Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

USHAURI WANGU ! ANZA KUBWEKA KAMA MBWA.....wood! Woow! Wuwuwuuuuuuu! Biniua na mdomo juu kuelekea alipo mke wako!

Fanya hivyo mfululizo hadi mkeo ahisi umechanganyikiwa!

Hakika kitakachofuata utarudi kunishukuru!
Pole sana Mr. dog

Ila kwa mbali unatabia za mbwa unatueleza HAbari za NETFLIX, Na smart TV za nini kwenye habari za mbwa!
Una matatizo siyo bure
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]daah sasa mkuu ushauri au unamsema??
 
Hizi ndoa za siku hizi shida. Mnaanza vizuri. Ma love love mwishoe ni huu. Yawezekana sherehe ilikuwa ya kufa mtu. Pete nguo na hata mipango kabambe ya maisha. Wengine mpaka wazazi labda walitoa magari apartments nyumba hata biz iliyosimama.
Halafu kuishia kuitana mbwa?!
Watarajiwa watafakari kwa kweli….
Hajamwita mbwa ila ka save jina mbwa kwenye simu shida iko wapi ?mnapenda ugomvi usio na sababu
 
Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi nimejiongeza kwenda kwenye room ya mpenda ma Game first born a.k.a my son ndipo nilipoikuta simu inaita ila jina limedisplay “MBWA” . NILIIKUTA SIMU ILA JINA NILILOSEVIWA LILINIKATA MAINI SANA NILIANZA KU REVIEW MENGI MNO AMBAYO YANAFANANA NA MIMI KUSEVIWA MBWA ILA SIKUPATA JIBU.

Mpaka sasa nipo nae TABORA, nimekosa raha nimeshindwa hata kumuuliza kwa sababu najiuliza nianzie wapi nakosa majibu.
Umeshindwa kumuuliza kwasababu hujui uanzie wapi lakini humu jf umepata pa kuanzia kutuelezea.
 
Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi nimejiongeza kwenda kwenye room ya mpenda ma Game first born a.k.a my son ndipo nilipoikuta simu inaita ila jina limedisplay “MBWA” . NILIIKUTA SIMU ILA JINA NILILOSEVIWA LILINIKATA MAINI SANA NILIANZA KU REVIEW MENGI MNO AMBAYO YANAFANANA NA MIMI KUSEVIWA MBWA ILA SIKUPATA JIBU.

Mpaka sasa nipo nae TABORA, nimekosa raha nimeshindwa hata kumuuliza kwa sababu najiuliza nianzie wapi nakosa majibu.


Na wewe m-save MBWA

MAANA MBWA kaoa MBWA
 
Mkuu mkeo unamlisha, unamvisha, unamhudumia huduma zote ili aridhike na apate tulizo la Moyo siku zote akikuita jina Baya lenye kashfa na lisilo na heshima jua ya kwamba kunamtu anampa jeuri yakukuita ww jina baya maana mema yako yote yamefutwa kwenye akili zake na anaempa jeuri anayetoa huduma Sawa nazako.

Tumeishi na wake za watu na tumesoma nawake za watu pia nishawahi date na mke wa MTU pasinakujua nikikaa nae mara nyingi kuna simu huwa inapigwa namsikia anasema huyo Lofa sijui linataka nini, mara bwege huyo linanipigia, Kubwajinga linapiga, wakati mwengine tuko mchezoni na mgegeda anapigiwa Hilo linapiga Mseng- huyu.

Nilipochunguza Kwa marafiki zake nanikachukua Ile number nilipojua jina la usajili baada ya kuchunguza nikaja kujua mke wamtu na mumewe jina nililolipata ndo lile lipo kwenye usajili wa number nikamkimbia Mazima aisee ndugu pole Sana unaibiwaaaaa....
 
Dharau kubwa sana me ata safari ya kwao nisingeenda tena angeenda mwenyewe.chunguza tabia za mmbwa zikoje then angalia na zako huenda zinafanana alafu chukua hatua utanishukuru baadaye
 
Mbona kama tunanywesha chai ya kuunguza sukari hapa...

Simu ya mkeo hujui ilipo, then anatumia simu yako kuipigia simu yake na wewe waenda itafuta mahali itapoita...

Hapa najiuliza, kama mkeo anajua jina lako alilosave ni MBWA, iweje alikuachia wewe ndio ukaifuatilie simu mahali itapoitia?

Je, alitaka uone vile amekusave? Kama hii sio chai basi jibu ni NDIO...

Nini cha kufanya, if you think you're clean basi muulize kwa nini amekusave jina hilo?
 
Tulikuwa na safari ya kwenda TABORA ambapo ndo kwetu nilipozaliwa sasa tuliamka alfajiri ili tuondoke kumbe first born wangu aliiba simu ya mama yake ambae ni mke wangu jana usiku ili acheze GAME akaenda nayo chumbani mwake ambapo kuna smart TV ambayo ina Account ya NETFLIX na Laptpot na DESK TOP maana nina muandaa dogo awe expert kwenye field ya Film theater and make up japokuwa anapenda movies za ANIMATIONS.

Anyway baada ya kuitafuta kwenye master bedroom yetu hatukuipata ndipo nilipo muambia mke wangu ai Beep kwa simu yangu huku mimi nimejiongeza kwenda kwenye room ya mpenda ma Game first born a.k.a my son ndipo nilipoikuta simu inaita ila jina limedisplay “MBWA” . NILIIKUTA SIMU ILA JINA NILILOSEVIWA LILINIKATA MAINI SANA NILIANZA KU REVIEW MENGI MNO AMBAYO YANAFANANA NA MIMI KUSEVIWA MBWA ILA SIKUPATA JIBU.

Mpaka sasa nipo nae TABORA, nimekosa raha nimeshindwa hata kumuuliza kwa sababu najiuliza nianzie wapi nakosa majibu.
Mbwekee yaishe
 
Mbona kama tunanywesha chai ya kuunguza sukari hapa...

Simu ya mkeo hujui ilipo, then anatumia simu yako kuipigia simu yake na wewe waenda itafuta mahali itapoita...

Hapa najiuliza, kama mkeo anajua jina lako alilosave ni MBWA, iweje alikuachia wewe ndio ukaifuatilie simu mahali itapoitia?

Je, alitaka uone vile amekusave? Kama hii sio chai basi jibu ni NDIO...

Nini cha kufanya, if you think you're clean basi muulize kwa nini amekusave jina hilo?
Inawezekana mleta mada ni dogi kweli...
 
Back
Top Bottom