Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

[emoji23][emoji23][emoji23] mbwa daa hata kama mnamaugomvi lakini mnafikia kuitana jibwa uwiii jibwa koko?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tendo la mkeo kukusevu mbwa wala usimuelewe vibaya alichokusudia ni kuwa wewe ndie mlinzi wa maisha yake
 
Ukimaliza kupiga mzigo huwa mnagandina?
 
Hahahaaaa awe poppy kabisa
 
Poke sana mkuu, hebu muulize sababu ya kukusave mbwa....ila huyo pasua kichwa, ni mke wa ndoa au ni hawara?
 
Pole sana mbwa, we msave mke wa mbwa
 
Mm ndo ningeseviwa hivyo nikipiga iyo takataka mpaka akili imkae sawa
 
Mm ndo ningeseviwa hivyo nikipiga iyo takataka mpaka akili imkae sawa
Kumpiga si dawa kwanza jiulize kwanini kaku save hivyo? Na huenda matendo yako yanaendana na jina hilo JIBWA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…