Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi nimejiongeza kwenda kwenye room ya mpenda ma Game first born a.k.a my son ndipo nilipoikuta simu inaita ila jina limedisplay “MBWA” . NILIIKUTA SIMU ILA JINA NILILOSEVIWA LILINIKATA MAINI SANA NILIANZA KU REVIEW MENGI MNO AMBAYO YANAFANANA NA MIMI KUSEVIWA MBWA ILA SIKUPATA JIBU.

Mpaka sasa nipo nae TABORA, nimekosa raha nimeshindwa hata kumuuliza kwa sababu najiuliza nianzie wapi nakosa majibu.
Kumbe wewe mnyamwezi!
Fanya hivi kaka...usimuulize. Na wewe msave KUKU halafu piga Kimya...siku akiona akauliza ndo hapo muongee.
 
Kumbe wewe mnyamwezi!
Fanya hivi kaka...usimuulize. Na wewe msave KUKU halafu piga Kimya...siku akiona akauliza ndo hapo muongee.
Akimsevu kuku afu waroho tukamla kimasihara asitulaumu....

Maana nyama ya kuku tamu sana
 
Fala wewe usie na kazi kutwa kuwinda simu ya mkeo.Tulio bize na life tumeacha huo utoto wa kupekua simu za wenzi wetu.Mbwa og wewe

Ndo maana mkeo kakuita Mbwa, unajua sababu? Wewe umeitwa Na mkeo Mbwa , hatari Sana!
 
Mbwa ana tabia
Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi nimejiongeza kwenda kwenye room ya mpenda ma Game first born a.k.a my son ndipo nilipoikuta simu inaita ila jina limedisplay “MBWA” . NILIIKUTA SIMU ILA JINA NILILOSEVIWA LILINIKATA MAINI SANA NILIANZA KU REVIEW MENGI MNO AMBAYO YANAFANANA NA MIMI KUSEVIWA MBWA ILA SIKUPATA JIBU.

Mpaka sasa nipo nae TABORA, nimekosa raha nimeshindwa hata kumuuliza kwa sababu najiuliza nianzie wapi

Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi nimejiongeza kwenda kwenye room ya mpenda ma Game first born a.k.a my son ndipo nilipoikuta simu inaita ila jina limedisplay “MBWA” . NILIIKUTA SIMU ILA JINA NILILOSEVIWA LILINIKATA MAINI SANA NILIANZA KU REVIEW MENGI MNO AMBAYO YANAFANANA NA MIMI KUSEVIWA MBWA ILA SIKUPATA JIBU.

Mpaka sasa nipo nae TABORA, nimekosa raha nimeshindwa hata kumuuliza kwa sababu najiuliza nianzie wapi nakosa majibu.
Mkuu Billie pole sana.muombe basi akupunguzie adhabu ili angalau akuite Mbuzi
 
Ukiwa unarudi tafuta dereva akuendesha labda kama utatumia usafiri wa umma
 
Tafuteni Uhuru na amani maishani mwenu,acheni haya mambo ya ndoa haya.watu wanakufa sana bas tu
 
Blaza pole..ila dhibiti hasira Mana unaweza ukambanika mtu kwa magunia ya mkaa
 
Afu bro[mention]Billie [/mention] me hua nakuona kama n smart sana
Sasa kwanini imekua hivyo? What’s wrong man?! Kuna shida yoyote kabla?
Maana sio kidogo
En bila shaka amegundua kama umeona
Vip reaction yake baada ya hapo?
 
Back
Top Bottom