ma Game first born a.k.a my son ndipo nilipoikuta simu inaita ila jina limedisplay “MBWA” . NILIIKUTA SIMU ILA JINA NILILOSEVIWA LILINIKATA MAINI SANA NILIANZA KU REVIEW MENGI MNO AMBAYO YANAFANANA NA MIMI KUSEVIWA MBWA ILA SIKUPATA JIBU.

Mpaka sasa nipo nae TABORA, nimekosa raha nimeshindwa hata kumuuliza kwa sababu najiuliza nianzie wapi nakosa majibu.
Utakuwa upo tabora chem chem wewe au unaka rufita Kama cyo rufita utakuwa unakaa ipole Kama cyo pangale kaza roho au kanyenye punguza gubu
 
Back
Top Bottom