Mke wangu kanisumbua sana, leo nimemuandikia barua ya kujieleza kwanini nisimchukulie hatua za kinidhamu kwa kukosa maadili na kukiuka Kanuni za ndoa

Mke wangu kanisumbua sana, leo nimemuandikia barua ya kujieleza kwanini nisimchukulie hatua za kinidhamu kwa kukosa maadili na kukiuka Kanuni za ndoa

Ni Ada tu Au kuna mengine bro😂😂😂

Vumilia tu January ngumu hiii mzee Loh
 
Mbona kosa kuu la kukunyima sijaliona?huyo anavumilika bado
 
Tatizo la vijana wa Gen Z hamjui kuwapiga pumbu kisawasawa hao wake zenu ndio maana kila siku malalamiko.
 
Back
Top Bottom