Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

Sio waume zetu wala wapenzi wetu, sijui umeelewa au unahitaji nikuwekee picha na video?
As long sio waume ama mpenzi kwako ila ni mume ama mpenz kwa mwengine so kuko na kiumbe bado kamgueza kaka / baba yako kimanunu vile vile

Hyo picha au video ni ya wao wakiwa wanabweka asubh ama?
 
Now your coming into your senses Good

Anyways how are you??
 
Duh! Iyo kali sana wanasema uyo ni chaguo lako sasa sijui mlikitana baa au disco
 
atakuwa ni mhehe nini? maana wahehe mbwa kwao anaheshimika sana
 
Mbwa kiburunge ni "mume".Do not judge ask!
 
Labda ni mimba ndio imemfanya hivyo akusave [emoji240]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sema wala sio kitu cha kulalamika, na wewe msave "kondoo jike"
 
Nadhani mwandishi stori yako ina dhamira tofauti.

Umeelezea mambo yasiyo ya msingi katika stori yako.

Setting ya tukio imesheheni vijenzi visivyo na umuhimu.

Mhusika "first born" amepewa maelezo mengi.

Namna ya usimulizi (Nafsi ya kwanza) inatufanya tutilie mashaka ukweli wa jambo hili.

Anyway
Pole kwa kuseviwa "mbwa"
 

Yani mke wako alafu unajiuliza uanzie wapi kumweleza! Duh hatari sana.....unaogopa atakuacha ama?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mke katisha
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mambo yameanza kuback-fire eeh!! Tunajuaga ila tunamite tu. Haya sasa !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…