Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi nimejiongeza kwenda kwenye room ya mpenda ma Game first born a.k.a my son ndipo nilipoikuta simu inaita ila jina limedisplay “MBWA” . NILIIKUTA SIMU ILA JINA NILILOSEVIWA LILINIKATA MAINI SANA NILIANZA KU REVIEW MENGI MNO AMBAYO YANAFANANA NA MIMI KUSEVIWA MBWA ILA SIKUPATA JIBU.

Mpaka sasa nipo nae TABORA, nimekosa raha nimeshindwa hata kumuuliza kwa sababu najiuliza nianzie wapi nakosa majibu.
Yaani kwa kutokuyaweka sawa baina yenu kabla hamjaondoka safari inadhihirisha yupo sahihi kabisa kukusave hivyo
 
[emoji23][emoji23] wanaume mnatakaga wenyewe kuitwa majina ya ajabu..

Eb jichunguze pengine unatabia za ki mbwa
Kikubwa apunguze kubweka bweka akiwa nyumbani.
Halafu na ile doggy style aachane nayo walau kwa miezi 3 aone kama kutakua na mabadiliko yoyote.
 
Ndo maana sitaki kumuuliza haraka haraka nataka ning’amue nini sababu mwenyewe anaweza niruka nikajiona mjinga
Kuna siku mkeo nilikua nae mimi, kisha wewe ulimpigia simu, kwenye simu yake jina lilisomeka HONEY,
Siku hio nilimind vibaya mno nikatia makofi mawili akawa ananilalamikia sasa akusevu vipi, suluhisho ndio likawa hilo jina.
Samahani mkuu hii ni tafsiri tu ya kiroho ya hilo jina lako jipya.
 
Soma vizuri tuliitafuta chumbani kwetu ndipo uamuzi wa kuibeep ukaja ikaita kwa dogo TATIZO LIPO WAPI HAPO

Unapopiga simu, kioo cha simu inayopigwa huonesha jina la mpigaji kwa kadiri lilivyohifadhiwa...

Sasa we huoni tatizo hapo, mkeo kakusave jina MBWA na bado yupo huru simu yake ipigwe mazingira ambayo nawe utaweza kuona jina aliloku-save...

Kama hujaona tatizo, basi hata huu uzi hauna maana tena...think!!
 
Muulize sababu za kukusave mbwa. Sijuh kwann mnawaogopa wake zenu, mnabaki kuumia
 
Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi nimejiongeza kwenda kwenye room ya mpenda ma Game first born a.k.a my son ndipo nilipoikuta simu inaita ila jina limedisplay “MBWA” . NILIIKUTA SIMU ILA JINA NILILOSEVIWA LILINIKATA MAINI SANA NILIANZA KU REVIEW MENGI MNO AMBAYO YANAFANANA NA MIMI KUSEVIWA MBWA ILA SIKUPATA JIBU.

Mpaka sasa nipo nae TABORA, nimekosa raha nimeshindwa hata kumuuliza kwa sababu najiuliza nianzie wapi nakosa majibu.
Bao lako linachukua muda gani!? Kama umewahi ona mbwa akisex utakuwa umenielewa. Hongera!
 
Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi nimejiongeza kwenda kwenye room ya mpenda ma Game first born a.k.a my son ndipo nilipoikuta simu inaita ila jina limedisplay “MBWA” . NILIIKUTA SIMU ILA JINA NILILOSEVIWA LILINIKATA MAINI SANA NILIANZA KU REVIEW MENGI MNO AMBAYO YANAFANANA NA MIMI KUSEVIWA MBWA ILA SIKUPATA JIBU.

Mpaka sasa nipo nae TABORA, nimekosa raha nimeshindwa hata kumuuliza kwa sababu najiuliza nianzie wapi nakosa majibu.
Msave MBWA JIKE hakikisha anajua ulivyomsave

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Huwezi kujua. Labda mke yuko sahihi

Mbona mimi Sky Eclat kanisave honey sijawahi kulalamika JF kama baba yangu ni nyuki?

Mashahidi zangu Kasie na my dear mjukuu Joanah


Aahahahahaa babuuu...

Huyo jamaa hajui mkewe ji Mngoni na kule kwao majina ya wanyama ni sifa....

Tena ashukuru kamsevu mbwa muda wowote anaweza kuseviwa kama ng’ombe au chura😆😆😆
 
Back
Top Bottom