Mke wangu karudi kwenye dini yake

Mkuu mi naomba kuuliza. Hivi haiwezekani kuzijua taratibu za dini ya kiislamu bila kukaa na kiongozi wa dini?

Kwa mfano huku kwetu ukishika Biblia kuna kila kitu na ndio maana akitokea mpotoshaji ni rahisi kumgundua japo matapeli yana nguvu sana siku hizi.
 
Upunguze ku copy na ku paste mada. Hii story ilishawahi kupostiwa na mdau hapa
 
huyo mwanamke mimi nampongeza sana. nimeishi mazingira ya uswahilina sana, naufahamu uislam. kuna ndugu zangu kama 4 waliolewaga na waislam, hakuna ambaye hakuja kujuta mbeleni, na hakuna aliye hadi hadi sasahivi tunavyoongea. Mkristo kuingia uislam hasa ninyi wanawake, lazima utaishia majuto makubwa maishani mwako kiroho na kimwili. na mwisho wa siku ni moto wa milele.
 
Hiki ndio ninachowaambia kila siku. Chunga matendo yako kwanza kabla hujaniita kafir, kobazi.
 
Hivi unaweza kudadavua mechanism ya ARV jinsi inavyonenepesha mifugo au unaleta story za kusadikika maana hapa tuongee Kwa lugha ya pharmacology vizuri.
Hivi vitu uwa navishangaa sana jinsi watu wanavyovumisha
 
Shida si kubadili dini shida ni je kwanini unabadili dini ? Ikiwa sababu nje ya kuujua ukweli kwa hoja zenye mantiki basi bora usibadili baki ulipokuwepo.
Wewe, Mimi kuwa Mkristu sio issue ya hoja sijui mantiki !
I am a Christian, a Christian I am!
Nukta!
 
Maisha ya ndoa yako yashikiliwe na imani yako kwa Mungu wako na sivyo utakavyoshauriwa na mtu yeyote. Familia yako utakavyotaka iwe Miele ya watu na Mungu ni wewe mwenyewe.
Simama na imani yako
 
Wewe, Mimi kuwa Mkristu sio issue ya hoja sijui mantiki !
I am a Christian, a Christian I am!
Nukta!
Where did i say anything about u being christian? But lets assume i meant that, does it concern me ? the answer is No!
 
Waafrika wawili wanaelekea kuachana na kusumbua watoto wao kisa maagizo ya vibabu vya kiarabu na kizungu yaliyoandikwa miaka karibia 2000 iliyopita.

Inastaajabisha.
 
Itakuchukua muda mrefu saana kumaster mambo yote, dini imegusa maisha ya kila siku ya mwanadamu, ndoa, mali, mzazi, mlezi, yatima na kila kitu.

Chukua kitabu cha fizikia, kemia.. Uanze kujifunza wewe mwenyewe, uone itakuchukua muda gani kumaster kila kitu, yaan heat, light, modern physics, electronics huko, sijui mechanics, sijui wave huko etc.
Itakuchukua muda sana, ila leo ukikwama, ukajiuliza kwanini mtu akishuka kwenye gari inayotembea akashuka kama mnazi anaanguka, ikiwa hujui kitu utapata tabu, kwanza huwezi jua hiyo ni physics gani, unaweza kwenda kusoma wave huko, kumbe jibu lipo huku kwenye mechanics.
 
Hata kanisani wanaruhusu kuoa mwanamke wa dhehebu ama dini ingine akabaki aliko endapo atakubali watoto wote watakua wakristo.
Hapa kuna mama wa jirani mumewe mkristo yeye Muslim watoto wote mpaka wajukuu wakatoliki na yeye anaendelea na uislam wake anafunga anaswali .. mambo ya kawaida sana hayajaanza leo yameanza zamani sana! Sema tu vijana skuizi tunakuza mambo
 
Amejielewa rasmi, unadhani ilkua halali wew kumfanya muislam? Kama unadhani dini ni haki ya mtu kwanin wew hukuamua kubadili na kua mkristo?
 
Sidhani kama anaishi kwa amani na waislam wenzie, hitaji lao duniani si hilo
 
Akirudi maana yake hakuna ndoa imeshavunjika mnaishi sogea tukae kuanzia sasa hivi

Ulivombadilisha ulimfundisha uislam?

Wewe unaswali swala tano?

Ulimfundisha kuswali na afuate mafundisho yake?
Tatizo ni kufwata maagizo.. Miili yetu imeumbwa kutokana na mazingira tuyayoishi ni ngumu sana kukifwata kitu ambacho kinachohusu roho.. Anyway Mungu awatangulie katika ndoa yao
 
Brother we hujitambui na ndo chanzo Cha yoote ayoo na umewasunbua watoto kwa kosa la kuwachagulia mama wa hovyoo kwahy wewe ndo ulianza kuwa wa hovyooo kwasabb na hakika ungekuwa umefanya jambo kwa ajili ya Allah Wala usingehuzunika Sasa mpaka Sasa hivi umekosa maamuz lkn mwanamke ana maamuzi ndo kawa na msimamo we unakuja mitandaon kuomba ushaur kwel huyo mke utamuweza tambua wapi ulikosea Rudi nyuma ktk kosa lako muombe mola wako msamaha hlf uvune ulichopanda!
 
Hua ni waanzilishi wa chokochoko siku zote wanaamin din yao ndo dini pekee ya haki mahi wangu
Sio wote
Mana hata mimi natanguliza ubinadamu mtu mwenye udini sana haijalishi upande gani huwa simtaki.. napenda wanaoishi muongozo na mengine unamuachia Mungu tafuta hela lea watoto misimamo mikali achia Waarabu na Mashahidi wa Jumamosi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…