Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

USHAURI WANGU ! ANZA KUBWEKA KAMA MBWA.....wood! Woow! Wuwuwuuuuuuu! Biniua na mdomo juu kuelekea alipo mke wako!

Fanya hivyo mfululizo hadi mkeo ahisi umechanganyikiwa!

Hakika kitakachofuata utarudi kunishukuru!
Pole sana Mr. dog

Ila kwa mbali unatabia za mbwa unatueleza HAbari za NETFLIX, Na smart TV za nini kwenye habari za mbwa!
Una matatizo siyo bure
Kwa hiyo imekuuma mimi kuwa account NETFLIX nimevitaja hivyo kwa sababu nimemuwekea mtoto wangu mazingira ya kile anachopenda TO BE AN ACTOR
 
Sante, niliandikishwa fulani mpumbavu huku sijui, kajisahau katuma screenshot mwenyewe akinitumia picha.
kucheck sender ni yeye.
Kumuuliza karuka futi 5000.
Ntampiga tukio hatasahau milele.
Nipe maujuzi sasa
 
Bila shaka unapenda dog style, kwa nini asikuite mbwa [emoji23][emoji23]
Ndo maana sitaki kumuuliza haraka haraka nataka ning’amue nini sababu mwenyewe anaweza niruka nikajiona mjinga
 
Wewe usilalamike sana, dawa yake na wewe msevu namba yake kwenye simu yako kwa jina la Mbwa jike. Tena hakikisha yeye anajua hilo. Dawa ya moto ni kuuzima tu kwa maji.
Nachukua hii
 
Kama hilo jina mbwa limetokea kwenye simu yako inamaana wewe ndio umemsevu mkeo mbwa. Vinginevo ungesema uliona kwenye simu yake wakati unaibip simu yako.
 
Mbona kama tunanywesha chai ya kuunguza sukari hapa...

Simu ya mkeo hujui ilipo, then anatumia simu yako kuipigia simu yake na wewe waenda itafuta mahali itapoita...

Hapa najiuliza, kama mkeo anajua jina lako alilosave ni MBWA, iweje alikuachia wewe ndio ukaifuatilie simu mahali itapoitia?

Je, alitaka uone vile amekusave? Kama hii sio chai basi jibu ni NDIO...

Nini cha kufanya, if you think you're clean basi muulize kwa nini amekusave jina hilo?
Soma vizuri tuliitafuta chumbani kwetu ndipo uamuzi wa kuibeep ukaja ikaita kwa dogo TATIZO LIPO WAPI HAPO
 
Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi nimejiongeza kwenda kwenye room ya mpenda ma Game first born a.k.a my son ndipo nilipoikuta simu inaita ila jina limedisplay “MBWA” . NILIIKUTA SIMU ILA JINA NILILOSEVIWA LILINIKATA MAINI SANA NILIANZA KU REVIEW MENGI MNO AMBAYO YANAFANANA NA MIMI KUSEVIWA MBWA ILA SIKUPATA JIBU.

Mpaka sasa nipo nae TABORA, nimekosa raha nimeshindwa hata kumuuliza kwa sababu najiuliza nianzie wapi nakosa majibu.
Poa mbwa😂😂😂
 
Badala uliamshe apo nyumbani unaweka mkia matakoni alafu
Unakuja kubweka umu JF
Kwa hiyo mi MBWA sio naona unakomelea msumari kwenye kidonda changu
 
Kama hilo jina mbwa limetokeakwenye simu yako inamaana wewe ndio umemsevumkro mbwa. Vinginevo ungesema uliona kwenye simu yaje wajati unaibip simu yako.
Rudi shule
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaume mnatabia za kimbwa mbwa aisee ndio maana kakusave hivo Kuna kitu ulimfanyia si bure[emoji23][emoji23] ila Leo nimecheka bila kutarajia
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom