Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

Mkuu ww ukiwa faraga na mkeo huwa unapiga kinanda yani namanisha huwa unatumia ulimi wako kupiga dekio pale kati kma jibu lake ndio kakueshimu huyooo!
 
Mwambie abadili jina hilo bora akuite lile jina la mbwa mpya wa Joe Biden
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mi naona kama uongoo vile!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kaaahh
 
Sante, niliandikishwa fulani mpumbavu huku sijui, kajisahau katuma screenshot mwenyewe akinitumia picha.
kucheck sender ni yeye.
Kumuuliza karuka futi 5000.
Ntampiga tukio hatasahau milele.
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mbona mbwembwe nyingi sana kwenye kufikisha ujumbe mkuu hii sio chai kweli wadau!!

Maana ukisoma kwa kutulia unaweza ukamuelewa zaidi ya alichoandika hapa!
 
Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi
Vipi Jibwa koko? Bado tu hujamuuliza shemela wetu kwa nini amefanya ufala huo?
 
Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.
Hana faida mgeuze msukule, upige hela
 
1. Mtoto haandaliwi Kwa kuchezea simu.
2. Ina maana haushiki simu yake Kabisa

Wewe Ni fala!
Fala wewe usie na kazi kutwa kuwinda simu ya mkeo.Tulio bize na life tumeacha huo utoto wa kupekua simu za wenzi wetu.Mbwa og wewe
 
Back
Top Bottom